eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Mbombo ngafu
Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki
Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi
Mjadala Ukurasani X
Nyama mtazikuta chini 😂😂
Pesa atumiwe mbowe na mtu mwingine, halafu kasheku awe na jumbe za kutuma miamala.
😂