Musukuma atishia kuachilia meseji za Fedha alizotumiwa Mbowe kutoka CCM ili aendeshe chama, asema mchungaji Msigwa ni shahidi!

Musukuma atishia kuachilia meseji za Fedha alizotumiwa Mbowe kutoka CCM ili aendeshe chama, asema mchungaji Msigwa ni shahidi!

Sasa hapa nashindwa kujua anatetea au anachoma
Elimu ni muhimu sana
Unashindwa kujua chama chako kipo upande gani
Yaani ni vurugu tu, unaamka unamua kwenda na yeyote mradi mvuruge watu tu
 
Msukuma anajaribu kujitenga na msemo wa Samaki mmoja akioza wote wanakuwa wameoza ila harufu ya uozo haikwepeki, afanye aiondoe hiyo harufu kwa kuweka hizo transaction messages hadharani.
 
Musukuma huyu standard 7 anayedai ubunge haulipi huku bado anaendelea nao , utashangaa na mwaka huu anagombea tena
 
Sikuwahi kujua kumbe CDM inapendwa hivi na ccm wanatufuatilia kwa Makini sana....na kututahadharisha tusimchague Lissu....

Ila safari hii tunasema mtuache tumechagua kukosea...tutakwenda na Lissu.
 
aachie tu kwani anaficha nini, sasa tulipofikia sema lolote as long as una ushahidi! Ushahidi usio na mashaka! Messages can be fabricated with the advent of modern technology in the communication industry!
Ni kama unaogopa hivi 😂😂🔥
 
Mbombo ngafu

Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki

Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi

Mjadala Ukurasani X

Nyama mtazikuta chini 😂😂
Muamala hauzidi milioni 5, ndio za kuendeshea CHADEMA?
Mbowe anatoa milioni 200 za mkutano mkuu, akose milioni 5 ?
 
aachie tu kwani anaficha nini, sasa tulipofikia sema lolote as long as una ushahidi! Ushahidi usio na mashaka! Messages can be fabricated with the advent of modern technology in the communication industry!
Kabisa Mkuu
 
Anakipaka matope CCM au anampaka matope.Mbowe? Au wote wanapakana matope?
Hauwezi kuhukumu kati kati ya hatua ya kupokea ushahidi.

Hauwezi kusema mapema namna hii kwamba kuna mtu anayempaka tope mtu, utakuwa umefika hatua ya kuhukumu.

Wacha vielelezo vimwagwe hadharani kwanza ili wadau tuchuje tuhuma hizi kimantiki ili tuje na hitimisho sahihi kuona kama kuna mtu anampaka matope mtu, au hao watu waliochafuka matope waliyaoga wenyewe?

Kuanza kuhukumu wakati tukiendelea kukusanya vielelezo ni kutaka kupotosha audience, ni uchawa wa kutaka kuficha kombe ili mwanaharamu apite, ni nidhamu mbovu sana ya uoga wa kijungu jiko kutaka kuvuruga ushahidi kwa mbinu za kuzomea kwa sauti kukinga kila penye sauti ya maneno ya kweli inapotolewa ishindwe kusikika.

Msitulishe maneno wala kukingiana vifua, ukweli usemwe ili baadaye tutakapokuja kuchukua hatua ya umma, tusimuonee mtu.
 
Anakipaka matope CCM au anampaka matope.Mbowe? Au wote wanapakana matope?

Hii inaitwa doubt trick, hatotoa ushahidi na inaweza kuwa uongo, ila inaweka negative mtazamo kwa Mbowe na ni Mbaya kwa Mbowe!
 
Mbombo ngafu

Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki

Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi

Mjadala Ukurasani X

Nyama mtazikuta chini 😂😂

Huyu Msukuma ni muhuni tu. Alidai hivyo hivyo kwa Msigwa .... kwa nini anatishia nyau watu wazima. Kama zipo si azitoe tujue mbichi na mbivu.
 
Anakipaka matope CCM au anampaka matope.Mbowe? Au wote wanapakana matope?
Amesahau, mtoa rushwa na mla rushwa wote wanamakosa.

Anaonesha ni namna gani CCM inatmia kodi za wananchi vibaya. Hizo fedha zingelips mishahara shule ya wazazi meta mbeya.
 
Mbombo ngafu

Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki

Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi

Mjadala Ukurasani X

Nyama mtazikuta chini 😂😂
Hapo ndio tunawaambia mara zote umuhimu wa elimu... Angalia sasa garbages za huyu zero brain... Mnadhani angefika hata form four angeandika upuuzi huu wa kuchafua chama chake mwenyewe...


Gademnbradibastadifule!!!
 
Mbombo ngafu

Kumbe mbunge wa Geita Vijijini mh Msukuma anazo meseji za miamala ya Fedha alizokuwa anatumiwa Mbowe kuendesha Shughuli za Chadema kama chama rafiki

Msukuma kasema mchungaji Msigwa akiridhia anaziachilia mitandaoni kwani ndiye shahidi

Mjadala Ukurasani X

Nyama mtazikuta chini 😂😂
Mbowe mbowe mbowe yamekua haya tena
 
Back
Top Bottom