KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Watawala wetu wanatupitisha mapito magumu sana.......mateso na machukizo wanayotujaza mioyoni mwetu vinatufanya tuwaombee mabaya ambayo mengine ni magumu kuelezeka........
Imagine mtu anatoa hoja za msingi anaishia kuzodolewa..,....
Wakati natamani gharika lishuke pale bungeni liwafunike wote mule ndani......
Mungu nisamehe katika hili......sikupenda kufikia huko lakini moyo umechoka........
Imagine mtu anatoa hoja za msingi anaishia kuzodolewa..,....
Wakati natamani gharika lishuke pale bungeni liwafunike wote mule ndani......
Mungu nisamehe katika hili......sikupenda kufikia huko lakini moyo umechoka........