Musukuma: Luhaga Mpina achunguzwe Afya ya Akili

Musukuma: Luhaga Mpina achunguzwe Afya ya Akili


Mpina atakuwa ana tatizo la afya ya akili (kwamba ni kichaa)? Hoja imetolewa na mbunge ambaye kaonyesha wasiwasi kuhusu afya ya akili ya mbunge Mpina.

Ukichaa ni moja ya mago hwa yanayotibiwa na Hospitali yetu bingwa kabisa ya afya ya akili, Milembe, ambayo haiko mbali na viunga vya Bunge.

Mbunge Mpina ni mbunge aliyetengwa na wabunge wote na hata viongozi wa CCM mkoani kwake, kila mtu akimkimbia gete isuke.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Wanasiasa jamii ya Luhaga Mpina huwa Wana tabia ya kufifia Leo na ku rejuvenate baadae!
 

Mpina atakuwa ana tatizo la afya ya akili (kwamba ni kichaa)? Hoja imetolewa na mbunge ambaye kaonyesha wasiwasi kuhusu afya ya akili ya mbunge Mpina.

Ukichaa ni moja ya mago hwa yanayotibiwa na Hospitali yetu bingwa kabisa ya afya ya akili, Milembe, ambayo haiko mbali na viunga vya Bunge.

Mbunge Mpina ni mbunge aliyetengwa na wabunge wote na hata viongozi wa CCM mkoani kwake, kila mtu akimkimbia gete isuke.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Wasukuma wameanza kuparuana wenyewe.hii ni dalili tosha kuwa wasukuma si wamoja tena wao pia wamejikita kwenye uchawa.hii ni hatari sana.wakati nasoma shule ya msingi kule bariadi wasukuma walikuwa na upendo sana lkn hiki kizazi cha sasa ni hovyo kabisa.
 
Tender ya kuagiza mbolea za ruzuku aikuwa na ushindani

Kashauri serikali ipeleke hela bank ya kilimo karibu zote zimeliwa hakuna marejesho

Mbolea ya ruzuku nako wakopaji wakubwa ni vigogo na wabunge wa CCM hakuna marejesho

Kila kitu achofanya Bashe kwenye report ya CAG kuna mabillioni yamepotea.

Ni kiungo muhimu kwenye embezzlement ya wizara, 2024/25 wamemuongezea hela budget yake tsh 1.3 trillion hapo kama 60% zinaenda tafunwa yeye mwenyewe hakosi billion 50 mwaka ukiisha.

Sukari anawapa vibali wazalishaji wa ndani kwa muda anaotaka yeye (wakati watu wameanza kuomba mapema) ili kusitokee uhaba. Anawacheleweshea makusudi baada ya kuwapa anatoa time limit ambayo siyo realistic ‘lead team’ ya kuagiza na kuleta. Halafu akienda bungeni anawasagia wazembe na kuhalalisha kutoa vibali kwa wengine wakati yeye ndio kafanya sabotage.

Anatoa vibali kwa watu wasio na uzoefu, ameongopea bunge na watanzania hakukuwa na uzalishaji wa sukari kwa miezi nane mfululizo.

You can go and on na ufisadi unaofanyika kilimo. Halafu akiongea bungeni anatoa machozi ya mamba kama vile anajali kweli (chori kapeto). Bashe ni actor na bunge la CCM ni hovyo.
Sasa kama unajua sana si ungempa huo ushahidi Mpina ili asisulubiwe na kamati? Yaani ushahidi hamna, mnabaki kuropoka tu.
 
Sasa kama unajua sana si ungempa huo ushahidi Mpina ili asisulubiwe na kamati? Yaani ushahidi hamna, mnabaki kuropoka tu.
Ulitaka Mpina awape ushahidi gani zaidi.

Inaonekana ujamsikiliza hata huyo Mpina mwenyewe, yeye anazo na tarehe za barua ambazo viwanda viliomba vibali, tarehe walizopewa ruhusa na short notice waliyopewa ya kuleta sukari ambayo ni unrealistic ‘lead time’.

Ana ushahidi wa uzalishaji na tonne zilizozalishwa katika miezi ambayo Bashe anaongopa hakukuwa na uzalishaji; and more kuhusu ufisadi unaonendelea kilimo.

Wewe unadhani kwanini badala ya kujibu hoja zake wamekimbilia kubadilisha mziki na kuja madai ya kutomuheshimu speaker na bunge.

Bunge na speaker limejidhalilisha siku ya jana.
 
Msukuma alikuwa mtekaji wa mabasi ya abiria.

Hiyo ni kweli. Wengi wanaomfahamu wanadai chanzo chake kikuu cha mtaji wa biashara zake kilitokana na ujambazi. Sawa na Mabina. Halafu wote baada ya kunufaika na ujambazi walikuja kuwa wenyeviti wa CCM. Ndiyo maana hatustahili kushangaa tunapoona CCM mara nyingi inasimama na majambazi. Kwa sababu ndani yake, tena mpaka kwenye uongozi kuna majambazi maharamia yaliyojaa damu za watu.
 
Mimi naungana kabisa na Msukuma

Bashe anatakiwa kulindwa Kwa nguvu zote ni hazina Kwa taifa ana akili nyingi mno na Yuko more practical sio theoretical kwenye utatuzi na solutions za kero mbalimbali

Mpina anachofanya ni kujaribu kuua political future za vijana waliopewa madaraka wanaofanya vizuri

Bashe Yuko vizuri mno

Bashe keep it up

Usikatishwe tamaa na yeyote

Nchi inahitaji vijana smart kichwani kama wewe
 
Back
Top Bottom