Musukuma: Luhaga Mpina achunguzwe Afya ya Akili

Musukuma: Luhaga Mpina achunguzwe Afya ya Akili


Mpina atakuwa ana tatizo la afya ya akili (kwamba ni kichaa)? Hoja imetolewa na mbunge ambaye kaonyesha wasiwasi kuhusu afya ya akili ya mbunge Mpina.

Ukichaa ni moja ya mago hwa yanayotibiwa na Hospitali yetu bingwa kabisa ya afya ya akili, Milembe, ambayo haiko mbali na viunga vya Bunge.

Mbunge Mpina ni mbunge aliyetengwa na wabunge wote na hata viongozi wa CCM mkoani kwake, kila mtu akimkimbia gete isuke.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Qualification za kupata wabunge zibadilike, hatuwez pata wabunge wa hovyo kama msukuma, 0 facts, 0 points , yeye ni bendera fuata upepo tu
 
Hakuna mtu alitegemea different outcome, wabunge wanaoendeshwa na utamaduni wa ‘carrot on a stick’.

Ila kauli za kufedhesha walizomtolea Mpina wachangiaji zilikuwa na ulazima, gani kwanini speaker anatabasamu wakati viongozi wa taifa wanaoangaliwa na watu wa rika lote kutumia lugha zile.

Bunge linatakiwa ku-set moral standards aiwezekani speaker aache waheshimiwa kutumia lugha mbovu vile wote watu wazima.

Ndio kioo cha jamii kinatakiwa kuwa na watu hovyo wachangiaji kadhaa na speaker mwenyewe.
Rango mwenyewe hana adabu kabisa
 
Hawa wabunge inabidi sisi wapiga kura ndio tuwaadhibu kwenye ballot paper hata akiiba kura ajijue kabisa wananchi hawajamchagua
Hapana. Sikubaliani na hoja yako hata kidogo.
"...hata akiiba kura ajijue kabisa wananchi hawajamchagua"?

Huyo mbunge atakuwa bado haja adhibiwa, kama bado ataachwa aibe kura. Adhabu sahihi ni kukataa kura za wapiga kura zisiibiwe. Anaye thubutu kufanya hivyo aadhibiwe hapo hapo bila ya kumwonea aibu.
 

Mpina atakuwa ana tatizo la afya ya akili (kwamba ni kichaa)? Hoja imetolewa na mbunge ambaye kaonyesha wasiwasi kuhusu afya ya akili ya mbunge Mpina.

Ukichaa ni moja ya mago hwa yanayotibiwa na Hospitali yetu bingwa kabisa ya afya ya akili, Milembe, ambayo haiko mbali na viunga vya Bunge.

Mbunge Mpina ni mbunge aliyetengwa na wabunge wote na hata viongozi wa CCM mkoani kwake, kila mtu akimkimbia gete isuke.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Musukuma amechoka Aise, Wananchi wa Geita Mpumzisheni!!! 🙁
 

Mpina atakuwa ana tatizo la afya ya akili (kwamba ni kichaa)? Hoja imetolewa na mbunge ambaye kaonyesha wasiwasi kuhusu afya ya akili ya mbunge Mpina.

Ukichaa ni moja ya mago hwa yanayotibiwa na Hospitali yetu bingwa kabisa ya afya ya akili, Milembe, ambayo haiko mbali na viunga vya Bunge.

Mbunge Mpina ni mbunge aliyetengwa na wabunge wote na hata viongozi wa CCM mkoani kwake, kila mtu akimkimbia gete isuke.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Mpina hata ye ye ni mwizi, Ila Ali kuwa anasema ukweli, sasa badala ya kenge wa CCM kuchunguza ufisadi wanamwadhibu aliyetoa taharifa ya ufisadi, Little did he know, mtandao wa wizi wa sukari sio MTU mmoja, pale kuna pesa inaenda ndani ya chama CCM, na ukigusa pesa ya CCM ya kampeni umemgusa Samia kwa sasa, kama CCM waliweza kuiba pesa hadhina kufanyia kampeni(Mkapa alisema), hawawezi, kushindwa kufsnya mpango wa ku piga pesa kwa njia hii, raiiiini, kila Mtz anachangia shilingi kadhaa akinunua sukari!
 

Mpina atakuwa ana tatizo la afya ya akili (kwamba ni kichaa)? Hoja imetolewa na mbunge ambaye kaonyesha wasiwasi kuhusu afya ya akili ya mbunge Mpina.

Ukichaa ni moja ya mago hwa yanayotibiwa na Hospitali yetu bingwa kabisa ya afya ya akili, Milembe, ambayo haiko mbali na viunga vya Bunge.

Mbunge Mpina ni mbunge aliyetengwa na wabunge wote na hata viongozi wa CCM mkoani kwake, kila mtu akimkimbia gete isuke.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Kama sio Kuna mpango unasukwa dhidi ya upinzani kuelekea uchaguzi, basi hao akina Msukuma ndio wagonjwa wa akili.
 
Halafu speaker alikuwa kimya wakati Msukuma anamtukana Mpina nina uhakika kwenye hizo kanuni zao za bunge zinakataza udhalilishanaji.

Kitendo cha kumwita Mpina ni kukosa adabu, too personal na utakiwi kuongelea afya mtu vile (hata ingekuwa kweli) publicly.

Hapo ndio unaona double standards za ‘speaker’ hakina Maria wanatakiwa wachukue ile clip ya msukuma na kupeleka huko bunge la UN kuonyesha jinsi gani raisi wao alivyopopoyo, huyu dada kapwaya haraka sana kwenye kiti.

Bado msukuma na kibajaji wote darasa la saba wanajitapa wao ni wa NEC watamshughulikia kwenye vikao vya chama, wengine wamemtishia nje ya bunge; speaker kimya wakati yote hayo yanaendelea ni dada wa hovyo kweli.

Uzuri ni kwamba wanatambua hayuko mwenyewe, hata Membe alidhani ni invisible seuse Kibajaji, Msukuma na mchungaji fake time will tell.

Hakuna alietegemea matokeo tofauti zaidi ya kupewa adhabu, kilichoshangaza watu ni how low CCM can get kwa ile michango.

Wizara ya kilimo ni chaka la wizi na Bashe ndio midfielder hakuna alietegemea apewe adhabu wala kujibu hoja yeye mwenyewe.

Jamaa wanawadharau sana watanzania
Na Kwa akili za kawaida, inaonekana na itaendelea kuonekana wazi kwamba karibia wote walipangwa ili wamsurubu… hata viongozi wa dini wakatumia maneno, amelaaniwa’… bado speaker akawa fofofo…
Kilichotokea jana kwenye ule mjadala ndio classic definition yenyewe ya kumkosea mtu heshima…
Mtu anatamkiwa live kwamba Ana changamoto ya afya … speaker fofofo…
Halafu hapo hapo anadai kwamba kakosewa heshima…
Si angemtaka Msukuma afute ile kauli Kama kweli alimaanisha “ kukosewa heshima?
Mkuki Kwa nguruwe tu…
 
Wote wanaoshiriki kulipeleka Taifa pabaya mkono wa Mungu utawashukia kila mtu kwa muda wake. Amina.
Mungu hayupo hivyo mzee usikalili na ndio maana tangu zama za mitume na manabii watu walipigana kuitafuta haki na mungu aliwaunga mkono
 
Yaani punguani Musukuma anajiona ana akili kumpita Mpina? Yeye Mysukuma kupokea rushwa ya dola 50K, V8 na kujengewa nyumva Dubai ili awe kinara wa kuwatetea DPW, anajiona ana akili sana, wakati hao walioamua kumhonga waliona wazi hoja ya kutetea ile IGA ya kishenzi ni lazima wawapate watu wajinga wenye tamaa ya utajiri.
 

Mpina atakuwa ana tatizo la afya ya akili (kwamba ni kichaa)? Hoja imetolewa na mbunge ambaye kaonyesha wasiwasi kuhusu afya ya akili ya mbunge Mpina.

Ukichaa ni moja ya mago hwa yanayotibiwa na Hospitali yetu bingwa kabisa ya afya ya akili, Milembe, ambayo haiko mbali na viunga vya Bunge.

Mbunge Mpina ni mbunge aliyetengwa na wabunge wote na hata viongozi wa CCM mkoani kwake, kila mtu akimkimbia gete isuke.

PIA SOMA
- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Yeye alitaka vikao vifanyikie wapi?? Mnamtaka mtu awaletee ushahidi, angeupataje bila kufanya vikao? Jinga wakubwa nyie
 
Yaani punguani Musukuma anajiona ana akili kumpita Mpina? Yeye Mysukuma kupokea rushwa ya dola 50K, V8 na kujengewa nyumva Dubai ili awe kinara wa kuwatetea DPW, anajiona ana akili sana, wakati hao walioamua kumhonga waliona wazi hoja ya kutetea ile IGA ya kishenzi ni lazima wawapate watu wajinga wenye tamaa ya utajiri.
Huyo hajawahi kuwa Muadilifu. Kabla ya kuingia kwenye siasa alikuwa tishio mtaani!! Watu waliporwa Kwa nguvu
 
Back
Top Bottom