Musukuma: Maprofesa wanatuchanganya; wakati wa Magufuli walisema hakuna Corona na wakati huu wa Samia wanasema tuchanjwe

Musukuma: Maprofesa wanatuchanganya; wakati wa Magufuli walisema hakuna Corona na wakati huu wa Samia wanasema tuchanjwe

Hata hawa wa ndani, wengi wao wamesoma PhD zao huko huko nje anakotaka wakachukuliwe
Labda anahisi walipomaliza shule waliweka vitabu kwenye makabati..hawakuendelea kujiongeza...things change everyday...wanasayansi wengi wazungu wanaipinga chanjo ya Corona, huku wakwetu wakirecommend...mkanganyiko huu unamzingua msukuma...
 
Msukuma amtafute aliyemnyima kwenda au kuendelea na shule wayamalize. Naona anajitahidi kupamvana na walioenda shule kila kukicha.
 
Kujishangaa Ni dalili za kuchanganyikiwa akili....Kama huyo Kasheku hakuweza kuuliza enzi za mwendazake, kwa Sasa anatupigia kelele anyamaze kimya.
 
Form seven ni Shida, yaani yeye anadhani kipindi cha utawala ULE yale maamuzi ya kupinga na Kuficha kuwa Corona haikuwepo yanaweza ku-hold water kwa kiongozi wa sasa mwenye Maono (uongozi sikivu).

Hivi ni kweli huyo form Seven hajui hasara ya kupoteza wapendwa wetu kwa Maamuzi ya ajabu ajabu. Mimi Ilikuja kunizidishia machungu na niliuchukia utawala ule zaidi tena Zaidi pale tu Dada yangu Daktari alipofariki kwa corona and was the only Dr in our family. Baba alikuwa anatuambia alimsomesha kwa gharama kubwa.

Tumwombe tu huyo form seven hasiturudishe matesoni,kwani maamuzi ya uongozi wa sasa kuhusu Corona (task force ya kumshauri SSH kuhusu Corona) ni sahihi na yaheshimiwe.

Anachojifanya hajui ni kuwa, Watawala uliopita Ulikuwa unaogopwa, ulikuwa utawala wa YES BOSS or ONE MAN SHOW kila alichokisema mtawala ndicho wasaidizi wake walikitenda na kutuaminisha kuwa tuko sahihi ili mradi tu Maisha na familia zao vilineemeka na utawala ule.

Unafiki wa Wabongo hauna justification. Leo hii mtawala aliyepo akiondoka halafu akaja mtawala mwingine mwenye msimamo tofauti na wa huyu wa sasa, Wabongo hawa hawa watamgeuka mtawala wa sasa na misimamo yake.

We’re quintessential sh**hole countrymen and women!
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.

Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.

Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?

Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.

Chanzo: Clouds Digital
Kama walisema hakuna corona nyungu za kichawi ulizokuwa unapiga zilitoka wapi ?
 
Kwa hiyo na wewe unaamini Corona ya mapapai ya mwendazake? Hivi kweli mapapai yawe na Korona? Corona hushambulia mfumo wa upumuaji, Je, papai lina huo mfumo wa upumuaji unaoweza kuathiriwa na Corona? JIWE kaondoka na akili za wengi
Hata china walipruv hiyo corona ipo kwenye vitasa, nguo, mabomba, na hasa viganja ndo sbb unanawa
 
Msukuma amtafute aliyemnyima kwenda au kuendelea na shule wayamalize. Naona anajitahidi kupamvana na walioenda shule kila kukicha.
Msukuma anapambana na wasomi kama akina Chenge,Prof. Lipumba n.k
 
Enz za mwendazake kulikuwa na option mbili huku ikikupasa kujihadhar nazo n zile tulizokuwa tunatumia shuleni

1 EDUCATION IS BETTER THAN MONEY

2 MONEY IS BETTER THAN EDUCATION

.Ukichagua elimu mwendazake anakuzka mzmamzma

Ukichagua pesa bas itakubid upindishe yote ya ukwel na vyeo utapata BASHIRU ALLY alichagua PESA ndio maana Leo anadharaurika
 
Mfumo wetu wa elimu ni mbovu so Msukuma yupo right... maana sisi wenyewe raia Tunashuhudia Machifu wetu Mangungu wanayoyafanya... hata watoto wa nursery wanastaajabu... and am sure watakuja wasoma sana hawa Mawaziri na Maprofessor uchwara wetu... am sure wasomi wengi Tanzania wametumia sana vibomu kwenye Mitihani yao... yaani kuibia ibia like elimu ya hapa na pale
 
Acha uongo kwahyo yale mapapai ni ww uliyafanyia utafiti?
Kila mwenye akili anajua kuwa hakuna utafiti wa mapapai au kwale uliofanywa. Ni tamko tu lilikusudiwa ili watu wasipimwe corona na iwe rahisi kusema kuwa haipo
 
Chanjo ya corona ni ufisadi tu. wakowapi wanaoumwa korona Tanzania? Kama korona inawafuta wavaa barakoa hao wa high profile ambao wakati Hayati yupo walikuwa hawavai na wala hawakufa, basi wachanjwe wao.

Yawezekana virusi vinaambatana na mawazo ya kiutawala utawala na ndiyo maana hata chanjo inagusa hadi DNA na RNA ili pengine iwaondolee hisia za utawala ili corona wasiwafuate.

Sisi tusio viongozi hatuna korona na hatuvai mabakkoa na hiyo korona haijatufuata, watuache.

Si rahisi kuelewa mpangi huu ni ufisadi wa aina gani.
Naona unasema uongo. Lazima utakuwa na ndugu wa umri mkubwa au wenye matatizo mengine ya afya waliokufa kwa korona ila wote kama sisi wenzako mkaficha vichwa mchangani kwa kumuogopa Magufuli. Na wale wakubwa serikalini mwaka jana na mwaka huu je?
 
Mfumo wetu wa elimu ni mbovu so Msukuma yupo right... maana sisi wenyewe raia Tunashuhudia Machifu wetu Mangungu wanayoyafanya... hata watoto wa nursery wanastaajabu... and am sure watakuja wasoma sana hawa Mawaziri na Maprofessor uchwara wetu... am sure wasomi wengi Tanzania wametumia sana vibomu kwenye Mitihani yao... yaani kuibia ibia like elimu ya hapa na pale
Jizungumzie wewe. Ukiwa kama Musukuma, ukaongea sana ukapigiwa makofi, na ukaona watu hawakumpigia makofi sana profesa mbunge (pengine alishindwa kuwarahisishia akina Musukuma), unaweza kudhani unawazidi au kwamba huo ndio uwezo pekee wa profesa. Nakuhakikishia kuwa kazi, shughuli, maandiko na mashauriano yote ya kila siku ya taifa la leo yanafanywa na maprofesa. Hakuna wajinga duniani watakaofikiria mchango wa Musukuma kwenye msimamo rasmi wa serikali kwa jambo lolote la kisasa. Watu wa nje, na wale wa vizazi vijavyo, wakitaka kuelewa jambo sawasawa watasoma aliyoandika profesa, siyo aliyosema Musukuma. Hata wewe
 
Dah Msukuma ana aleji na maporofesa............ mapprofesa Maprosoo
Yeye badala ya kusoma alijilazimisha kuwa "mfumu" na kuchunga ng'ombe... sasa maprosoo wakimla senti zake apatazo kijanjajanja katika biashara zake pindi wamwandikiapo maandiko lazima azidi kuwachukia + wivu...
 
Safi sana Musukuma wewe ni akili kubwa kuliko hao madaktari na maprofesa njaa. Wao akili waliyonayo ni kucheza na mindset za watawala ili waandelee kushibisha matumbo yao badala ya kuleta manufaa kwa Taifa.

Sasa walishamsoma mama wakaona hana uhakika juu uwepo au kutokuwepo kwa corona virus nchini ila kwa kuwa kaonesha kutokubaliana baliana na msimamo wa mtangulizi wake juu ya ugonjwa huu hadi kuamua kuwapa wataalam wafanye utafiti wa kisayansi, wao wakaona fursa na wakafanya kweli kama yule wa makinikia.

Yaani hawa hawa walioshindwa kuleta tu mitaala ya elimu inayolenga uhalisia wa mazingira yetu ndo waweze korona-sisi bado sana.
GO GO ON MUSUKUMA
Kwahiyo mwendazake alikuwa na uhakika kuwa hakuna Corona?
 
Mbunge wa Geita vijijini mh Joseph Kasheku aka Msukuma amesema maprofesa wa Tanzania wanafeli sana na hii inasikitisha ndio maana aliwaripua bungeni.

Msukuma amesema kwa mfano tafiti za Corona zilizofanywa na maprofesa wakati wa hayati Magufuli wakitumia mapapai mbuzi, sungura, mafenesi na oil ilionyesha Tanzania hakuna Corona lakini alipoingia Rais Samia maprofesa walewale wameshauri tuanze kuchomwa " masindano" na kuvaa mabarakoa.

Msukuma anajiuliza hawa maprofesa wetu wamesoma kweli?

Msukuma amemshauri Rais Samia kutumia wanasayansi wa nje kama anaona hawa wa kwetu wamejaa longo longo.

Chanzo: Clouds Digital
Maprofesa pia walikudanganya ukaenda kujenga sauna Jimboni kwako kwa ajili ya wananchi wa Jimboni kwako kujikinga na Corona?
 
Msukuma wewe Kila wakati unaponda maprofesa.Kasome bado umli unaruhusu kuliko kuendelea kuwa kituko bungeni.Wabunge wenzako wanakuona Kama laughing stock
 
Form seven ni Shida, yaani yeye anadhani kipindi cha utawala ULE yale maamuzi ya kupinga na Kuficha kuwa Corona haikuwepo yanaweza ku-hold water kwa kiongozi wa sasa mwenye Maono (uongozi sikivu).

Hivi ni kweli huyo form Seven hajui hasara ya kupoteza wapendwa wetu kwa Maamuzi ya ajabu ajabu. Mimi Ilikuja kunizidishia machungu na niliuchukia utawala ule zaidi tena Zaidi pale tu Dada yangu Daktari alipofariki kwa corona and was the only Dr in our family. Baba alikuwa anatuambia alimsomesha kwa gharama kubwa.

Tumwombe tu huyo form seven hasiturudishe matesoni,kwani maamuzi ya uongozi wa sasa kuhusu Corona (task force ya kumshauri SSH kuhusu Corona) ni sahihi na yaheshimiwe.

Anachojifanya hajui ni kuwa, Watawala uliopita Ulikuwa unaogopwa, ulikuwa utawala wa YES BOSS or ONE MAN SHOW kila alichokisema mtawala ndicho wasaidizi wake walikitenda na kutuaminisha kuwa tuko sahihi ili mradi tu Maisha na familia zao vilineemeka na utawala ule.
Bahati nzuri na yeye mwenyewe corona ilimtafuna mapema sn
 
Back
Top Bottom