Wewe pia ni MWIZI ndege wafananao huruka pamojaWewe ulitaka wale wanaosema nilianza na alfu 50 tu leo na billion fake people. Musukuma yuko real huwezi kuwa tajiri bila kupiga short cut hata hao kina Mo kama wataongea ukweli wamepiga sehemu..
Afunguliwe mashtaka haraka sana Ila kwa kua TANZANIA km alivyosema Rostamu ni Ina wanasheria, majaji na mahakimu wanasubiri kupokea simu kutoka Serikalini sijui km wataliona hili na kumfungulia mashtaka huyu MWIZI jangili haramia wa Mali za watanzania anakwiba na kujiwekea mwenyewe na kujitajirishaJinai haina ukomo
Watu wana mafaili aisee duhAmezungumzia pia jinsi walivyomuibia Muhindi na kumchomea duka Mombo, Tanga!?
JASILI HAACH ASILI. Hivi kweli huyu mtu kama kiongozi nategemea asitupige. Au mnaofikiri katosheka na huo wizi wake wa huko nyuma...!!?
Ni kweli kabisa, kwakuwa sisi ni makondoo machafuko sio rahisi. Endelea kuomba ukondoo ushike kasi, kinyume na hapo lazima mshikishwe ukuta.Labda machafuko ya tumbo kuhara hapo Sawa.
Watanzania wameridhika na maendeleo makubwa yanayoletwa na CCM ndomana hawana habari na vyama vichanga kama chadema!Ni kweli kabisa, kwakuwa sisi ni makondoo machafuko sio rahisi. Endelea kuomba ukondoo ushike kasi, kinyume na hapo lazima mshikishwe ukuta.
Wengine tumemsikia leo akijinadi kwa jinai. Kwamba hakukamatwa jana hakuzuii kukamatwa leo.Hawezi kukamatwa, hizo story za maisha yake nimekuwa nikisikia akiziongea kwenye vyombo mbalimbali vya habari zaidi ya miaka 6 sasa. Kama ni kukamatwa angaeshakamatwa toka wakati huo.
Na ww kaibeAnamtembelea Gari ya 400M kumbe JIZI
404: Page Not Found
Aache urogo hiyo ni chaiiiiiMbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.
Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi kwakuwa alionekana kama mtoto japo alikuwa na mtoto mmoja tayari.
Kishimba
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.
Kufilisika
Pia ameongea kufilisika mwaka 1998 baada ya kutapeliwa mpaka kuamua kutoroka kwani alikuwa anatafutwa na polisi ilhali yeye alikuwa anawaogopa sana. Alipotoroka alitelekeza familia na kuwa shoe shine Korongwe pamoja na kwamba alishakuwa mfanyabiashara mkubwa namba 3 Mwanza.
Kuibuka tena
Msukuma amesema kuna mfanyabiashara mpakistan alimsaidia wakati ana duka Mwanza, alileta ngano na TRA ikaishikilia na mpaka anafanikiwa kuitoa ilishaanza kuharibika. Ilipotoka akamtafuta msukuma ambae alifanya 'namna' ikauzwa nje. Msukuma amesema ile ngano alikopeshwa kwa miezi mitatu lakini alipouza tu alimlipa mhusika ndani ya siku 5.
Musukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.
TRA , POLISI ,TISS hakuna wa kumkamata au kumuhoji mbunge wa CCM ,hata kumfuatiliaTangu mwanzo kalionekana katapeli tapeli hivi kama kajambazi, waruke Nako sasa si kamejisema kenyewe
Ulishawahi sikia jayz akikiri hadharani kuuza cocaineRoho ya kimaskini kabisa, wakija Jay Z wameuza hadi cocaine, on the way to the top mengi hufanyika wewe kama umechagua kuwa avarage kaa hapo.
Siwezi kuzungumza hadharananiBado haiondoi ukweli kuwa wewe ni mwizi tu mkui[emoji23][emoji23]
Marekani kuna jamaa mmoja anaitwa vlad Ana podcast yake inaitwa vlad TVHaya sasa kama wabunge walikuwa waizi mnategemea shetani akawa malaika?
Mkuu nafikiri tatizo letu kubwa huwa tunahukumu ka kipengele kidogo.Siwezi kuzungumza hadharanani
Kama ningekuwa public figure
Wanafahamika waheshimiwa kadhaa tu kabla ya kuingia ubunge wao walikuwa wanafanya magendo sana
Sasa kwa anachokizungumzia msukuma ina maana Ana wa motivate
Wengine,vijana wa sasa nao wafanye hivyo au!haya waited waone
Ova
Hiyo confession si inatosha kumvua ubunge?...au ni mpaka awe ametiwa hatiani na mahakama.?Akamatwe.
Kwani mtu akitangaza hadharani kuwa alikuwa muuaji ila sasa ameacha serikali itamchekea tu?
Kama aliweza kutorosha mpaka kg 50 kwa mara moja , je, jumla katorosha gunia ngapi za dhahabu kwa kipindi chore?
Serikali imepoteza sh.ngapi?
Ni zaidi ya muuaji