mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ndiyo wanacho amini kila mtzTatizo Watanzania wengi wanaamini bila wizi au rushwa, huwezi kufanikiwa. Kwa akili kama hizi, Nchi hii kamwe haziwezi kuendelea.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo wanacho amini kila mtzTatizo Watanzania wengi wanaamini bila wizi au rushwa, huwezi kufanikiwa. Kwa akili kama hizi, Nchi hii kamwe haziwezi kuendelea.
Ndiyo maana yake na utashanga wakuu wa usalama wa taifa awalioni ilo jambo na kulitafutia ufumbuziHizo ni athari za chama kimoka kukaa madarakani muda mrefu kwa shuruti. Matokeo yake mifumo yote ya nchi inakuwa dhaifu ili kuendana na matakwa ya chama hicho. Matokeo yake kila muhalifu anajifichia humo kwani ana uhakika wa kinga ya dola. Mara nyingi machafuko ndio huondoa vyama vya aina hii madarakani.
Faulo za hapa na pale ni sawa na msukuma alivyokwepa kodi.Sijawahi iba wala dhulumu
Faulo za hapa na pale kawaida
Tatizo lako we hujaelewa point
Yangu,huwezi ukawa public figure
Ukaanza kusema,oh mm nliuza unga, niliiba,nliuwa,nilipora
Huo ni ujinga
Ova
Mbona Msukuma kaongea tu kama mwana CCM halisi...je uko tayari kuwakamata CCM wote kuanzia mkubwa kabisa hadi mdogo kabisa? Mbona kazi unayo!Jamaa ana ukwasi wa kutosha kumbe alikuwa mwizi!!!
Hivi jinai si huwa haifi au kwa sababu ni ccm?
Mmmh kilo 50 hapo kanidanganya aiseeMbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.
Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi kwakuwa alionekana kama mtoto japo alikuwa na mtoto mmoja tayari.
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.
Pia ameongea kufilisika mwaka 1998 baada ya kutapeliwa mpaka kuamua kutoroka kwani alikuwa anatafutwa na polisi ilhali yeye alikuwa anawaogopa sana. Alipotoroka alitelekeza familia na kuwa shoe shine Korongwe pamoja na kwamba alishakuwa mfanyabiashara mkubwa namba 3 Mwanza.
Musukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.
+1Sijawahi iba wala dhulumu
Faulo za hapa na pale kawaida
Tatizo lako we hujaelewa point
Yangu,huwezi ukawa public figure
Ukaanza kusema,oh mm nliuza unga, niliiba,nliuwa,nilipora
Huo ni ujinga
Ova
Siri Ya DP World kama alihongwa, ataisema Mwaka 2033. Halafu hao ndio wau tunawaamini eti ......
Ninyi wezi kuhararisha wizi wenu ndii mnasema Watanzania wote ni Wezi?Hata akishtakiwa ushahidi wa sauti hauwezi kumfungs.
Hata hivyo Watanzanis wote ni wezi kuanzia wewe hadi mkuu kabisa nyumba nyeupe
Hata kama nikicheza faulo siweziFaulo za hapa na pale ni sawa na msukuma alivyokwepa kodi.
Hakumwibia mtu bali ulikwepa kodi tu.
Kisheria ni wizi lakini hajamwibia mtu
Huwezi kumkamata kwa sababu ushaidi haupo, ila haileti picha nzuri kwa ccm na watu wao .Mbona Msukuma kaongea tu kama mwana CCM halisi...je uko tayari kuwakamata CCM wote kuanzia mkubwa kabisa hadi mdogo kabisa? Mbona kazi unayo!
Mkuu hatuwaamini, bali inatumika nguvu ya dola kushurutisha tuwaamini, na hata tusipowaamini hakuna kitu tutawafanya.Siri Ya DP World kama alihongwa, ataisema Mwaka 2033. Halafu hao ndio wau tunawaamini eti ......
Ndicho nlikuwa namwambia mkuu Glenn kuna mambo mengine hata kama ulifanya+1
Kuna misconduct haitakiwi ziwe hafharani kwa piblic figure kama mbunge , hata kama haiwezekani kukamatwa kutokana na ushahidi hautakuwepo ila msukuma alitakiwa akae kimya kwa matendo take ovu ya nyuma .
Ndiyo tatizo ccm ni mavii [emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Usalama wa Taifa wanapatikana kwa njia zisizo wazi, kiasi kwamba viongozi wa chama hicho hicho chenye matatizo huweka watu wao, na ama kuwaagiza kufanya kazi kuendana na matakwa ya chama hicho.
Ndio maana nasema njia ya uhakika wa kukitoa chama cha aina hiyo madarakani ni machafuko, kwani kwa njia ya kura huwa haiwezekani.
🤣🤣🤣Hata kama nikicheza faulo siwezi
Zungumza mbele ya kadamnasi
Ova
Ushahidi utautoa wapiAkamatwe.
Kwani mtu akitangaza hadharani kuwa alikuwa muuaji ila sasa ameacha serikali itamchekea tu?
Kama aliweza kutorosha mpaka kg 50 kwa mara moja , je, jumla katorosha gunia ngapi za dhahabu kwa kipindi chore?
Serikali imepoteza sh.ngapi?
Ni zaidi ya muuaji
Jinai haipoteiMbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.
Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi kwakuwa alionekana kama mtoto japo alikuwa na mtoto mmoja tayari.
Kishimba
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.
Kufilisika
Pia ameongea kufilisika mwaka 1998 baada ya kutapeliwa mpaka kuamua kutoroka kwani alikuwa anatafutwa na polisi ilhali yeye alikuwa anawaogopa sana. Alipotoroka alitelekeza familia na kuwa shoe shine Korongwe pamoja na kwamba alishakuwa mfanyabiashara mkubwa namba 3 Mwanza.
Kuibuka tena
Msukuma amesema kuna mfanyabiashara mpakistan alimsaidia wakati ana duka Mwanza, alileta ngano na TRA ikaishikilia na mpaka anafanikiwa kuitoa ilishaanza kuharibika. Ilipotoka akamtafuta msukuma ambae alifanya 'namna' ikauzwa nje. Msukuma amesema ile ngano alikopeshwa kwa miezi mitatu lakini alipouza tu alimlipa mhusika ndani ya siku 5.
Musukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.