welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Wengi wanakimbilia ccm kulinda maslay Yao Wala huwa hawana habari na wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitafanya chochote, huo ni uhakikaAnapaswa kukamatwa kuvuliwa ubunge na kupelekwa mahakamani na kufilisiwa. Ngoja tuone serekali itafanya nini?
Hakuna huo utaratib chin ya utawala wa kijani!!Mtu anakiri ujangili anaachwa huyu alipwaswa akamatwe haraka
Hakuna cha kufanya mzee business as usual.Anapaswa kukamatwa kuvuliwa ubunge na kupelekwa mahakamani na kufilisiwa. Ngoja tuone serekali itafanya nini?
Kama ni kweli anapaswa aeleze pesa alizonazo alizipataje, akishindwa afilisiwe!.Akamatwe.
Kwani mtu akitangaza hadharani kuwa alikuwa muuaji ila sasa ameacha serikali itamchekea tu?
Kama aliweza kutorosha mpaka kg 50 kwa mara moja , je, jumla katorosha gunia ngapi za dhahabu kwa kipindi chore?
Serikali imepoteza sh.ngapi?
Ni zaidi ya muuaji
Ngoja aje raisi kichaa hapo mbele kidogo Mathalan record zipo watawajibishwaHakuna cha kufanya mzee business as usual.
Pesa zake kapata kwa kucheza faulo tu,Kama ni kweli anapaswa aeleze pesa alizonazo alizipataje, akishindwa afilisiwe!.
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
KabisaHakuna huo utaratib chin ya utawala wa kijani!!
Si ndio maana katoa maelezo alivyokua anaibaWe naye kaibe uone kama rahisi
Kueleza alivyokua anaibaunaanza kuelezea namna gani ulifanyaga mautumbo
Wahalifu wote wana jiunga na chama cha ccm ... polisi ya Tanzania imejaa wapumbavu ...kuna majambazi 3 yalikuwa yanasumbua kigoma sasa hivi yapo ni polisi hapa dar es salaam .....yaani mfumo wa polisi ni mbovu ni rahisi muhalifu kuingia kwenye system ya nchi ...hata wakimbizi wengi wamekuwa wanasisiemu ......kinachotakiwa kwa serikali ni kutengeneza reseni ya siasa ambayo itawakagua wote wanaotaka kuingia kwenye siasa na watailipia sh mil10 hii itapunguza wahalifu na wanafiki wanao jificha kwenye siasaMbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.
Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.
Pia ameongea kufilisika mwaka 1998 baada ya kutapeliwa mpaka kuamua kutoroka kwani alikuwa anatafutwa na polisi ilhali yeye alikuwa anawaogopa sana.
Musukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.
Na hawa ndiyo wanatete uwepo wa Azimio la "DP ulimwengu" lisiloguswaMusukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.
Mtu akiwa tajiri tu hiyo ni shule toshaAkamatwe jinai haifutiki. Hii ndio tofauti ya tajiri mwenye shule na asie na shule
Seriously, unatetea mwizi na kuhalalisha mate do yao!? Kweli Watanzania tuna safari ndefu. Kwa maana hiyo unabariki pia yeye kuwa kiongozi pamoja na rekodi mbaya kama hiyo!?Sasa huo ndio ujangili? magendo hatujaanza leo jamaa mkweli na hizo biashara mpaka leo watu wanafanya, na kama sote tutakuja hadharani na kuwa wa kweli tumepata wapi mali zote tutaishia jela hakuna msafi humu wewe wala mimi hakuna. Wewe ulitaka wale wanaosema nilianza na alfu 50 tu leo na billion fake people. Musukuma yuko real huwezi kuwa tajiri bila kupiga short cut hata hao kina Mo kama wataongea ukweli wamepiga sehemu..
Hakukamatwa na kidhibitiJamaa ana ukwasi wa kutosha kumbe alikuwa mwizi!!!
Hivi jinai si huwa haifi au kwa sababu ni ccm?
Amezungumzia pia jinsi walivyomuibia Muhindi na kumchomea duka Mombo, Tanga!?Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.
Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.
Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.
Pia ameongea kufilisika mwaka 1998 baada ya kutapeliwa mpaka kuamua kutoroka kwani alikuwa anatafutwa na polisi ilhali yeye alikuwa anawaogopa sana.
Musukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.