Musukuma: Nilikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu. Alifilisika na kuuza ngano 'inayoharibika'

Musukuma: Nilikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu. Alifilisika na kuuza ngano 'inayoharibika'

Akamatwe.
Kwani mtu akitangaza hadharani kuwa alikuwa muuaji ila sasa ameacha serikali itamchekea tu?
Kama aliweza kutorosha mpaka kg 50 kwa mara moja , je, jumla katorosha gunia ngapi za dhahabu kwa kipindi chore?
Serikali imepoteza sh.ngapi?
Ni zaidi ya muuaji
Kama ni kweli anapaswa aeleze pesa alizonazo alizipataje, akishindwa afilisiwe!.

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Pia ameongea kufilisika mwaka 1998 baada ya kutapeliwa mpaka kuamua kutoroka kwani alikuwa anatafutwa na polisi ilhali yeye alikuwa anawaogopa sana.

Musukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.
Wahalifu wote wana jiunga na chama cha ccm ... polisi ya Tanzania imejaa wapumbavu ...kuna majambazi 3 yalikuwa yanasumbua kigoma sasa hivi yapo ni polisi hapa dar es salaam .....yaani mfumo wa polisi ni mbovu ni rahisi muhalifu kuingia kwenye system ya nchi ...hata wakimbizi wengi wamekuwa wanasisiemu ......kinachotakiwa kwa serikali ni kutengeneza reseni ya siasa ambayo itawakagua wote wanaotaka kuingia kwenye siasa na watailipia sh mil10 hii itapunguza wahalifu na wanafiki wanao jificha kwenye siasa
 
Sasa huo ndio ujangili? magendo hatujaanza leo jamaa mkweli na hizo biashara mpaka leo watu wanafanya, na kama sote tutakuja hadharani na kuwa wa kweli tumepata wapi mali zote tutaishia jela hakuna msafi humu wewe wala mimi hakuna. Wewe ulitaka wale wanaosema nilianza na alfu 50 tu leo na billion fake people. Musukuma yuko real huwezi kuwa tajiri bila kupiga short cut hata hao kina Mo kama wataongea ukweli wamepiga sehemu..
Seriously, unatetea mwizi na kuhalalisha mate do yao!? Kweli Watanzania tuna safari ndefu. Kwa maana hiyo unabariki pia yeye kuwa kiongozi pamoja na rekodi mbaya kama hiyo!?
 
Mbunge wa Geita, Musukuma amesema alikuwa bingwa wa kutorosha dhahabu mpakani akibeba mpaka kilo 50 mwilini.

Musukuma amesema mwaka 1996 alikuwa na umbo dogo kimwili hivyo kuonekana kama mtoto, askari wakishusha watu kwenye basi ili wasachiwe, walikuwa hawasachi watoto hivyo alikuwa hakaguliwi.

Musukuma amemtaja mbunge mwenzie, Kishimba kufungua ofisi ya kurudisha fedha kwani pia ilikuwa changamoto kuzifusha.

Pia ameongea kufilisika mwaka 1998 baada ya kutapeliwa mpaka kuamua kutoroka kwani alikuwa anatafutwa na polisi ilhali yeye alikuwa anawaogopa sana.

Musukuma ameongea hayo leo July 6 wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Power breakfast.
Amezungumzia pia jinsi walivyomuibia Muhindi na kumchomea duka Mombo, Tanga!?

JASILI HAACH ASILI. Hivi kweli huyu mtu kama kiongozi nategemea asitupige. Au mnaofikiri katosheka na huo wizi wake wa huko nyuma...!!?
 
Pesa na uongozi hufanywi kitu! RC wa dsm aliwahi kusema alimpiga kibaka risasi na mpaka leo hakuna aliyemgusa! Maisha ya kibaka hayana thamani
 
Back
Top Bottom