Musukuma: Profesa Sospeter Muhongo usomi wake hauna faida kwa Tanzania

Ubora wa u-darasa la saba wa msukuma ungeeleweka kama angejikita kupinga hoja ya prof. Mhongo kwa hoja mzito. Otherwise msukuma anasukuma upepo tu.
Hawezi kuwa na hoja za kumpinga profesa
 
.....Binafsi nafikiri Msukuma ana hoja apo sikubalinai nae katika kudharau wasomi...Prof Muhongo alikuwa waziri wa Nishati na madini wakati huu mchakato wa kuanzisha mradi wa umeme kwa kutumia maji ukiwa umeshika kasi...kwa nafasi yake yeye alikuwa mshauri mkuu wa Rais..si angemshauri hili la nishati ya gesi na udhaifu wa kutumia umeme wa maji? Kwa nini leo?
 
huwa unawaza
kwa kutumia makalia au? unajua huyo muhongo ndo mnufaikaji wa richmond...kwahiyo kwa akili zako unaamini ethipopia hawakuona huo umeme wa gas hadi wakawekeza kwenye maji...unajua hiyo ges inakaa mda gani hadi kuisha..je una mtambo wowote wa kuzalisha umeme wa gas au mnajisahaulisha kua hadi leo gharama kubwa za tanesco zinasababishwa na mitambo ya dowans...watanzania sijui hua tunafikiria kwa kutumia nn
 
Amebainisha kuwa ni wakati wa Serikali kuwaamini watu wenye elimu ya darasa la saba badala ya kung'ang'ania maprofesa wasiokuwa na maana ambao wakati wote wanasubiri wengine waanzishe halafu wao wabebee ajenda juu kwa juu...
Bravo Msukuma

Hapa umeonyesha ujasiri naamini waweza kuangusha mbuyu kwa kisu
 
Halafu tunalaumu MABEBERU kuwa wanatuchelewesha maendeleo wakati ni sisi wenyewe tunajichelewesha. CCM Ina entertain kuwa na sampuli za akina Lusinde, Deo Sanga na Msukuma ili wawe akina NDIYO bwana kwenye maamuzi nyeti.

Kweli nchi yenye vyuo vikuu zaidi ya 20 na annual graduates zaidi ya 30,000 bado tunaruhusu Std 7 aingie Bungeni?? We are not seeious
 
Tatizo ni ndungai anayewapa airtime ya kutukana watu
 
Yeye pamoja na wenzie wamejipumzikia kusubiria Ajira serikarini na hata walichosomea hakiwezi kuwasaidia kujikwamua
 
[emoji1][emoji1] chata tu ndio zikakufanya uzarau wasomi mkuu au kuna lingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waendelee tu kuparuana. Kwanza CCM wote hawana faida yoyote ile kwa nchi, zaidi tu ya kuifilisi.
Wanamalizana Wenyewe
Wengine Tutazame Tu Mpaka Wauwane Tukawazike
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜
 
Sheik Amri Abeid Karume alishawahi Kusema Sisi hatujasoma lakini Tumeelimika... Muhongo Kasoma lakini hajaelimika na ndio wasomi wengi wanaotuongoza serikalini... Huyo Msukuma ni Tajiri sana kwa biashara zake halali lakini Muhongo hatokuja kumfikia labda kama aliiba sana enzi za Jakaya kaficha pesa... na si vinginevyo... Wasomi wengi ni uchwara... Huko Mbele ukisikia Profesa basi kuna vitu alishaanzisha na vinasaidia Dunia Muhongo ni Dalali tu anyamaze tushaambiwa na Kibajaji ccm wengi walikuwa hawachaguliki ndio ukweli tunatao amini Nileteeni Gwajima
 
Msukuma na wewe ni mganga njaa tu, kama kweli unajua biashara mbona umeishia kununua na kuuza Mbuzi huko huko kwenu? kawekeze Dubai, Ulaya na Marekani basi tukuone !! acha kudharau Elimu za watu - wamezisotea - unafikiri kusoma ni kazi ndogo? mbona we ukaishia la Saba wakati ngombe mlikuwa nazo nyumbani msiuze uendelee na masomo.
 
Amesema baada ya hapo walichukua mchanga wakaenda nao mbele ya rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli na ilibainika kuwa mchanga huo ulikuwa na madini ya thamani kubwa.
Hela ya hayo makontena ya makinikia yaliyoshikiliwa ushaiona? thamani kubwa ipi ndugu Msukuma wakati makontena hadi wa leo hayajulikani yalipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…