Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Kweli kabisa mkuuKwa sasa Bunge lina Wajumbe ndio maana Akili ndogo zimetawala kuna Siku Wajumbe hao watasema Watendaji wa Serikali lazima wawe na Elimu ya darasa la 7 kushuka chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa mkuuKwa sasa Bunge lina Wajumbe ndio maana Akili ndogo zimetawala kuna Siku Wajumbe hao watasema Watendaji wa Serikali lazima wawe na Elimu ya darasa la 7 kushuka chini
kizamanikizaman haswaaaMbona wanasema msukuma ni tajiri na hajasoma? Kwahiyo ana utajiri wa kizamani?
Hakika kabisa mkuu.Tukubaliane kimsingi mbunge aliyeishia darasa la saba hawezi akajilinganisha na hata mtu aliyeishia form 4 katika uwanja mpana wa kupambanua mambo. Geita wamekula hasara
Hakika kabisa mkuu.
Hakika kabisa mkuu.
Siyo siri ni mizigo hasa isiyo bebeka.Hakika kabisa mkuu.
Bure kabisa bora ungesema tanganyika busZuberi ya Mwanza
wasukuma washamba sana hawana wasomi?? wanachagua watu wakulialia tuuu!!Wanazalaulika sana ila mda mwingine wanatoa pointi mkuu
Sawa mkuu upo sahihi.wasukuma washamba sana
Hapo nakupinga wasomi wapo wengi.hawana wasomi??
Ushamba ni...Sawa mkuu upo sahihi.
Kwani ushamba ni nini?
Hapo nakupinga wasomi wapo wengi.
Sema labda uwe na chuki binafsi
Hahahaaa,elimu haiongezi akili wala uzalendo,tofauti ya muhongo na msukumu ni uadilifu na uzalendo,km wewe ni msomi huwezi kufunga mikataba ya kimangungo namna hiyo mikataba ya muhongo,Tukubaliane kimsingi mbunge aliyeishia darasa la saba hawezi akajilinganisha na hata mtu aliyeishia form 4 katika uwanja mpana wa kupambanua mambo. Geita wamekula hasara
Inahitaji nini?!!!, wewe kweli ndie mjingaKuwa tajiri haiitaji kuwa msomi.
Na hii ya kukulia kazini ndo utakuta wazungu wengi huko ughaibuni ambao ni CEOs ni wale walokulia kazini.kwenye pointi ya " LA saba wamekulia kwenye kazi" nimemuelewa... ifike mahala tuwajaribu na hawa watu kuliko hao wanaojiita maprofesa...
🙏🙏🙏Sawa mkuuUshamba ni...
hali ya mtu au kundi la watu flani,ktk jamiifulani kutokuwa na weledi,uwezo, maarifa, juhudi na ujuvi wa mambo ya kisasa na ya kawaida mno, yanayotumika kumudu maisha yao ya kila siku, ktk jamii husika, kiuchumi kisiasa na kiutamaduni.
Kiukweli hatuna namna ya kumsadia huyo Mbunge mzee wako.
Dawa ni msukuma kwenda shule tu! Siyo kuponda professional ya mtu mwengine hadharani hivo.sababu ya kinyongo cha kukosa alicho nacho mwenzako...ndivo mlivo!!
Mbunge km huyu ndio waleee waliokuwa wanacheka wenzao shuleni eti wametumwa na kijiji. Kisa wanasoma sana, roho zinawauma.
Tena bila aibu muhongono ni level ya baba yako aliye kuzaa??kiafrica tu ulikosea! Kibongo tayari ni anatembea na laana huyo kijana. Au Alisha laaniwa kitambo labda.
Hana akili ya ku present jambo kistaarabu, hizi skills za,uvumilivu ustaarabu si lazima uende shule ya kidhuungu!
ni taaluma zetu humu humu za kijadi africans tulifundishwa kijijini kwetu jinsi ya kuheshimu wazee!
Hata akijamba hadharani. Unapiga kimya, akifanya ujinga
kucheka ni laana tosha!
Huyo mbunge hana born with skills ya ku present jambo kwa mantiki!! Babu yenu Muhongo siyo yesu!!hivo basi
lazima tu akosee!! Ktk career yake no matter what come!!ndio utimilifu wa mwanadamu! Nyerere alikosea meeengi mno na aliwahi kukili.
Hata weye familia yenu una makosa kibao!....yakufanyana accidentally wamekunyanyapaa??
Manabii km Yuda,Daudi,Musa,petro nk hawa walitembea na Mungu hasa, tena km rafiki yao lkn walimkosea Mungu wetu sana tu, mara kibao,Je walidhalilishwa??
yaani yule tulie umbwa kwa mfano wake hakuwazomea wala kuwa disqualify hadharani walioshindwa km huyu mbunge wako alivofanya.yeye nani?..
Sijui kaumbwa na nani huyu...anyway anaijua siri.
mtu asiye kuwa na skills ya uvumilivu ktk kazi yake hafai hata kuongoza kundi la ng'ombe.kondoo.hata mbuzi manake watapotea tu. Ajili ya chuki na uzwazwa na huo utajiri wake ni ndago za kisukusu kabisaaa...subiri.
Mbunge km huyu mwenye mipasho Hana ile kitu.. born with talents to be a leader.
Sitaki kusema Wasukuma walikurupuka kumchagua. bali ni wazi En simply matokeo ya kuiba kura haya.....
Si ana hela?? !! Alishindwa kwenda hapo chuo cha siasa kigambo??japo......
Naivity in english means.....ngoja kwanza.....narudi...
Mbona msukuma hajasoma na ni tajiriInahitaji nini?!!!, wewe kweli ndie mjinga
Usomi ni kuwa na elimu ....kitabu kina elimu ila hakina AKILI hivyo ndiyo maprof na wasomi wetu walivyo wanayo ELIMU ILA HAWANA AKILIUsomi wake sasa ndio unaonekana. Tuache kutukana wasomi tunawakatisha tamaa