Musukuma: Profesa Sospeter Muhongo usomi wake hauna faida kwa Tanzania

Musukuma: Profesa Sospeter Muhongo usomi wake hauna faida kwa Tanzania

Ndugu wa-Tanzania, ifike wakati tuvitumie viungo vyetu tulivyopewa naMwenyezi Mungu kwa kazi iliyokusudiwa, mathalan tutumie bongo zetu kufikiri na midomo kutamamka yale yaliyo kwishafanyiwa kazi na bongo zetu.

Prof. Sospita nimemsikiliza kwa makini sana, ametoa ushauri mzuri tu. Sasa anatokeza mtu ametokea alikotokea anatumia mdomo kufikiri badala ubongo wake. Musukuma na Lusinde, msidhani wa-Tanzania ni wapumbavu sana wa kusikiliza porojo zenu.

Ni vyema mara nyingi kukaa kimya endapo huna uwezo wa kuchangia hoja kubwa za kisayansi
You Nailed it....Darasa la Saba hao labda watamdanganya Ndugai lakini sisi tulioenda shule kwa hera ya wazazi wetu Masikini Hatudanganyiki na Uhoro wao
 
Bunge liache kuchukia wasomi.Msukuma Rudi darasani na huyo Livingston. Professor Ni mtu muhimu katika jamii.Ni bora msukuma arudil kwenye biashara yake ya kuuza simu mbovu huko Tanga kuliko kuwa mpiga porojo bungeni
.
 
Msukuma ni la saba ila ana utajiri ambao ukoo wako wote hawawezi kuwa nao pamoja na kumaliza kwao form 4
Daah [emoji1787][emoji1787] unaufahamu ukoowangu mkuu? Hata hivyo kuwa tajiri si lazima uwe msomi mkuu.
 
Eti hawezi kulinganisha na mtu wa form 4!! Ni ujinga mtupu!

Musukuma ni darasa la saba lakini ni milionea na ana kampuni la mabasi na biashara nyinginezo na amevipata kabla hata ya kuwa Mbunge sasa kimtazamo tu hiyo ni akili na uwezo wa kupambanua mambo katk kujikwamua.

Haya wewe tuambie nadhani pia wewe ni msomi ongeza na wasomi wenzio uliosoma nao vipi unamfikia hata nusu ya utajiri alionao Musukuma?
Ndagu hizo za kisukusu. ūsubiri tu atapukutika. Mpakaaa
 
Mzee hizo ndagu ulimpa wewe? Ina maana mtu dizaini ya Musukuma hafai kumiliki utajiri ambao hana, usichokijua ni kwamba jamaa kaanza ku-fight kitambo sasa komaa na ndagu
Ndagu hizo za kisukusu. ūsubiri tu atapukutika. Mpakaaa
 
Kuwa tajiri haiitaji kuwa msomi.
zamani siyo siku hizi. Lazima shule ipande uongee kiinglish km huko Dubai .china uk.Usa kwa wajanja.

Humo ndani kwenu mtafilisiwa na wajinga.
 
Mzee hizo ndagu ulimpa wewe? Ina maana mtu dizaini ya Musukuma hafai kumiliki utajiri ambao hana, usichokijua ni kwamba jamaa kaanza ku-fight kitambo sasa komaa na ndagu
nilimpa mimi?????
Ame faiti akasahau kusoma?? Mahesabu anapigaje bila shule?? Biashara kubwa siyo kujumlisha na kutoa tu....

Ina maana majini yanampigia!!

Ok! Amefanyaje manunuzi ya yutong kumi! Wakati hajui kiinge.

Gachuma hakusoma mwanzo. lkn ilibidi akasome upya mpaka sasa hakamatiki kwa mibiashara ya kimataifa huko australia ana kimbiza.
Huko WTU ataongea nini km hata Hujui english tu??
Bado huoni kuwa ni majini hayo yanamletea??

Hata biblia imetaja majini tunajua!!
 
Eti hawezi kulinganisha na mtu wa form 4!! Ni ujinga mtupu!

Musukuma ni darasa la saba lakini ni milionea na ana kampuni la mabasi na biashara nyinginezo na amevipata kabla hata ya kuwa Mbunge sasa kimtazamo tu hiyo ni akili na uwezo wa kupambanua mambo katk kujikwamua.

Haya wewe tuambie nadhani pia wewe ni msomi ongeza na wasomi wenzio uliosoma nao vipi unamfikia hata nusu ya utajiri alionao Musukuma?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Eti hawezi kulinganisha na mtu wa form 4!! Ni ujinga mtupu!

Musukuma ni darasa la saba lakini ni milionea na ana kampuni la mabasi na biashara nyinginezo na amevipata kabla hata ya kuwa Mbunge sasa kimtazamo tu hiyo ni akili na uwezo wa kupambanua mambo katk kujikwamua.

Haya wewe tuambie nadhani pia wewe ni msomi ongeza na wasomi wenzio uliosoma nao vipi unamfikia hata nusu ya utajiri alionao Musukuma?
Utajiri haupatikani kwa kigezo cha elimu na wala mwenye elimu halazimiki kuwa tajiri kwa sababu ya elimu yake.
 
Katiba ina madhaifu sana ! Imagine minimum requirement ya mtunga sheria ni KKK na darasa la 7 unategemea nini hapo
 
Niliwahi kumtembelea ndugu yangu pale Udom kwenye mabweni yao nikabahatika kuingia chooni,nilistaajabu kukuta kuta za choo zimepigwa Machata kwa kutumia kinyesi nilijiuliza sana juu ya hawa wasomi wetu kwa akiongeacho msukuma nakubaliana nae huenda hata Huyo Prof. Ni jamii ya hawa wachora kuta na kinyesi vyooni, kifupi si kila asomae sana basi jamii au familia yake itanufaika nae.
umenifikirisha sana, najiuliza wakati wanachora hizo kuta na kinyesi, walichovya kwa kidole au walitumia nini bado si amini
ila wewe sio mtu wa kwanza kulalamikia vyoo vya UDOM, miaka miwili iliyopita kuna mtu alienda UDOM akaishi hapo kama siku mbili kwenye room ya rafiki yake, aliniambia vyoo vya UDOM ni vichafu sana
 
Back
Top Bottom