Musukuma: Profesa Sospeter Muhongo usomi wake hauna faida kwa Tanzania

tatizo la 7 wanatumia nguvu maprof.wanatumia akili,na mama kasema awamu hii tumieni akili kuliko nguvu
 
Tukubaliane kimsingi mbunge aliyeishia darasa la saba hawezi akajilinganisha na hata mtu aliyeishia form 4 katika uwanja mpana wa kupambanua mambo. Geita wamekula hasara
Msukuma ni la saba ila ana utajiri ambao ukoo wako wote hawawezi kuwa nao pamoja na kumaliza kwao form 4
 
kwenye pointi ya " LA saba wamekulia kwenye kazi" nimemuelewa... ifike mahala tuwajaribu na hawa watu kuliko hao wanaojiita maprofesa...
Huu sasa ndio ujinga wa mtanzania. Mtu wa darasa la saba kweli anakuwa miongoni mwa watunga sheria!
 
Inaonekana huwa unamsikia msukuma kupitia account twitter za lisu na kigogo tu!

Nenda geita ndio utamjua msukuma ni nani
 
Msukuma ana vision kubwa kuliko Muhongo na Muhongo ajiamini kabisa anamaanisha nini maana haeleweki kwa sababu ya kufata upepo...
 
Inaonekana huwa unamsikia msukuma kupitia account twitter za lisu na kigogo tu!

Nenda geita ndio utamjua msukuma ni nani
Msukuma ana akili mingi kuliko hata Hawa wanaomkosoa humu amini nachokwambia...
 
Hii chuki ya waziwazi ya watu ambao hawajasoma sana (wao wanajiita darasa la saba LY) kwa wale wanaoitwa wasomi (nadhani wengi kuanzia degree) mbona kama inazidi kukua kwa kasi sana tatizo nini hasa?! Kwanini kila mmoja asi'appreciate mchango wa mwenzake kwenye maendeleo ya nchi yetu?! Nadhani kila mmoja ana umuhimu wake kwa wakati wake
 
We binadamu wewe?? Daah!!

Nimecheka saana aisee!!!
 
Ukweli Spika ama anajua anachokifanya au anavuta muda wake nae ufike apumzike tu. Inawezekanaje anaachia hoja mfu zisizo na faida kwa taifa ziendelee kujadiliwa ni sawa na kunajisi jengo letu la kutunga sheria. Kumsikiliza MPush na Lusinde lazima upate zao la Babu Tale na wenzake.
 
kwenye pointi ya " LA saba wamekulia kwenye kazi" nimemuelewa... ifike mahala tuwajaribu na hawa watu kuliko hao wanaojiita maprofesa...
Unataka tuweke maisha yetu rehani kwa hawa waliosoma shule za kayumba wakina Kibajaj? Haiwezekani hao kazi yao ni moja kutumika kama vipaza sauti vya propaganda za ccm!
 
Kwa sasa hakuna yoyote wa maana bungeni wote ni haramu tu,, walipita kwa njia isiyo halali,hata bungeni wataongea pumba,,
Mm mwenyewe mwanaCCM
 
Kumiliki mabasi unaita utajiri?
Nioneshe kampuni ya mabasi iliyodumu miaka 40 ukiondoa Simba mtoto ya TANGA
 
Elimu inaongeza haipunguzi...., Hata huyo wa la saba akipata elimu zaidi (elimu sio vyeti) atakuwa bora zaidi na huyo Proffesor bila hio elimu angekuwa bogus zaidi...

Kwenye kuwakilisha / kutoa msaada kwa jamii hakuitaji kisomo, kisomo ni added value (pia kuelewa matatizo yao hao unaowasaidia yahitaji uelewa) ambayo nayo pia ni elimu
 
Msukuma hajui kama Prof Muhongo ndio aliongoza jopo la wajumbe walikwenda uganda kupora project ya EACOP ? sasa mchango upi tena anaousemma yeye
 
Elimu ya mtu haiondoi upumbafu wake.
 
Tukubaliane kimsingi mbunge aliyeishia darasa la saba hawezi akajilinganisha na hata mtu aliyeishia form 4 katika uwanja mpana wa kupambanua mambo. Geita wamekula hasara
Kwani Bwasheeeee Msukuma anaofauti na Professor Muhongo binadamu wote ni sawa
 
Tukubaliane kimsingi mbunge aliyeishia darasa la saba hawezi akajilinganisha na hata mtu aliyeishia form 4 katika uwanja mpana wa kupambanua mambo. Geita wamekula hasara
Kwani Bwasheeeee Msukuma anaofauti na Professor Muhongo binadamu wote ni sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…