pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 743
- 1,148
Kumiliki mabasi unaita utajiri?
Nioneshe kampuni ya mabasi iliyodumu miaka 40 ukiondoa Simba mtoto ya TANGA
sina neno na wewe mkuu [emoji1][emoji1]Darasa La Nne B [emoji849][emoji55][emoji58][emoji52][emoji846][emoji5]
You Nailed it....Darasa la Saba hao labda watamdanganya Ndugai lakini sisi tulioenda shule kwa hera ya wazazi wetu Masikini Hatudanganyiki na Uhoro waoNdugu wa-Tanzania, ifike wakati tuvitumie viungo vyetu tulivyopewa naMwenyezi Mungu kwa kazi iliyokusudiwa, mathalan tutumie bongo zetu kufikiri na midomo kutamamka yale yaliyo kwishafanyiwa kazi na bongo zetu.
Prof. Sospita nimemsikiliza kwa makini sana, ametoa ushauri mzuri tu. Sasa anatokeza mtu ametokea alikotokea anatumia mdomo kufikiri badala ubongo wake. Musukuma na Lusinde, msidhani wa-Tanzania ni wapumbavu sana wa kusikiliza porojo zenu.
Ni vyema mara nyingi kukaa kimya endapo huna uwezo wa kuchangia hoja kubwa za kisayansi
Ubelgiji kwa amsterdam aliko Lisugeita ndiyo wapi?
Wewe na elimu yako umenisaidia nini katika maisha yangu, msomi aliyeelimika hana muda wa kupoteza kama wewe si ajabu una digrii ya chupi unajiita msomi
Daah [emoji1787][emoji1787] unaufahamu ukoowangu mkuu? Hata hivyo kuwa tajiri si lazima uwe msomi mkuu.Msukuma ni la saba ila ana utajiri ambao ukoo wako wote hawawezi kuwa nao pamoja na kumaliza kwao form 4
Ndagu hizo za kisukusu. ūsubiri tu atapukutika. MpakaaaEti hawezi kulinganisha na mtu wa form 4!! Ni ujinga mtupu!
Musukuma ni darasa la saba lakini ni milionea na ana kampuni la mabasi na biashara nyinginezo na amevipata kabla hata ya kuwa Mbunge sasa kimtazamo tu hiyo ni akili na uwezo wa kupambanua mambo katk kujikwamua.
Haya wewe tuambie nadhani pia wewe ni msomi ongeza na wasomi wenzio uliosoma nao vipi unamfikia hata nusu ya utajiri alionao Musukuma?
Ndagu hizo za kisukusu. ūsubiri tu atapukutika. Mpakaaa
Sasa unaona msukuma na udarasa la saba wake kamzidi maarifa muhongoDaah [emoji1787][emoji1787] unaufahamu ukoowangu mkuu? Hata hivyo kuwa tajiri si lazima uwe msomi mkuu.
zamani siyo siku hizi. Lazima shule ipande uongee kiinglish km huko Dubai .china uk.Usa kwa wajanja.Kuwa tajiri haiitaji kuwa msomi.
nilimpa mimi?????Mzee hizo ndagu ulimpa wewe? Ina maana mtu dizaini ya Musukuma hafai kumiliki utajiri ambao hana, usichokijua ni kwamba jamaa kaanza ku-fight kitambo sasa komaa na ndagu
Nchi Hii Ngumu Sana. Bila Ujanjaujanja Hutoboi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti hawezi kulinganisha na mtu wa form 4!! Ni ujinga mtupu!
Musukuma ni darasa la saba lakini ni milionea na ana kampuni la mabasi na biashara nyinginezo na amevipata kabla hata ya kuwa Mbunge sasa kimtazamo tu hiyo ni akili na uwezo wa kupambanua mambo katk kujikwamua.
Haya wewe tuambie nadhani pia wewe ni msomi ongeza na wasomi wenzio uliosoma nao vipi unamfikia hata nusu ya utajiri alionao Musukuma?
Utajiri haupatikani kwa kigezo cha elimu na wala mwenye elimu halazimiki kuwa tajiri kwa sababu ya elimu yake.Eti hawezi kulinganisha na mtu wa form 4!! Ni ujinga mtupu!
Musukuma ni darasa la saba lakini ni milionea na ana kampuni la mabasi na biashara nyinginezo na amevipata kabla hata ya kuwa Mbunge sasa kimtazamo tu hiyo ni akili na uwezo wa kupambanua mambo katk kujikwamua.
Haya wewe tuambie nadhani pia wewe ni msomi ongeza na wasomi wenzio uliosoma nao vipi unamfikia hata nusu ya utajiri alionao Musukuma?
umenifikirisha sana, najiuliza wakati wanachora hizo kuta na kinyesi, walichovya kwa kidole au walitumia nini bado si aminiNiliwahi kumtembelea ndugu yangu pale Udom kwenye mabweni yao nikabahatika kuingia chooni,nilistaajabu kukuta kuta za choo zimepigwa Machata kwa kutumia kinyesi nilijiuliza sana juu ya hawa wasomi wetu kwa akiongeacho msukuma nakubaliana nae huenda hata Huyo Prof. Ni jamii ya hawa wachora kuta na kinyesi vyooni, kifupi si kila asomae sana basi jamii au familia yake itanufaika nae.