Muswada wa Bima ya Afya kwa wote wasomwa Bungeni

Muswada wa Bima ya Afya kwa wote wasomwa Bungeni

Hawa waajiriwa sekta ya umma na binafsi ndiyo wanatakiwa kuwabeba wakulima, wavuvi, wafugaji, machinga, mama-ntilie n.k ? Kwanini wabebeshwe mzigo wa asilimia 70 wanaofanya shughuli zingine binafsi.

Huu mfuko wa bima ya afya lazima utaelemewa labda serikali iseme pia itakuwa inatenga fedha kwenda mfuko huo kwa ajili ya wale wengi amvao siyo waajiriwa ktk serikali na sekta rasmi ya binafsi.
Huduma zinaweza kuwa duni, pili itawaongezea gharaama wale ambao tayari walikuwa wanapataa huduma bora kupitia kujigharamia kwani watachangia bima kwa lazimaa lakini kwa sababu wao walikuwa tayari wanatibiwa hospitali bora za binafsi hawaatakubali kupata huduma mbovu katika hospitali za umma. Hivyo watakatwa kama kawaida kwa sababu ni lazima lakini wataaenda private kutibiwa kwa gharama zao binsfsi labda mfuko uwaruhusu waendelee kutibiwa hospitali za binafsi kwa bima kama ilivyo sasa.
 
Kwanza ukienda hospital kwa wanaotumia bima mara uambiwe mtandao uko chini subiri,sasa mtu unaumwa unaambiwa usubiri wakilazimisha iwe kwa wote wana uhakika mifumo yao itaweza kumudu
 
Mimi nilijua Bima ya Afya kwa wote serikali ndio itakuwa inalipa mpunga kumbe ni mtu anayetaka ndio anapata,mbona sioni utofauti na bima ya sasa? MImi naona seriklia inajitafutia mapato tu kwa wafanyakzai wa secotr binafsi kwa hiyo 12% ya salary.
 
Another TRASH TAKATAKA in the MAKING.

Take it, or Leave it.

NHIF iko hoi, ni TAKATAKA.

iCHF ni MZOGA kabisa unaonuka.

Suluhisho, Wanaamini ni Bima ya Afya kwa WOTE.

Yaani WATU ( Wote ) wachangie halafu hao watu watakaochangia, kwa akili yao WATAKUWA hawaugui MARA KWA MARA wala Kwenda kwenye VITUO VYA AFYA Mara kwa MARA.

Na hivyo, pesa zao walizochangia WATAZICHUKUA na KULIPA MADENI na STAREHE za NHIF ili kunusuru MFUKO.

Nasubiria VILIO na BOMU zito litakalolipuka.
km huuumwi si unamshukuru Mungu? Kuna suala la wategemezi, siku ukipatwa na tatizo na huna pesa ndio utakumbuka umuhimu wa hii sheria.
 
Back
Top Bottom