beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Kamati ya Bunge zima leo imepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2021 baada ya kuipitia Ibara kwa Ibara.
Muswada huo unalenga kufanya marekebisho katika Sheria zipatazo Tatu kwa lengo la kuondoa matumizi ya Kiingereza kama Lugha ya Sheria na Mahakama, na badala yake kutumia Kiswahili.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, Muswada huo ambao umepitishwa utaelekea kwa Rais.
Muswada huo unalenga kufanya marekebisho katika Sheria zipatazo Tatu kwa lengo la kuondoa matumizi ya Kiingereza kama Lugha ya Sheria na Mahakama, na badala yake kutumia Kiswahili.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, Muswada huo ambao umepitishwa utaelekea kwa Rais.