Muujiza wa Familia ya Nigeria ulivyoishangaza Sayansi

Muujiza wa Familia ya Nigeria ulivyoishangaza Sayansi

Hajapigwa na walipima DNA.
Na wala sayansi haikushangazwa walilitolea ufafanuzi wa kisayansi.
 
Imani ni bayana ya mambo yatarajiwayo.......Eti ni muujiza!!??
Muujiza kwenye hadithi, ukishawezekana si muujiza tena.

Hii issue ingetokea Nigeria vijijini huko hamna wazungu na watu hawatoki, ingekuwa na uzito zaidi.

Sasa badala ya kutokea Nigeria vijijini, imeenda kuchagua kutokea London Uingereza katikati ya wazungu!
 
Hajapigwa na walipima DNA.
Na wala sayansi haikushangazwa walilitolea ufafanuzi wa kisayansi.
Mhhhh! Alipima vituo (maabara) vingapi? ref. Completely Randomized Design. au Randomized Replication of the trials.
 
Muujiza kwenye hadithi, ukishawezekana si muujiza tena.

Hii issue ingetokea Nigeria vijijini huko hamna wazungu na watu hawatoki, ingekuwa na uzito zaidi.

Sasa badala ya kutokea Nigeria vijijini, imeenda kuchagua kutokea London Uingereza katikati ya wazungu!
Nadhani atakuwa amejifunza kitu kama ataisoma komenti hii 👆 👆 para ya mwisho.
 
Jamaa aache uboya
Kwani hata mwanamke angetembea na mzungu mtoto angekuwa hivi? Si angekuwa chotara? Hii habari ni ya siku nyingi na baada ya uchanguzi iligundulika kuwa wazazi wote wana nasaba za kizungu walizopata kupitia kwa mababu wa zamani.
 
Mnamo mwaka 2010, wanandoa wa Nigeria waliokuwa wakiishi Uingereza, Ben na Angela Ihegboro, walipata mtoto wao wa kike aliyeitwa Nmachi, aliyezaliwa akiwa na nywele za rangi ya dhahabu, macho ya bluu, na ngozi nyeupe, licha ya Ben na Angela wote kuwa na asili ya Nigeria na kutokuwa na historia yoyote inayojulikana ya mababu wenye asili ya kizungu. Ben Ihegboro alisema kuwa mwanzoni alishangazwa na kustaajabu, na kwa utani akauliza kama mtoto huyo ni wake, lakini hakuwa na shaka na uaminifu wa mke wake.

Wanandoa hao waliamua kumpa binti yao jina Nmachi, lenye maana ya "Uzuri wa Mungu," na walimchukulia kama “mtoto wa kimiujiza.” Wataalamu wa matibabu walivutiwa na tukio hilo na kutoa nadharia kadhaa. Nadharia iliyotolewa ni kwamba huenda kulikuwa na vinasaba vya kizungu vilivyojificha, ambavyo vingeweza kurithiwa kutoka kwa mababu wa mbali.

#EastAfricaTV #HainaKuchoka ✍️@_centralboy View attachment 3178778 😁 Sasa unafikilia Nini ila watu🤣
Mkuu hii movie inaitwaje na mimi nikaipakue huko mtandaoni maana inaonekana ni kali sana
 
Mnamo mwaka 2010, wanandoa wa Nigeria waliokuwa wakiishi Uingereza, Ben na Angela Ihegboro, walipata mtoto wao wa kike aliyeitwa Nmachi, aliyezaliwa akiwa na nywele za rangi ya dhahabu, macho ya bluu, na ngozi nyeupe, licha ya Ben na Angela wote kuwa na asili ya Nigeria na kutokuwa na historia yoyote inayojulikana ya mababu wenye asili ya kizungu. Ben Ihegboro alisema kuwa mwanzoni alishangazwa na kustaajabu, na kwa utani akauliza kama mtoto huyo ni wake, lakini hakuwa na shaka na uaminifu wa mke wake.

Wanandoa hao waliamua kumpa binti yao jina Nmachi, lenye maana ya "Uzuri wa Mungu," na walimchukulia kama “mtoto wa kimiujiza.” Wataalamu wa matibabu walivutiwa na tukio hilo na kutoa nadharia kadhaa. Nadharia iliyotolewa ni kwamba huenda kulikuwa na vinasaba vya kizungu vilivyojificha, ambavyo vingeweza kurithiwa kutoka kwa mababu wa mbali.

#EastAfricaTV #HainaKuchoka ✍️@_centralboy View attachment 3178778 😁 Sasa unafikilia Nini ila watu🤣
Nimesikitika kuona kichwa cha habari ikisema muujiza,hiyo ni mpango wa baba na mkewe au baba kachapiwa hiyo ndio nadharia kubwa hapo
 
Ni muujiza kwa maana mweusi + mweupe = chocolate baby.
Sasa huyu ni mzungu pyuwa.
Narudia tena ni muujiza

Unajuaje wazazi ni mweusi na mweupe?

Herufi tatu tu zinamaliza mjadala.

DNA.
 
Back
Top Bottom