Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Tena kapigwa na kitu kizito.Jamaa kapigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kapigwa na kitu kizito.Jamaa kapigwa
Imani ni bayana ya mambo yatarajiwayo.......Eti ni muujiza!!??Kabla ya kuita muujiza wapime DNA na kulinganisha na baba.
Muujiza kwenye hadithi, ukishawezekana si muujiza tena.Imani ni bayana ya mambo yatarajiwayo.......Eti ni muujiza!!??
Mhhhh! Alipima vituo (maabara) vingapi? ref. Completely Randomized Design. au Randomized Replication of the trials.Hajapigwa na walipima DNA.
Na wala sayansi haikushangazwa walilitolea ufafanuzi wa kisayansi.
Nadhani atakuwa amejifunza kitu kama ataisoma komenti hii 👆 👆 para ya mwisho.Muujiza kwenye hadithi, ukishawezekana si muujiza tena.
Hii issue ingetokea Nigeria vijijini huko hamna wazungu na watu hawatoki, ingekuwa na uzito zaidi.
Sasa badala ya kutokea Nigeria vijijini, imeenda kuchagua kutokea London Uingereza katikati ya wazungu!
Kwani hata mwanamke angetembea na mzungu mtoto angekuwa hivi? Si angekuwa chotara? Hii habari ni ya siku nyingi na baada ya uchanguzi iligundulika kuwa wazazi wote wana nasaba za kizungu walizopata kupitia kwa mababu wa zamani.Jamaa aache uboya
Mkuu hii movie inaitwaje na mimi nikaipakue huko mtandaoni maana inaonekana ni kali sanaMnamo mwaka 2010, wanandoa wa Nigeria waliokuwa wakiishi Uingereza, Ben na Angela Ihegboro, walipata mtoto wao wa kike aliyeitwa Nmachi, aliyezaliwa akiwa na nywele za rangi ya dhahabu, macho ya bluu, na ngozi nyeupe, licha ya Ben na Angela wote kuwa na asili ya Nigeria na kutokuwa na historia yoyote inayojulikana ya mababu wenye asili ya kizungu. Ben Ihegboro alisema kuwa mwanzoni alishangazwa na kustaajabu, na kwa utani akauliza kama mtoto huyo ni wake, lakini hakuwa na shaka na uaminifu wa mke wake.
Wanandoa hao waliamua kumpa binti yao jina Nmachi, lenye maana ya "Uzuri wa Mungu," na walimchukulia kama “mtoto wa kimiujiza.” Wataalamu wa matibabu walivutiwa na tukio hilo na kutoa nadharia kadhaa. Nadharia iliyotolewa ni kwamba huenda kulikuwa na vinasaba vya kizungu vilivyojificha, ambavyo vingeweza kurithiwa kutoka kwa mababu wa mbali.
#EastAfricaTV #HainaKuchoka ✍️@_centralboy View attachment 3178778 😁 Sasa unafikilia Nini ila watu🤣
Acha hizoJamaa aache uboya
Sasa anakubalianaje kirahisi-rahisi hivo?Acha hizo
Katika Uislamu kama umeoa na akazaliwa ktk ndoa ni mtoto wakoJamaa kapigwa
Why muende mbali mtafute miujiza?, kwanini isiwe mke amegongwa tu na wazungu tena huko kwao?
Kabla ya kuita muujiza wapime DNA na kulinganisha na baba.
Nimesikitika kuona kichwa cha habari ikisema muujiza,hiyo ni mpango wa baba na mkewe au baba kachapiwa hiyo ndio nadharia kubwa hapoMnamo mwaka 2010, wanandoa wa Nigeria waliokuwa wakiishi Uingereza, Ben na Angela Ihegboro, walipata mtoto wao wa kike aliyeitwa Nmachi, aliyezaliwa akiwa na nywele za rangi ya dhahabu, macho ya bluu, na ngozi nyeupe, licha ya Ben na Angela wote kuwa na asili ya Nigeria na kutokuwa na historia yoyote inayojulikana ya mababu wenye asili ya kizungu. Ben Ihegboro alisema kuwa mwanzoni alishangazwa na kustaajabu, na kwa utani akauliza kama mtoto huyo ni wake, lakini hakuwa na shaka na uaminifu wa mke wake.
Wanandoa hao waliamua kumpa binti yao jina Nmachi, lenye maana ya "Uzuri wa Mungu," na walimchukulia kama “mtoto wa kimiujiza.” Wataalamu wa matibabu walivutiwa na tukio hilo na kutoa nadharia kadhaa. Nadharia iliyotolewa ni kwamba huenda kulikuwa na vinasaba vya kizungu vilivyojificha, ambavyo vingeweza kurithiwa kutoka kwa mababu wa mbali.
#EastAfricaTV #HainaKuchoka ✍️@_centralboy View attachment 3178778 😁 Sasa unafikilia Nini ila watu🤣
Ni muujiza kwa maana mweusi + mweupe = chocolate baby.
Sasa huyu ni mzungu pyuwa.
Narudia tena ni muujiza