Muujiza wa Familia ya Nigeria ulivyoishangaza Sayansi

Wangekuwa wamezaliana kijiji cha ikuti mbeya ambapo hakuna mtu mweupe hata mmoja stori ingekuwa haina shaka ila wapo uingereza halafu tunapangwa tukubali maajabu.
 
Mbona ilishatokea pia South Africa, tena kwa Wazungu kumzaa mtoto maeusi? Japo baba yake alimkataa kabisa, ilikuja kufahamika baadaye binto akiwa ameshakuwa mtu mzima kuwa alikuwa mtoto halali wa Mzungu. Wazazi wake walikuwa na "damu" ya Kiafrika.
 
Unajuaje wazazi ni mweusi na mweupe?

Herufi tatu tu zinamaliza mjadala.

DNA.

Issue ni hii, mtoto wa muafrika na mzungu lazima awe chotara. Sasa hapa baba na mama wote ni weusi, halafu wanazaa mtoto blonde with blue eyes. Hiyo ni muujiza ama walimbadilishia mtoto. Lkn si kuchepuka.

DNA inaweza kutatua hili
 
Issue ni hii, mtoto wa muafrika na mzungu lazima awe chotara. Sasa hapa baba na mama wote ni weusi, halafu wanazaa mtoto blonde with blue eyes. Hiyo ni muujiza ama walimbadilishia mtoto. Lkn si kuchepuka.

DNA inaweza kutatua hili
Unajuaje baba na mama wote ni weusi?
 
Hapo hujaona wamesema social father wake au mme wa huyo mzazi si ni mweusi?
Kwani lazima mme wa mwanamke ndiye awe baba wa mtoto?

Unaelewa kuwa bila DNA test hatuwezi kuwa na uhakika kuwa huyo ni hata mtoto wa huyo mama, achilia mbali huyo baba?
 
Hapa Tanzania tungegawana majengo ya serikali
 
Sasa hapo mbona ipo wazi. Huitaji akili kubwa kubaini kuwa Jamaa kapigwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…