Muundo wa Muungano: Tanganyika tunataka 'Serikali moja, nchi moja, taifa moja'!

Muundo wa Muungano: Tanganyika tunataka 'Serikali moja, nchi moja, taifa moja'!

Baadae utasikia raisi 2,spika 2, mabunge 2, majaji wakuu 2, (me na ke) "ubaguzi huu"
serikali moja na mbunge mmoja.
 
Mkuu Mwanakijiji,
Na hili hili la wabunge wawiliwawili (jinsia tofauti) kwa jimbo unalionaje? Mbona kwa wenzetu waliotutangulia kwenye maswala ya demokrasia hatujawahi kusikia upuuzi huu? Kituko tulicholetewa na Warioba hakilingani na gharama tulizowalipa.

Mkuu Gagnija hilo nalo ni jambo kubwa sana la kujadiliwa hapa JF kwa GT.

Nakushauri ungeanzisha thread mpya tulidadavue.
 
Last edited by a moderator:
Let Zanzibar go bana tubaki na tanganyika yetu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
kama zanzibar wanajitoa wajitoe moja kwa moja mambo ya serikari tatu hizo gharama za uendeshaji si ni kutuumiza walipa kodi jamani??
 
Binafsi nnakubaliana na mfumo wa serikali tatu,
 
Hili linaweza kuwa baya kuliko yote,nimeangaika kutafuta kama kuna nchi duniani yenye mfumo kama huu nimekosa.Huenda Tanzania ikaweka historia kwa jambo la kipuuzi kama hilo.Mpaka hapa tulipo tunatakiwa kupunguza kwani ni gharama sana kuwalipa,unaweza ukaangalia uwiano wa wanawake bungeni duniani kwa kila nchi na Tanzania ikiwa ni ya 20;Women in Parliaments: World Classification
Majirani zako Kenya!
 
Hizo ni fikra zako na mtazamo wako juu yangu halafu huwezi kuniita kijana hunijui wewe hauna ukubwa wa hivyo kuniita mie kijana.

Wewe umesema wamechagua serikali tatu ni maajabu mimi nilitaka kuyajua hayo maajabu.

Kila mmoja wetu ana haki kwenye hili jambo hakuna aliyeleta mambo ya siasa.

Afu we mkuda usitake kutuharibia thread kabisa wewe, nenda kwny threads zako za kimbea-mbea
 
Katika mazingira ya siasa za Zanzibar za sasa kwa hakika kutaka serikali moja ni "kulilia mbaramwezi"! - Halitatokea!. "Tulifanya" makosa kutunga sheria inayozuia watu wasitoe maoni yao juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa muungano. Na haya ndio malipo yake!

Tungeanza kwanza kuwauliza watu kama wanataka kuendelea kuungana ama la, kabla ya kuwauliza mfumo wa muungano wanaoutaka. Ukitizama maoni/mapendekezo ya sasa ya baadhi ya wazanzibari, ni wazi hawataki kuendelea na huu muungano na hata watanganyika baadhi yetu hatuoni faida za wazi za muungano huu.
 
Allocating Zanzibaris fewer seats in the proposed union parliament amounts to shortchanging them. The proposed parliament would have 75 members--50 from the Mainland, 20 from Zanzibar and five appointed by the President.

“In the union, we are equal partners,” There is no small country and big country. That is why all countries in the East African Community field equal numbers of members in the EAC Legislative Assembly regardless of the size of the country or its population. While Tanzania in size not equal to Burundi or Rwanda
 
Kwa rasimu hii tunahitaji kuwatimua na kuishitaki tume ya Warioba na pia kuwa chunguza kama zimetimia kweli
 
Knock knock! Who is there? Tanganyika. To some Tanganyika has come back too soon. Qouting Dylan,MK times they are changing, admit the waters around you have grown, accept it. You better start swimming or you will sink like a stone.
 
Kwa asili wazanzibar ni walalamishi na kila mtu anataka lazima awe kiongozi.hata wakiruhusiwa kujitenga hukohuko kwao watataka vijiji navyo viwe na haki kamili kama Nchi.infact hawajui nini wanakitaka.ukiwasikiliza sana utabaini kuwa wangependa tuwe na muungano ambao utawapa wao kila kitu bila kufanyakazi!! TO BE REALISTIC, MUUNGANO NA WAZANZIBARI NI KERO.
 
Tunataka serikali moja tu

Serikali ya watu wa TANGANYIKA

Hao wengine hatutaki kuwasikia, waende kupika urojo huko kwao

Ni wakati umefika Ng'ombe akatae kunyonywa na kupe mlalamishi.

Hivi kwanza wana faida gani kwa bara hawa wazenji zaidi ya kelele na udini?

Chukua tano hapo kwenye RED nimekuwa natafuta neno la kutumia dhidi ya hawa watu bila mafanikio. Nafikiri ujumbe umefika, kwani wanafaidi matunda ya muungano huku wakipiga kelele kama hawana akili nzuri, wakati wa vitambulishio vya taifa wengi wao waliandika kuwa ni wabara, na wengine tunao maofisini kwao Pemba lakini wanadai in watu wa Tanga wakati ukweli unajulikana na mara nyingi wanajisahau na kutetea kujitenga kwa muungano eti bara wanawanyonya na kuwanyima fursa. Kwa haya yote naungana nawe na kukupongeza kwa kupata jina zuri, kwani kupe kawaida yao ni kuwa kimya wakati wakinyonya lakini hawa acha tu
 
Wakuu; Cuf,kule zanzbar hawataki kabisa muungano japo hawasemi wazi wazi.Uamsho ambao kwa kiasi wanaungwa mkono na Cuf hawataki muungano.CCM kule zanzbar wanataka muungano lakini wanajua vizuri kwamba njia ambayo inaweza kuwapa viti vingi vya kiungozi ni kuwa na serikali kuanzia serikali mbili na kuendelea!.Kwa sababu hiyo basi; Wazanzbar wengi hawatakubali serikali moja.


Kuhusu watu wa bara; Wengi wao bila kujali sana vyama vyao, wanataka serikali moja, nchi moja, watu wa moja, raisi mmoja, sarafu moja.Lakini ili kujaribu kuwa sawia na wenzao wa Zanzbar, ndio maana wanaamua kuwa "flexible".

Kwa mazingira haya; hatuwezi kuwa na serikali moja na pande zote zikabaki zikiwa zimeridhika licha ya kwamba nadharia ya serikali tatu nayo haina maana na wala maslahi kwa wananchi wa kawaida wa pande zote.
 
Mkuu Mwanakijiji,
Na hili hili la wabunge wawiliwawili (jinsia tofauti) kwa jimbo unalionaje? Mbona kwa wenzetu waliotutangulia kwenye maswala ya demokrasia hatujawahi kusikia upuuzi huu? Kituko tulicholetewa na Warioba hakilingani na gharama tulizowalipa.

hiyo wamekopy paste Kenya
 
Mkuu hapo hakuna kitu kigeni ni namna tu watanzania tunavyoweza kuiweka katiba yetu siyo kila kitu tuige toka mataifa ya kigeni.
 
Tuuvunje muungano hatuutaki zanzibar mmetunyonya vya kutosha!!

Mkuu Ntonga mimi nadhani tumeikoloni zanzibar vya kutosha, sasa tuwape uhuru tu. Naunga mkono serikali tatu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa asili wazanzibar ni walalamishi na kila mtu anataka lazima awe kiongozi.hata wakiruhusiwa kujitenga hukohuko kwao watataka vijiji navyo viwe na haki kamili kama Nchi.infact hawajui nini wanakitaka.ukiwasikiliza sana utabaini kuwa wangependa tuwe na muungano ambao utawapa wao kila kitu bila kufanyakazi!! TO BE REALISTIC, MUUNGANO NA WAZANZIBARI NI KERO.

To be realistic you are boring.
 
Back
Top Bottom