WEWE BOYA HEBU THUBUTUNI KUTUAHIA ZNZ YETU MUONE KAMA MTATUPATA WASHENzi nyinyi
Mchana mwema mkuu,Pole pole waHeshimiwa; Uzi huu niwa wote tafadhalini sana maneno machafu na matusi yasitawale humu!!Wewe akili zako kama za Wazanzibar wenzako. Kwa kifupi nyinyi ni mapunguani. Akili zenu zipo kuomba omba misaada tu.
Eti Zanzibar itakuwa Dubai ndogo kwa kutegemea misaada ya Maskati, Omani na Falume za Kiharabu.
Mtaaolewa jinsia zote nawaambia na hivi mmesha rojeka kwa kula urojooo
Amueni Zanzibar siyo nchi, ni sehemu ya Tanzania tuishi kwa umoja ili tuwasaidie zaidi
Khaa!!! Mzee Mwanakijiji unanishangaza sana. Siku zote wananchi wa kawaida wamekuwa wakisemewa maoni yao na wanasiasa, na hili la serikali tatu lina manufaa kwa wanasiasa wenyewe. Tunamtuma Simba akatununulie mbogamboga badala ya nyama katika sherehe yetu ambayo naye atahusika, Do you think this will workout?? Tusubiri 2015 tutakapokuwa na wagombea uraisi 800,000, Ubunge 5,000,000. na udiwani 45,000,000. :heh:
Kama tutakuwa na serikali tatu, je uuzaji wa gesi (through pipeline) kati ya Tanzania bara na na nch jirani kama Kenya utakuwa chini ya usimamizi wa serikali gani?
Too late mkuu, boti lishaondoka bandarini!
Its the Zanzibaris who need convincing, and they wont buy this.
Na kwa upande wa waTanganyika we are almost fed up with them!
Unaweza ukanisahihisha,this is what I know about Kenya constitution;"women representatives are for every county(47) but r elected in all constituencies, i mean voted in all constituency, but represent the whole county just like governor or senator"County tunaweza kuifanananisha na Mkoa(region) hapa kwetu.Wakenya wameanzisha upuuzi huu kwenye uchaguzi uliopita. Tunalo tatizo la kuiga mambo ya kijinga na kuacha yale yenye manufaa kwa jamii.
Sema hapana Serikali "Tatu", Sema ndiyo "Serikali moja". Nchi moja, Taifa Moja, Watu wamoja - nje ya hapo Hapana!!! Tumeshatengeneza ulaji na ukiritimba wa kutosha kwenye serikali mbili halafu tunataka kuongeza serikali ya tatu? Mizigo miwili midogo imetushinda (tunahangaika nayo) halafu magenius wetu wanataka kutupa mizigo mitatu mikubwa!? Kwanini tusiamue kutengeneza mzigo mmoja tu tukaubeba!?
Pamoja na jaribio dhaifu la Tume ya Warioba kupendekeza kuikataa majimbo, pendekezo lao la Katiba Mpya kimsingi linatengeneza majimbo yale yale (States) ambapo kutakuwa na majimbo mawili - Tanganyika na Zanzibar! Kwa sababu kama nchi mbili zimeungana na kuunda 'Shirikisho" basi zile zilizoungana haziwezi kuendelea kuwa nchi tena; zinahamisha hakimiya (sovereignty) yake kwenda kwenye federal government isipokuwa kama kilichoundwa (Shirikisho) siyo nchi!
Kwa kuanzisha mfumo wa Majimbo - Jimbo la Tanganyika litakuwa na nguvu kubwa sana kuliko jimbo la Zanzibar. Lakini kama wakiamua kufanya hali ya sawa katika kuendesha serikali ya Jamhuri ya Muungano Zanzibar itaonewa kwani ikitakiwa kuchangia nusu ya gharama za kuiendesha serikali ya Muungano italalamika mno na sidhani kama Wazanzibari watatakiwa kukubali mfumo huo.
Kwa sababu hiyo njia ya kuimarisha "Muungano" kama lengo ndio hilo basi ni kuingia Serikali Moja ya Kitaifa na Nchi Moja - siyo serikali tatu za kitaifa. Chini ya serikali hiyo moja ya kitaifa (federal government) kutakuwa na serikali za Majimbo (States) ambapo Zanzibar itabakia kama ilivyo (Visiwa vya Mafia, Bagamoyo, Pangani vinaweza kuongezwa huko... I know.. I know.. au ikagawanywa Unguja ikawa kivyake na Pemba kivyake!.) halafu Tanganyika igawanywe kwa States saba hivi ambazo zitaunda 'Regional Governments). Chini ya Regional Governments kutakuwa na "Local Governments" za Miji, Majiji, Vijiji na mifumo mingine ya kujitegemea.
Na maneno mengine mengi....
In short.. Tusikubali serikali tatu za nchi; bali serikali moja, nchi moja, taifa moja na watu wamoja.. Mapendekezo ya Tume ya Warioba kuwabebesha Watanzania mizigo hii ni ya kupingwa, kukataliwa na kupuuzwa.
Sintoshangaa nikisikia wananchi wanapendekeza zaidi kuwe na "marahisi" wawili mke na mume! na mawaziri wawiliwali wa kike na kiume, ni mwendo wa kuji-balance balance na kujipa nafasi, bila kufikiri mantiki yake ni nini.
Kwa ujumla mimi naona hio rasimu ni kichekesho kitupu hakuna chamaana kilichopendekezwa! Ni kama watu wametumbua posho kwa posho. Hivi hao wanasheria wame-practice wapi? Khaaa!
Tunataka serikali moja tu
Serikali ya watu wa TANGANYIKA
Hao wengine hatutaki kuwasikia, waende kupika urojo huko kwao
Ni wakati umefika Ng'ombe akatae kunyonywa na kupe mlalamishi.
Hivi kwanza wana faida gani kwa bara hawa wazenji zaidi ya kelele na udini?sina la kuongea soma hapo halafu uliza sWalihttp://bishopikongo.blogspot.co.uk/2013/04/mtumishi-wa-mungu-kumekuwa-na-maswali.html?m=1
Tena kwa upuuzi wao wanataka ubaguzi wa jinsia utambuliwe rasmi kikatiba!
Wanawake ni mtaji wa ccm ili isife kwa kukosa maspika na mawaziri wa kuipigia kampeni inawekeza kwa wanawake kiujumla huu ni upuzi na ujinga uliomithilika tunataka kutawaliwa na watu wenye uwezo bila kujali jinsia na sio kuingiza pumba kwa visingizio vya jinsia tumeliwa kwenye uspika na kama watu hawajifunzi waendelee kukumbatia pumba za kina warioba za wabunge wawiliwawiliMkuu Mwanakijiji,
Na hili hili la wabunge wawiliwawili (jinsia tofauti) kwa jimbo unalionaje? Mbona kwa wenzetu waliotutangulia kwenye maswala ya demokrasia hatujawahi kusikia upuuzi huu? Kituko tulicholetewa na Warioba hakilingani na gharama tulizowalipa.
Mzee Mwanakijiji hii hoja ni zaidi ya upuuzi, huu ni usawa kweli au tunataka kuongeza mzigo kwenye serikali? Kuna maana gani ya kuwa na wawakilishi wa jinsia mbili tofauti katika jimbo moja? Kwenu bungeni wanaenda kuwakilisha jinsia au maoni na matatizo ya wananchi wao? Tunaabudu jinsia au tunataka maendeleo? Huu usawa nao wa kijinsia tusipouangalia vizuri, tunatengeneza bomu lingine la kudidimiza nchi!!! Nimekerwa na hili pendekezo! :heh: