Muundo wa Muungano: Tanganyika tunataka 'Serikali moja, nchi moja, taifa moja'!

WEWE BOYA HEBU THUBUTUNI KUTUAHIA ZNZ YETU MUONE KAMA MTATUPATA WASHENzi nyinyi

Wewe akili zako kama za Wazanzibar wenzako. Kwa kifupi nyinyi ni mapunguani. Akili zenu zipo kuomba omba misaada tu.
Eti Zanzibar itakuwa Dubai ndogo kwa kutegemea misaada ya Maskati, Omani na Falume za Kiharabu.
Mtaaolewa jinsia zote nawaambia na hivi mmesha rojeka kwa kula urojooo
Amueni Zanzibar siyo nchi, ni sehemu ya Tanzania tuishi kwa umoja ili tuwasaidie zaidi
 
Pole pole waHeshimiwa; Uzi huu niwa wote tafadhalini sana maneno machafu na matusi yasitawale humu!!
hapa pana mantiki na manufaa kwa pande zote Wapendwa tuwaheshimu wanaofuatilia humu." LUGHA YETU MOJA hii TAMU"
na wote tunaelewana. kwa vyovote vile hatutakuwa mbali kiGeographia.... !!
kila la heri kwa wote.
 
Mchana mwema mkuu,Pole pole waHeshimiwa; Uzi huu niwa wote tafadhalini sana maneno machafu na matusi yasitawale humu!!
hapa pana mantiki na manufaa kwa pande zote Wapendwa tuwaheshimu wanaofuatilia humu." LUGHA YETU MOJA hii TAMU"
na wote tunaelewana. kwa vyovote vile hatutakuwa mbali kiGeographia.... !!
kila la heri kwa wote.
 
JameniEeee hapa Siasa inapikwa mie naona hakuna litakalo fanyika, siku zipo tutaona mbele!!
 
Ikiwezekana kila upande uangalie hamsini zake!! Sioni faida za kuwaendekeza Wazenji! Wakae huko, sisi huku, kwisha!!
 
Ndugu zangu

Nina mengi sana ndani ya moyo wangu kuhusu huu mchakato wa katiba (sitaiita mpya kwa sababu sio) na harakati zake ambazo zinaogofya na kutuporomoshea kwenye kuangamiza taifa letu.

Mimi tangu kuzaliwa mpaka leo hii na huu umri alionijalia Maulana nimejitambua, najitambua na naomba Mungu kwa nguvu zote niendelee kujitambua kwamba ni MTANZANIA.

Ni ukweli kwamba mawazo, makusudio na hatimaye utekelezwaji wa kuunganisha watu wa mataifa haya mawili yalichagizwa zaidi na Mwalimu na Mzee Karume. Ila mimi naamini kwa dhati ya moyo wangu kabisa kwamba ule ulikuwa uamuzi sahihi, kwa wakati ule hadi sasa na tuendako kwa muda mrefu sana ujao, licha ya sababu rasmi na zisizo rasmi zilizopekea muungano huu.Ni kweli pia kwamba haikutafutwa ridhaa ya watu wa mataifa haya mawili, ila kama nilivyosema awali, matunda ya viboko vya mama mzazi kunilazimisha niende shule nimeyaona, na sasa mimi na yeye tunafaidi asali ya matunda hayo.

Naomba niulize bila unafiki, jee ni wapi watu wanaotambulishwa kwamba ni wazanzibari walishaulizwa endapo wanataka muungano uvunjike ? Au ni kelele za madebe shinda tuu ? Na kwa upande wa watu wanaotambulishwa kwamba ni watanzania bara nao walishaulizwa wanataka muungano uvunjike ? Au ni mayowe ya wachumia tumbo tuu ?

Hili ni suala zito sana, linachoma sana moyoni. Naomba Mungu leo nisiwe shuhuda wala mshiriki wa kuua nchi yangu, taifa langu, taifa la TANZANIA.Na naomba Mungu historia inishuhudie hivyo.

Namalizia kwa kunukuu maneno ya biblia:

Mithali 5: 9 - 17;

9Usije ukawapa wengine heshima yako, Na wakorofi miaka yako;
10 Wageni wasije wakashiba nguvu zako; Kazi zako zikawa ndani ya nyumba ya mgeni;
11 Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, Nyama yako na mwili wako utakapoangamia;
12 Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;
13 Wala sikuisikia sauti ya waalimu wangu, Wala sikuwategea sikio langu walionifundisha!
14 Nalikuwa karibu na kuingia katika maovu yote, Katikati ya mkutano na kusanyiko.
15 Unywe maji ya birika lako mwenyewe, Na maji yenye kububujika katika kisima chako.
16 Je! Chemchemi zako zitawanyike mbali, Na mito ya maji katika njia kuu?
17 Yawe yako mwenyewe peke yako, Wala si ya wageni pamoja nawe.

Respect !!!
 

Kweli kwa rasimu hii karatasi ya kupiga kura itakuwa booklet......
 
Wakenya wameanzisha upuuzi huu kwenye uchaguzi uliopita. Tunalo tatizo la kuiga mambo ya kijinga na kuacha yale yenye manufaa kwa jamii.
Unaweza ukanisahihisha,this is what I know about Kenya constitution;"women representatives are for every county(47) but r elected in all constituencies, i mean voted in all constituency, but represent the whole county just like governor or senator"County tunaweza kuifanananisha na Mkoa(region) hapa kwetu.
 

Yale mameno ya Hayati Nyerere nayoana sasa.......subiri mtaona kama kuna zanzibar, wala CCM, kuna Unguja na Pemba na TANU na ASP vey sooon vyaaja
 
nadhan iandaliwe petition kuonyesha ni kwa jinsi gani watanzania wengi tunataka serikali moja na kama ni ngumu basi muungano uvunjike!!! sielewi hii idea ya serikali 3 hawa watu wa tume wametoa wapi???
 
Ukisema serikali moja lazima na zanzibar waafiki; kama hawaafiki we unaitoa wapi? hata kama ungewapenda vipi, sio afya. Zaidi tutajenga vikundi vya uasi kama boko haram.
Hili ndio tatizo kubwa la Tanganyika tuliorithi; tunapenda sana kushughulika na siasa za nje kuliko ziwagusazo wananchi wa ndani. Badala ya "tutaulinda muungano kwa gharama zozote", tutathimini manufaa na athari za muungano katika amani,usalama, uhuru, uchumi n.k

tragedy of the commons
 

Tufikirie nje ya box! Everything has a begining! Nyie mnataka kuiga 2, sio kutoa vyenv viigwe? Kama utaratbu huu haupo kwngne kote bas, mi nawapa hongera kwa uvumbuz. Swala hili halina shda. Logic ni hii
Tunataka tuwe na uwiano wa kijinsia bungeni, hiyo ni njia safi.
Tunataka kupunguza idadi yd wabunge, tunaondoa viti maalum.
Wanawake watatetewa na nani? (mwanamme hawez kumtetea mwanamke kama anavyoweza kujitetea yeye) tutatumia utaratbu huo.
Hatimaye, tuna wabunge wachache bila kupoteza vitu kama watetez wa wanawake, na huku tumekuwa mfano ktk usawa wa kijinsia ktk uongoz.
Pia, wabunge wawil wanaeza gawana mjukumu ya kufuatilia na ufanisi ukaongezeka. Wakafikia wananch moja kwa moja na kwa umdn katka nyanja tofaut tofaut.
Tusipinge vitu kisa ni vipya, tutathibitisha kuwa kufikiri kwetu kuna ukomo!
 
 
Kwa Mtazamo wangu naona Tume imekurupuka katika mambo mawili.
1 Ni suala la muungano na serikali zake, Kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu Muungano hasa kwa upande wa pili (Zanzibar) kwa maoni yangu hapa nadhani lingekuwepo pendekezo la kupiga kura kuhusu muungano kama wanautaka au la na kama wanaunataka ni wa aina gani?

KUHUSU SERIKALI TATU.
Kama alivyosema ndugu Mwanakijiji kuhusu mzigo wa serikali tatu, napata shida kidogo kujua ni kwa namna gani serikali hizo mbili zitakuwa zinachangia katika serikali ya Shirikisho, kwa muono wangu naona kama kutakuwa kuna upande mmoja utakuwa unaelemewa (unanyonywa na upande mwingine) na hapa unaweza kuwa upande wowote ule either Tz bara au Tz Zanzibar, So kwa misingi hiyo tukisema tuwe na serikali moja ka anavyosema Ndugu Mwanakijiji ni jambo jema ambalo linapunguza matumiz makubwa katika shughuli za utawala na kupeleka gharama hizo katika matumimizi ya maendeleo, LAKINI tuwe wa kweli Je ni kweli Wazanzibari watakubali serikali yao "kufa" ili kufanikisha kuwa na serikali moja? Hasa ukizingatia kwamba kila kukicha wanapigania kupata mamlaka kamili? Tusubiri tuone.

2. KUHUSU BUNGE
kiuhalisia binafsi napinga kuwa na wabunge wawili kila jimbo (Mwanamke na Mwanaume) na hii ni kwasababu haya ni matumizi mabaya ya fedha za walipakodi, hii ni demokrasia ambayo hata kwa mabwana wakubwa ambao walituletea sisi mfumo wa demokrasia na haki sawa kwa wote haupo. Kwa mtazamo wangu Viti maalumu vifutwe na huu utaratibu wa wabunge wawili kila jimbo ufutwe na abaki mmoja kama ni mwanaume au mwanamke wote wapambane na atakayeupata ubunge ndo huyo tuachane na huu mfumo majimbo yenyewe yapo zaidi ya 200 so ukizidisha mara 2 ni wabunge zaidi ya 400 hii kwa kweli hapana hapa warioba anataka kuwatafutia watu ulaji.
Ni Mtizamo wangu kama Mtanzania.
 
Wanawake ni mtaji wa ccm ili isife kwa kukosa maspika na mawaziri wa kuipigia kampeni inawekeza kwa wanawake kiujumla huu ni upuzi na ujinga uliomithilika tunataka kutawaliwa na watu wenye uwezo bila kujali jinsia na sio kuingiza pumba kwa visingizio vya jinsia tumeliwa kwenye uspika na kama watu hawajifunzi waendelee kukumbatia pumba za kina warioba za wabunge wawiliwawili
 

Hili mara nyingi huwa inanisumbua.
Hivi kuna tatizo gani? Maana kwa kumbukumbu zangu Wanawake ndio wengi kuliko wanaume hivyo hoja ya kuwa wapewe Upendeleo haina mantiki maana wananafasi ya kujisimamia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…