Hayohayo 400 ambayo ni madogomadogo yanawashinda... Yakiongezwa ukubwa watayaweza kweli??
Labda, ila ikipita itabidi watanzania wawe wanafanya uchaguz makini! Na wakiwa wawili wanaweza gawana mambo ya kufuatilia ili wawe efficient zaid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayohayo 400 ambayo ni madogomadogo yanawashinda... Yakiongezwa ukubwa watayaweza kweli??
kabisa mkuu, i hate these agnorance people, wanaweza uraramishi tu na majungu...... napenda hata kwenye sarafu wawaache wajitegemee then tuone mwisho wao.Tunataka serikali moja tu
Serikali ya watu wa TANGANYIKA
Hao wengine hatutaki kuwasikia, waende kupika urojo huko kwao
Ni wakati umefika Ng'ombe akatae kunyonywa na kupe mlalamishi.
Hivi kwanza wana faida gani kwa bara hawa wazenji zaidi ya kelele na udini?
Kwa mtazamo wangu uwezekano wa Wazanzibar kuridhika without zanzibar being sovereignty state haupo, si ni juzi tu tumesikia Maalima anaomba sarafu yao, mambo ya nje yao?? so siungi mkono serikali tatu mbili wala moja naona tukubali tu kwamba Muungano umefika mwisho! kila mmoja ajikate kivyake.
[h=5]Sema hapana Serikali "Tatu", Sema ndiyo "Serikali moja". Nchi moja, Taifa Moja, Watu wamoja - nje ya hapo Hapana!!! Tumeshatengeneza ulaji na ukiritimba wa kutosha kwenye serikali mbili halafu tunataka kuongeza serikali ya tatu? Mizigo miwili midogo imetushinda (tunahangaika nayo) halafu magenius wetu wanataka kutupa mizigo mitatu mikubwa!? Kwanini tusiamue kutengeneza mzigo mmoja tu tukaubeba!?[/h]Pamoja na jaribio dhaifu la Tume ya Warioba kupendekeza kuikataa majimbo, pendekezo lao la Katiba Mpya kimsingi linatengeneza majimbo yale yale (States) ambapo kutakuwa na majimbo mawili - Tanganyika na Zanzibar! Kwa sababu kama nchi mbili zimeungana na kuunda 'Shirikisho" basi zile zilizoungana haziwezi kuendelea kuwa nchi tena; zinahamisha hakimiya (sovereignty) yake kwenda kwenye federal government isipokuwa kama kilichoundwa (Shirikisho) siyo nchi!
Kwa kuanzisha mfumo wa Majimbo - Jimbo la Tanganyika litakuwa na nguvu kubwa sana kuliko jimbo la Zanzibar. Lakini kama wakiamua kufanya hali ya sawa katika kuendesha serikali ya Jamhuri ya Muungano Zanzibar itaonewa kwani ikitakiwa kuchangia nusu ya gharama za kuiendesha serikali ya Muungano italalamika mno na sidhani kama Wazanzibari watatakiwa kukubali mfumo huo.
Kwa sababu hiyo njia ya kuimarisha "Muungano" kama lengo ndio hilo basi ni kuingia Serikali Moja ya Kitaifa na Nchi Moja - siyo serikali tatu za kitaifa. Chini ya serikali hiyo moja ya kitaifa (federal government) kutakuwa na serikali za Majimbo (States) ambapo Zanzibar itabakia kama ilivyo (Visiwa vya Mafia, Bagamoyo, Pangani vinaweza kuongezwa huko... I know.. I know.. au ikagawanywa Unguja ikawa kivyake na Pemba kivyake!.) halafu Tanganyika igawanywe kwa States saba hivi ambazo zitaunda 'Regional Governments). Chini ya Regional Governments kutakuwa na "Local Governments" za Miji, Majiji, Vijiji na mifumo mingine ya kujitegemea.
Na maneno mengine mengi....
In short.. Tusikubali serikali tatu za nchi; bali serikali moja, nchi moja, taifa moja na watu wamoja.. Mapendekezo ya Tume ya Warioba kuwabebesha Watanzania mizigo hii ni ya kupingwa, kukataliwa na kupuuzwa.
Tena bangi zenyewe tunavutia chooni ukichanganya na harufu ya mav..... Ndio inaleta ukichaa ghafla,hivyo huyo mwanamke na mwanaume ndio wanatoka vyama viwili tofauti ama?mf mwanaume Chadema,mke magamba ama?warioba tunaomba ufafanuzi wa hili.."Kila Jimbo la Uchaguzi litakuwa na Wabunge Wawili, 1 mwanamke na mwingine mwanaume". Kweli TZ tunavuta bangi. Kwani Ubunge ni ndoa?
Njela kasaka na G55 walidai serikari ya tanganyika lakini Pia walitaka serikari Tatu Ndio Maana Nyerere aliwapingaUna taahira iliyo wazi, ila ni vigumu kwa wewe mwenyewe ukiona.
Udini unakusumbua kiasi hata watu wakiwa wanajadili jambo lingine tu kuhusu kuku, basi lazima uanze kuanisha kwamba kuku mwenye ndevu ndefu atakuwa ni wa dini fulani.
[h=5]Sema hapana Serikali "Tatu", Sema ndiyo "Serikali moja". Nchi moja, Taifa Moja, Watu wamoja - nje ya hapo Hapana!!! Tumeshatengeneza ulaji na ukiritimba wa kutosha kwenye serikali mbili halafu tunataka kuongeza serikali ya tatu? Mizigo miwili midogo imetushinda (tunahangaika nayo) halafu magenius wetu wanataka kutupa mizigo mitatu mikubwa!? Kwanini tusiamue kutengeneza mzigo mmoja tu tukaubeba!?[/h]Pamoja na jaribio dhaifu la Tume ya Warioba kupendekeza kuikataa majimbo, pendekezo lao la Katiba Mpya kimsingi linatengeneza majimbo yale yale (States) ambapo kutakuwa na majimbo mawili - Tanganyika na Zanzibar! Kwa sababu kama nchi mbili zimeungana na kuunda 'Shirikisho" basi zile zilizoungana haziwezi kuendelea kuwa nchi tena; zinahamisha hakimiya (sovereignty) yake kwenda kwenye federal government isipokuwa kama kilichoundwa (Shirikisho) siyo nchi!
Kwa kuanzisha mfumo wa Majimbo - Jimbo la Tanganyika litakuwa na nguvu kubwa sana kuliko jimbo la Zanzibar. Lakini kama wakiamua kufanya hali ya sawa katika kuendesha serikali ya Jamhuri ya Muungano Zanzibar itaonewa kwani ikitakiwa kuchangia nusu ya gharama za kuiendesha serikali ya Muungano italalamika mno na sidhani kama Wazanzibari watatakiwa kukubali mfumo huo.
Kwa sababu hiyo njia ya kuimarisha "Muungano" kama lengo ndio hilo basi ni kuingia Serikali Moja ya Kitaifa na Nchi Moja - siyo serikali tatu za kitaifa. Chini ya serikali hiyo moja ya kitaifa (federal government) kutakuwa na serikali za Majimbo (States) ambapo Zanzibar itabakia kama ilivyo (Visiwa vya Mafia, Bagamoyo, Pangani vinaweza kuongezwa huko... I know.. I know.. au ikagawanywa Unguja ikawa kivyake na Pemba kivyake!.) halafu Tanganyika igawanywe kwa States saba hivi ambazo zitaunda 'Regional Governments). Chini ya Regional Governments kutakuwa na "Local Governments" za Miji, Majiji, Vijiji na mifumo mingine ya kujitegemea.
Na maneno mengine mengi....
In short.. Tusikubali serikali tatu za nchi; bali serikali moja, nchi moja, taifa moja na watu wamoja.. Mapendekezo ya Tume ya Warioba kuwabebesha Watanzania mizigo hii ni ya kupingwa, kukataliwa na kupuuzwa.
Kwa nini viongozi wa CCM wanang'ang'ania muungano?
wanaong'ang'ania muungano ni watanzania sio viongozi wa ccm.. tume ya katiba ina wajumbe wa vyama vyote akiwemo baregu wa chadema na ile iliyosomwa na warioba ni taarifa ya tume ya katiba mpya..acha uzuzu
"Kila Jimbo la Uchaguzi litakuwa na Wabunge Wawili, 1 mwanamke na mwingine mwanaume". Kweli TZ tunavuta bangi. Kwani Ubunge ni ndoa?