Muundo wa Muungano: Tanganyika tunataka 'Serikali moja, nchi moja, taifa moja'!

Muundo wa Muungano: Tanganyika tunataka 'Serikali moja, nchi moja, taifa moja'!

Nonda kama kuna 'entity' isiyokuwepo sasa ukoloni unatoka wapi? Utakuwaje koloni bila mkoloni na kwa hapa mkoloni ni nani?Kuhusu EAF hoja yetu ni kuvunja muungano kwanza ili kila mmoja aende kivyake. Hakuna serikali 3 au mkataba.

Takashi hao wanaogawa pesa ni Waznz kwasababu hakuna shoka lisilo na mpini. Kuna msukuma gani anaweza kuwasiliana na mznz kwa ubaguzi na dharau mlio nayo. Hivyo waulizeni wale 50 wanaokwenda kulala Dodoma, huenda wamepewa fungu.

Lakini si hata Gharibu bilali naye kapewa bilioni 32?
Maalimu Seif si anachukua pensheni hazina Dar? Karume, Mwinyi je.
Hivi unafikiri Hussein Mwinyi au Nahodha wanawaelewa!

Fikiria pia yule mznz anayeishi raha mstarehe Msasani,Ilala, Mabawa Tanga akisikia kuvunja muungano unadhani atafanya nini!

Juzi wameombwa vitambulisho, hamadi kila mtu analalama tunazuiwa sisi ni Wtanzania, nchi moja n.k.

Tuelimishe watu kuhusu LET ZNZ GO

Sijaona bado Nguruvi3

Kampeni rasmi ya kuvunja muungano kutoka kwako au Mkijiji.
Unalofanya ni kuwazungusha watu m-buyu na kusema Seif, Jussa. tanganyika hasara.Kama Tanganyika inapata hasara kwa nini inaendelea na mzingaombwe?

Tudai serikali ya Tanganyika na Muungano utakufa wenyewe. Tanganyika itarudisha mamlaka iliyokasimu taratibu.

Sasa unaposema wa mabawa Tanga au mbezi beach. Sheria za uhamiaji zitachukua mkondo.Barubaru aliweka mchango mzuri tu kuhusu hili.Unachofanya ni kuuma na kupoza.Huonekani kutaka Muungano uvunjike lakini sana sana unapigia chapuo serikali moja.

Nguruvi3
Unaitaka Tanganyika huitaki?
Unataka serikali ya Tanganyika au huitaki?

Kama unakubali entity ipo basi isemwe ipo na inafanya kazi ipi?Na vipi? Kwa nini kuwe na ukiini macho?
JokaKuu anataka uendelee kutoa darsa. Ni vyema uanze hapo. Umegonga like kwenye michango anayosema Tanganyika haipo,imemezwa. Toa shule katika hili. Eleza kuwa ipo ila imejifanyia usanii. Ili mtu ajue ipo,ataiona je?

Tafazwali maalimu.

Let Zanzibar go! inayoambatana na vitisho au njia mzunguko ni usanii mwengine.
 
Sijaona bado Nguruvi3

Kampeni rasmi ya kuvunja muungano kutoka kwako au Mkijiji.
Unalofanya ni kuwazungusha watu m-buyu na kusema Seif, Jussa. tanganyika hasara.Kama Tanganyika inapata hasara kwa nini inaendelea na mzingaombwe?

Tudai serikali ya Tanganyika na Muungano utakufa wenyewe. Tanganyika itarudisha mamlaka iliyokasimu taratibu.

Sasa unaposema wa mabawa Tanga au mbezi beach. Sheria za uhamiaji zitachukua mkondo.Barubaru aliweka mchango mzuri tu kuhusu hili.Unachofanya ni kuuma na kupoza.Huonekani kutaka Muungano uvunjike lakini sana sana unapigia chapuo serikali moja.

Nguruvi3
Unaitaka Tanganyika huitaki?
Unataka serikali ya Tanganyika au huitaki?


Kama unakubali entity ipo basi isemwe ipo na inafanya kazi ipi?Na vipi? Kwa nini kuwe na ukiini macho?
JokaKuu anataka uendelee kutoa darsa. Ni vyema uanze hapo. Umegonga like kwenye michango anayosema Tanganyika haipo,imemezwa. Toa shule katika hili. Eleza kuwa ipo ila imejifanyia usanii. Ili mtu ajue ipo,ataiona je?

Tafazwali maalimu.

Let Zanzibar go! inayoambatana na vitisho au njia mzunguko ni usanii mwengine.

Bw, Nonda

Mimi nasuburi Bw, Nguruvi3 atajibu nini hapo katika hizo sentensi nilizo zi-bold... Lakini kama unavyosema Nguruvi3, hapendelei Muungano uvunjike. Niliwahi kusema katika post zangu za nyuma kama huyu bwana ,pamoja na MM Kijiji ni waajiriwa wa kitengo cha propaganda za Muungano. Wanalipwa mishahara kutumia muda wao hapa Jukwaani.

Anachokifanya Nguruvi3 ,ni kutumia "tactic" ya vitisho katika kuwasilisha hoja zake. Sasa amesahau kama wZNZ tayari wameshakua "mature enough". Sasa kwanini waanze kugawa hela mitaani ili watu watetee Muungano? Hela zinatoka Tanganyika, kwanini wajitie gharama kiasi hiki?
 
Nonda kama kuna 'entity' isiyokuwepo sasa ukoloni unatoka wapi? Utakuwaje koloni bila mkoloni na kwa hapa mkoloni ni nani?Kuhusu EAF hoja yetu ni kuvunja muungano kwanza ili kila mmoja aende kivyake. Hakuna serikali 3 au mkataba.

Takashi hao wanaogawa pesa ni Waznz kwasababu hakuna shoka lisilo na mpini. Kuna msukuma gani anaweza kuwasiliana na mznz kwa ubaguzi na dharau mlio nayo. Hivyo waulizeni wale 50 wanaokwenda kulala Dodoma, huenda wamepewa fungu.

Lakini si hata Gharibu bilali naye kapewa bilioni 32?
Maalimu Seif si anachukua pensheni hazina Dar? Karume, Mwinyi je.
Hivi unafikiri Hussein Mwinyi au Nahodha wanawaelewa!

Fikiria pia yule mznz anayeishi raha mstarehe Msasani,Ilala, Mabawa Tanga akisikia kuvunja muungano unadhani atafanya nini!

Juzi wameombwa vitambulisho, hamadi kila mtu analalama tunazuiwa sisi ni Wtanzania, nchi moja n.k.

Tuelimishe watu kuhusu LET ZNZ GO

Kweli maneno yako, kwasababu hata wakoloni weupe waliajiri askari wazalendo kuwafanyia kazi zao...Sasa kwanini Hazina Tanganyika inaingia gharama zote hizi?
 
Unajua WZN ni watu wepesi sana wa kutafuta sababu hata zisizokuwepo na kuzifanya kweli. Hili la kugawa fedha ni uomngo na uzushi na kulijadili ni kudhalilisha uwezo wetu wa kufikiri.

Wazanz zaidi ya laki 4 (400,000) wanaoishi na kupata riziki zao bara usidhani wanaona raha muungano ukivunjika.
Juzi tu kimewekwa kibano cha vitambulisho bandarini mtu wa kwanza kuathirika si mgogo ni mznz na ndiye wakwanza kualalamika.

Hakuna kiongozi mstaafu wa SMZ asiye na nyumba shamba au uwekezaji bara. Ndiyo maana sasa hivi hata Ahmed Rajab anayeongoza fikra za wazanz amekataa muungano usivunjike kabisa.
Hofu ya kuvunjika kwa muungano haimkumbi mbondei au mngoni ni mznz anayeathirika.
Hela kama zipo na kama si uzushi kama ilivyo ada ya wzn kuleta uongo hata wakiwa na swaumu zinagawiwa na Wznz.

Mimi nasimama kusema sitaki muungano! sitaki kusikia serikali 3 au mkataba. LET ZNZ GO!
FYI mimi nina uhusiano wa kindugu na znz na naijua znz kuliko wewe Takashi, nimeishi kuele nawajua waznz.

Kwanini tuungane na watu wanaodhani kuwa ili znz iwakilishwe vema ni lazima itoe IGP mwenye nywele za kimanga?
Katika fikra kama hizo kuna wazo la Pan Africanism kweli, kuna wazo la umasikini na maradhi. Kwamba akili ya mznz imeishia kuwa na IGP mwarab! too low. Vunja muungano leo waende zao hakuna manufaa huo ndio msimamo wangi mwaka wa tatu tunalumbana na Takashi
 
Unajua WZN ni watu wepesi sana wa kutafuta sababu hata zisizokuwepo na kuzifanya kweli. Hili la kugawa fedha ni uomngo na uzushi na kulijadili ni kudhalilisha uwezo wetu wa kufikiri.

Wazanz zaidi ya laki 4 (400,000) wanaoishi na kupata riziki zao bara usidhani wanaona raha muungano ukivunjika.
Juzi tu kimewekwa kibano cha vitambulisho bandarini mtu wa kwanza kuathirika si mgogo ni mznz na ndiye wakwanza kualalamika.

Hakuna kiongozi mstaafu wa SMZ asiye na nyumba shamba au uwekezaji bara. Ndiyo maana sasa hivi hata Ahmed Rajab anayeongoza fikra za wazanz amekataa muungano usivunjike kabisa.
Hofu ya kuvunjika kwa muungano haimkumbi mbondei au mngoni ni mznz anayeathirika.
Hela kama zipo na kama si uzushi kama ilivyo ada ya wzn kuleta uongo hata wakiwa na swaumu zinagawiwa na Wznz.

Mimi nasimama kusema sitaki muungano! sitaki kusikia serikali 3 au mkataba. LET ZNZ GO!
FYI mimi nina uhusiano wa kindugu na znz na naijua znz kuliko wewe Takashi, nimeishi kuele nawajua waznz.

Kwanini tuungane na watu wanaodhani kuwa ili znz iwakilishwe vema ni lazima itoe IGP mwenye nywele za kimanga?
Katika fikra kama hizo kuna wazo la Pan Africanism kweli, kuna wazo la umasikini na maradhi. Kwamba akili ya mznz imeishia kuwa na IGP mwarab! too low. Vunja muungano leo waende zao hakuna manufaa huo ndio msimamo wangi mwaka wa tatu tunalumbana na Takashi

Nguruvi3,

Mimi nakuelewa vizuri sana ,kwa mtazamo wako mzanzibari hana haki ya kulalamika .Hata anapo dhulumiwa akae kimya ,hii ni kuonesha yale mawazo ya kikoloni yanavyoitawala nafsi yako. Kuhusu sakata la pesa ,malumbano yalifaka hadi ndani ya BLW. Na wawakilishi wa CCM waliohusika ilibidi wajitoe kimaso maso.

Binafsi ,nawajuwa waliwopewa pesa na bahasha ndani yake kuna maoni ambayo yanataka Muungano uendelelee kama ulivyo. Pesa hii imetoka Tanganyika. Kwanini mtoe rushwa,kuwalaghai wznz?

Masuala ya kumiliki nyumba ,shamba au kuwekeza Tanganyika ni masuala ya ki-uhamiaji. Kenya,Burundi,Uganda ,Msumbiji na sehemu nyengine za Africa, wapo wanzanzibari wanamiliki nyumba na kuwekeza vile vile. Je! kunawazo lolote la kufanya Muungano na China ? Wachina wamejaa TZ na sehemu nyengine za AFRICA.

Hata Muungano ukivunjika kesho asubuhi, waznz na watanganyika wataendelea kusafiri baina ya sehemu hizi mbili. Kama tumefika UK,CANADA ,USA,JAPAN,TURKEY,DENMARK na sehemu nyengine za dunia ,tushindwe kufika Tanganyika? Mmeshindwa kwa kutumia Polisi na sasa mnamwaga hela ....LET ZNZ GO!
 
Nguruvi3,

Mimi nakuelewa vizuri sana ,kwa mtazamo wako mzanzibari hana haki ya kulalamika .Hata anapo dhulumiwa akae kimya ,hii ni kuonesha yale mawazo ya kikoloni yanavyoitawala nafsi yako. Kuhusu sakata la pesa ,malumbano yalifaka hadi ndani ya BLW. Na wawakilishi wa CCM waliohusika ilibidi wajitoe kimaso maso.

Binafsi ,nawajuwa waliwopewa pesa na bahasha ndani yake kuna maoni ambayo yanataka Muungano uendelelee kama ulivyo. Pesa hii imetoka Tanganyika. Kwanini mtoe rushwa,kuwalaghai wznz?

Masuala ya kumiliki nyumba ,shamba au kuwekeza Tanganyika ni masuala ya ki-uhamiaji. Kenya,Burundi,Uganda ,Msumbiji na sehemu nyengine za Africa, wapo wanzanzibari wanamiliki nyumba na kuwekeza vile vile. Je! kunawazo lolote la kufanya Muungano na China ? Wachina wamejaa TZ na sehemu nyengine za AFRICA.

Hata Muungano ukivunjika kesho asubuhi, waznz na watanganyika wataendelea kusafiri baina ya sehemu hizi mbili. Kama tumefika UK,CANADA ,USA,JAPAN,TURKEY,DENMARK na sehemu nyengine za dunia ,tushindwe kufika Tanganyika? Mmeshindwa kwa kutumia Polisi na sasa mnamwaga hela ....LET ZNZ GO!
Ni lazima wznz wawe 'fair'. Haiwezekani kuwa wanalalmika kila siku kana kwamba hawana wanalofaidi katika muungano.

Mathalani, wewe unalalamika kuwa kuna pesa zinagawiwa kutoka Tanganyika kuwanunua waznz. Ukweli usio usema ni kuwa kuna zaidi ya bilioni 50 za umeme wamepewa znz na hizo huzisemi kama sehemu ya ununuzi.
Husemi kuwa kuna mishahara inayowalipa wzn kila mwezi inatoka hazina na ni sehemu ya ununuzi huo.
Husemi kuwa ulinzi na usalama usiogharamiwa na znz ni sehemu ya ununuzi.
Wewe unaona kuna pesa za kuwalaghai wasivunje muungano tu na jicho lingine umelitia kengeza makusudi!!

Kuhusu wznz kuenea dunia nzima, hebu nitajie nchi moja tu ya dunia hii ambayo ina waznz 400,000 kwa wakati mmoja.
Kwanini wasiende Kenya na Msumbiji au Comoro.
Ni ukweli usiohitaji certificate kuwa Tanzania bara ndiyo soko kubwa la uchumi wa znz, maisha ya kijamii n.k.

Ni Tanzania bara peke yake duniani iliyoajiri wznz wengi na kuweka mazingira mazuri ya biashara kwa znz kuliko taifa lolote. Kama lipo nitajie

Kuhusu uwekezaji, nje ya muungano mtakuwa sawa na mwingine na si kama ilivyo sasa.
Itabidi mfuate sheria zote za uhamiaji ambazo nakuhakikishia ni akina Mwinyi, Jumbe, Seif n.k watazimudu, walalahoi watabaki znz kuuza samaki kwa bei ya bure kwenye hotel za Wataliano. Soko ni dogo na supply ni kubwa.

Hii haina maana znz haitakuwepo, la hasha itakuwepo! uhuru wake utakuwa matatani kwasababu miaka 5 ya kwanza baada ya kujitenga kutakuwa na neema sana baada ya hapo waarabu watanunua nchi na raia wake. Trust me!
 
LET ZNZ GO , Tujue sura yao halisi. We know the reasons behind this move.
 
Hawa ccm wavunje muungano basi ili watu tupumue na kuangalia mambo mengine ya maana kwenye nchi hii. Huu muungano ni wa ccm. Wengine tumeuchoka, hatuutaki, kwani hatuoni hata manufaa yake, wazanzibari pamoja na kubebwabebwa lakini wanauona kama kiini macho kwao.
 
Ni lazima wznz wawe 'fair'. Haiwezekani kuwa wanalalmika kila siku kana kwamba hawana wanalofaidi katika muungano.

Mathalani, wewe unalalamika kuwa kuna pesa zinagawiwa kutoka Tanganyika kuwanunua waznz. Ukweli usio usema ni kuwa kuna zaidi ya bilioni 50 za umeme wamepewa znz na hizo huzisemi kama sehemu ya ununuzi.
Husemi kuwa kuna mishahara inayowalipa wzn kila mwezi inatoka hazina na ni sehemu ya ununuzi huo.
Husemi kuwa ulinzi na usalama usiogharamiwa na znz ni sehemu ya ununuzi.
Wewe unaona kuna pesa za kuwalaghai wasivunje muungano tu na jicho lingine umelitia kengeza makusudi!!

Kuhusu wznz kuenea dunia nzima, hebu nitajie nchi moja tu ya dunia hii ambayo ina waznz 400,000 kwa wakati mmoja.
Kwanini wasiende Kenya na Msumbiji au Comoro.
Ni ukweli usiohitaji certificate kuwa Tanzania bara ndiyo soko kubwa la uchumi wa znz, maisha ya kijamii n.k.

Ni Tanzania bara peke yake duniani iliyoajiri wznz wengi na kuweka mazingira mazuri ya biashara kwa znz kuliko taifa lolote. Kama lipo nitajie

Kuhusu uwekezaji, nje ya muungano mtakuwa sawa na mwingine na si kama ilivyo sasa.
Itabidi mfuate sheria zote za uhamiaji ambazo nakuhakikishia ni akina Mwinyi, Jumbe, Seif n.k watazimudu, walalahoi watabaki znz kuuza samaki kwa bei ya bure kwenye hotel za Wataliano. Soko ni dogo na supply ni kubwa.

Hii haina maana znz haitakuwepo, la hasha itakuwepo! uhuru wake utakuwa matatani kwasababu miaka 5 ya kwanza baada ya kujitenga kutakuwa na neema sana baada ya hapo waarabu watanunua nchi na raia wake. Trust me!

Hapa nakuwekea link hii;BARUA YA WAZI KWA RAIS WA DOLA YA ZANZIBAR DR. ALI MUHAMMED SHEIN | Mzalendo.net

Wana UAMSHO na wanaharakati wengine wa Zanzibar wataendelea kudai maslahi ya Zanzibar mpaka kieleweke. Wakati USSR inasambaratika wa Russia walikuwa na kauli kama zako za kejeli na dharau. Leo hii nchi zilizo jitenga zote zinasonga mbele na kukua kiuchumi. Mfano mzuri ni Kazakstan.

Kweli wa znz wapo wengi Tanganyika kilinganisha na nchi nyengine za Africa. Lakini hiyo idadi ya 400,000 naona inamashaka. Kuwepo kwao hapo hakutokani na mapenzi ya kutaka kutawaliwa, bali ni ki-jeografia (ukaribu) na asili na mchanganyiko wa watu. Mimi nasema mara kwa mara kuwa mzee wangu mmoja ni mzaliwa wa Tanganyika...

Lakini sitaki kuona utawala wa kitanganyika unaendelea kutawala Zanzibar. Sababu kubwa kwamba nyinyi wenyewe mnashindwa kujitawala (kujiongoza). Kwahiyo huwo mfumo wenu usio na mbele wala nyuma sisi tunaukataa. Nchi tajiri lakini raia masikini wakutupwa. Miaka 50 ya uhuru bado watu wanahangaika kutafuta maji safi na kupata umeme wa kutosha.

Msitulazimishe kufungamana na mfumo butu....LET ZNZ GO...
 
Takashi, hiyo barua ni aibu ! ondoa link. Sheikh na Amir hawezi kuandika barua dhaifu isyojenga hoja na isiyo na mantiki.
Ukitaka niifumue uone udhaifu nipo tayari.

Yugoslavia ilikuwa muungano wakavunja kwasababu kila mtu alitaka Urais kama Maalim Seif. Takwimu za karibuni zinaonyesha watu walioishi wakati huo na sasa, asilimia 90 wanataka Yugoslavia.

Unaposema Urusi mbona husemi state ambazo bora Tanzania bara?
Kuhusu ubovu wa utawala, ah kama ingekuwa hivyo basi Comoro isingekuwa hapo ilipo.
Lakini ZNZ kulikuwa na utawala bora?

Sijasema kuwa Znz haitakuwepo, la hasha! itakuwepo tena yenye beach na majengo mazuri n.k. ZNZ hiyo itakuwa ya tycoon na muuza samaki atabaki kushonna nyavu huku akipita katika bara bara nzuri sana.
Kama ni kuzuri malaki wanafanya nini huku kwenye utawala mbovu?
 
Mazee if we try to say there is motive behind, bad one. its is better they find other planet to rule. If you ned this people generation rule with Hekma.
 
Takashi, hiyo barua ni aibu ! ondoa link. Sheikh na Amir hawezi kuandika barua dhaifu isyojenga hoja na isiyo na mantiki.
Ukitaka niifumue uone udhaifu nipo tayari.

Yugoslavia ilikuwa muungano wakavunja kwasababu kila mtu alitaka Urais kama Maalim Seif. Takwimu za karibuni zinaonyesha watu walioishi wakati huo na sasa, asilimia 90 wanataka Yugoslavia.

Unaposema Urusi mbona husemi state ambazo bora Tanzania bara?
Kuhusu ubovu wa utawala, ah kama ingekuwa hivyo basi Comoro isingekuwa hapo ilipo.
Lakini ZNZ kulikuwa na utawala bora?

Sijasema kuwa Znz haitakuwepo, la hasha! itakuwepo tena yenye beach na majengo mazuri n.k. ZNZ hiyo itakuwa ya tycoon na muuza samaki atabaki kushonna nyavu huku akipita katika bara bara nzuri sana.
Kama ni kuzuri malaki wanafanya nini huku kwenye utawala mbovu?

Hah aha haa ! Mimi nakufahamu vizuri usipate tabu. Uzaifu wa barua hiyo kwako wewe ni nani kaiandika na sio nini kimeandikwa...
 
Baru baru, kelele unazosikia si kelele za watu ni kelele za vikundi cha watu. Watanganyika wengi bado ni wamoja na wanaamini katika maisha ya kuvumiliana.

Nikupe mfano, tunasikia watu wa dini fulani iwayo wakisema 'sisi wakristo' au 'sisi waislam' tumeadhamria kadha wa kadha.Ukweli ni kuwa ni kundi linalojivika kofia fulani na kusema 'sisi'. Hivi mtu kama Mtikila au Sheikh Ponda waliwasiliana lini na dini zao na kupewa jukumu la usemaji?

Kama lipo tatizo dawa ni kulitafutia ufumbuzi si kulificha kwa kutumia maumivu na kelele za Wazanzibar.
By the way ni WZN hao hao wanaonyima wenzi wao fursa walizostahiki kupata. Huwezi kunishawishi kuwa akiondoka Hussein Mwinyi wizara ya afya hakuna mtu mwingine wa kaliba yake anayeweza kushika wadhifa huo. Wapo mamilioni ya Watanganyika na uwepo wa Huseein Mwinyi ni kuziba nafasi tu kama alivyoziba Nahodha na wengine wengi.

Hatuwezi kwenda mbele bila ya kuongelea matatizo yanayotukabili kwa kina na kutafuta ufumbuzi.

Huwezi kunishawishi tena ya kuwa tunapaswa kupiga ZNZ mabomu watakapotanganza kukataa muungano.
Hiari hiyo wanayo na yatakayotokana na wao kuondoka katika muungano ni matokeo tu kama yale ya WZNZ wanaotaka kuvunja muungano wakielewa wazi kuwa kuna WZNZ na Washirazi, kuna Wapemba na Watumbatu n.k.

Hoja yako ni kuwa lazima tuwe na waznz wajaze viti vya bunge, wajaze serikali, walipiwe gharama za maisha ili kusiwe na matatizo Tanganyika. Hii ni dhaifu sana, ya kwamba umebeba zigo la misumari kwa kuogopa kubeba furushi la pamba.

Labda uniambie endapo wznz ndio suluhisho, je tutakapokuwa na mkataba au serikali 3 suluhu hiyo itakuwepo?
Je WZNZ wakiamua kuvunja Tanganyika itafanya nini kwa hilo unalosema!

Hoja kubwa iliyopo mbele ni ninyi kushindwa kuvunja nuungano kwa woga, na ZNZ kutumia Tanganyika kama ngazi.
Tutawasadia safari hii:
1. Serikali 1 ambayo hamtaki
2. Vunja muungano.

Mkataba au serikali 3 hutataki kwasababu hazitatusadia kwa hilo unalosema au chochote.
Mumeshindwa kutetea uwepo wa mkataba au serikali 3 na hakuna sababu ya kuwa na kitu msichokijua mnakitaka kwa nini na kwasababu zipi na kiweje.

Nguruvi3,

Ahali yangu huo niliobAINISHA NI KITU KIPO WAZI PASI NA SHAKA YOYOTE. kUMBUKA KUWA zamani mlikuwa mnadai kuwa waislam wa Bara hawajasoma na hivyo kwa upande wa Bara vyeo vingi sana zaidi ya 85% kuchukuliwa na wakristo. sasa nao waislam wamesoma hivyo lazima watadai haki yao kama wanavyolalamikia MoU ya kanisa na Serikali ya JMTz na malalamiko mengine mengi ya kubaguliwa.


LAKIN VILE VILE KAULI YA aliyewahi kuwa Boss wangu wizara ya Fedha na Muasisi wa Chadema Mzee EDwin MTEI alipo coment kuhusu wajumbe wa TUME ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya ni lazima yatatimia tu. Kwani kumekuwa na ile ya dini hizo kuwindana na kupendeleana ingawa machoni zinajipambanua kuwa zipo POA TU.

Kumbuka kuwa wana historia siku zote wanakusanya matukio na kutokana na hayo unaweza kutabili mustakabali wa Kitu.

Sasa kwa Upande wa Tanganyika hilo la kupokezana Madaraka kwa dini mbili kuu lipo wazi kabisa na halina shaka yoyote. Ni lazima kama Rais atatoka dini hii basi PM atoke dini nyingine. Na muhula unaofuta mnabadilishana madaraka. Huo ni utabiri wangu kutokana na matukio yanayotokea huko Bara tena mchana kweupeeeeeeeee.

nakuomba uwe muwazi na mkweli na kuangalia mustakabali wa tanganyika nje ya Muungano ikiwa pamoja na kujiuliza kwanini Tanganyika imeikumbatia Znz? na kukubali kuwa na mamlaka ndani ya muungano pasu kwa pasu ilhali Znz ni nchi ndogo tu? utaona kuna namna. chunguza hapo.

 
Nguruvi3,

Ahali yangu huo niliobAINISHA NI KITU KIPO WAZI PASI NA SHAKA YOYOTE. kUMBUKA KUWA zamani mlikuwa mnadai kuwa waislam wa Bara hawajasoma na hivyo kwa upande wa Bara vyeo vingi sana zaidi ya 85% kuchukuliwa na wakristo. sasa nao waislam wamesoma hivyo lazima watadai haki yao kama wanavyolalamikia MoU ya kanisa na Serikali ya JMTz na malalamiko mengine mengi ya kubaguliwa.


LAKIN VILE VILE KAULI YA aliyewahi kuwa Boss wangu wizara ya Fedha na Muasisi wa Chadema Mzee EDwin MTEI alipo coment kuhusu wajumbe wa TUME ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya ni lazima yatatimia tu. Kwani kumekuwa na ile ya dini hizo kuwindana na kupendeleana ingawa machoni zinajipambanua kuwa zipo POA TU.

Kumbuka kuwa wana historia siku zote wanakusanya matukio na kutokana na hayo unaweza kutabili mustakabali wa Kitu.

Sasa kwa Upande wa Tanganyika hilo la kupokezana Madaraka kwa dini mbili kuu lipo wazi kabisa na halina shaka yoyote. Ni lazima kama Rais atatoka dini hii basi PM atoke dini nyingine. Na muhula unaofuta mnabadilishana madaraka. Huo ni utabiri wangu kutokana na matukio yanayotokea huko Bara tena mchana kweupeeeeeeeee.

nakuomba uwe muwazi na mkweli na kuangalia mustakabali wa tanganyika nje ya Muungano ikiwa pamoja na kujiuliza kwanini Tanganyika imeikumbatia Znz? na kukubali kuwa na mamlaka ndani ya muungano pasu kwa pasu ilhali Znz ni nchi ndogo tu? utaona kuna namna. chunguza hapo.
Baru baru, unachotaka kusema ni kuwa tuendelee kuishi na malalamiko na kuendelea kutoa tu kwasababu ZNZ wapo na wanajaza idadi. Nadhani hoja yako inajijibu vizuri sana. Pindi muungano ukivunjika nafasi za waislam waznz zitachukuliwa na Watananyika. Ingawa siamini katika udini hii ni kukuonyesha kuwa wabunge 50 wasio na kazi pale Dodoma na akina Mwinyi, Nahodha, lundo kule wizara ya afya na Hazina nafasi hizo zingekuwa za Watanganyika.

Baru baru hivi kweli hata wewe mwenye uzoefu serikalini na exposure ya kutosha bado unaamini kuwa PM au Rais akiwa wa dini fulani basi mambo yamenyooka.!!

Hao wanaoamini hivyo ni wapuuzi na watu wasio na ufahamu. Nenda pale msoga na vijiji vya jirani au Nanyumbu uone kama kuna tofauti yoyote mwananchi wa kawaida jirani na Marais wanapotoka amebadilika maisha.
Nenda Butiama uangalie kama kuna mzanaki mkatoliki amebadilika masiaha kwasababu ya miaka 23 ya Nyerere madarakani.
Maisha anayabadili mtu mwenyewe na si kutegeme Baru baru Mwislamu au John Mkristo.

Watu wapo dunia nzima na huko nje kama ulaya magharibi wameweza kuyabadili maisha yao kwa juhudi zao na si serikali za dini. Mfano kuna Watanzania wanaishi Ujerumani kunakotawaliwa na Christian Democrat, wao wamefanikiwa sana si kwasababu nyingine bali juhudi zao.

Kuna Wazambia au Wakenya wamekuja nchini na wanafanikiwa sana kwa jitihada zao si kwasababu ya Mkapa au Kikwte.
Huu upuuzi wa kudhani rais au PM akiwa wa dini fulani ni mafanikio ni ujinga uliotukuka.

Nikuulize, hivi ikitokea nafasi ya Engineer au Daktari nayo itapigiwa kura au kuteuliwa?
Na kama hakuna aliyefuzu watu wafanye nini, maana unaposema watu fiulani wamesoma sijui hata unaangalia vigezo gani na usomi upi unaoongelea.Hivi kuna chuo cha kusomesha mawaziri au Waziri mkuu kama unavyopendekeza.

Nilidhani jamii inatakiwa iwe na mtazamo mpana zaidi ya huyo. Kwangu mimi ukiniambia kipi bora kati ya kuwa na mawazri 20 wa dini fulani au kujenga chuo cha VETA ningekuambia VETA.

Ni upuuzi wa kufikiria kwa kutumia dini ndio tunauona ZNZ leo hii. Sote tunajua ZNZ asilimia 99 ni waislamu, kuna sababu gani za msingi wao kususia sensa? Jibu ni rahisi kuwa viongozi wapo ili waonekane tu bila kujua wanachosema au wanachohubiri.
Wanatafuta sababu za kijinga na kipuuzi sana kuhalalalisha madai ya kijinga na kipuuzi pia. ZNZ wanalalmikia sensa kwa lipi? Ni matokeo gani yangeweza kubadili ukweli usiohitaji certificate kuwa asilimia 99 ni waislam?

Kule Kilwa wanafunzi wamekimbia shule na imefungwa,wabunge wote ni waislamu! sasa hawa wabunge wameisadiaje jamii yao kiasi cha kutuaminisha kuwa ukiwa na katibu kata, tarafa, mbunge, mkuu wa wilaya na mkoa pamoja na waziri kutoka kilwa basi tatizo la ujinga, maradhi na umasikini litakwisha.

Jiulize kwanini mwislam wa Machame na Bukoba awe tofauti na yule wa Kilwa na Rufiji katika mfumo ule ule.
Ningeshauri utumie data za historia kuielekeza jamii njia sahihi na si kupata waziri au katibu kata kama unavyoshauri

Wezi wa Dowans wanalipwa milioni 150 KWA SIKU. Hawa ni wa dini zote. Nilidhani tulitakiwa tuchukue hatua ili hizo milioni 150 kwa siku tuzielekeze katika maeneo yenye hali duni. Hilo hatulioni, walioiba hatuwaoni, akili zetu zimejikita kufikiri kuwa wakuu wa wilaya 180 tukigawana na kuwaacha mabudha na wapagani tutakuwa tumefanikiwa.
Siamini Ahal wangu kuwa umejiunga na kina Ponda na kupeleka ufikiri wako likizo isiyo na malipo namna hii.

Hao akina Ponda, waulize wameifanyia nini jamii yao zaidi ya kuwa na agenda za kisiasa kila uchao?
Ismailia, Shia, Hindu n.k wao wanawekeza katika elimu na afya. Wanajua kuwa tatizo la jamii zao si ukatibu kata bali elimu na afya. Tunaona wanavyofanikiwa. Baru baru anahimiza kwa nguvu kabisa kuwa madaraka yagawanywe, hata mpumbavu apewe nafasi kwasababu anaitwa John au Abdallah kwa kufanya hivyo jamii inatakuwa imenyanyuka!

Hivi kwanini watu hawaangili tatizo kwa kina kuanzia kwenye shina wanaangalia PM na Rais. Hata kanuni za asili zinatuonyesha kuwa hakuna mwanadamu aliyefanikiwa bila jitihada.
Ahal wangu tuongozwe na ukweli na fikra, tuache kuzipeleka akili zetu vacation
 
BARUA YA WAZI KWA RAIS WA DOLA YA ZANZIBAR DR. ALI MUHAMMED SHEIN
BISMILLAHI ‘RRAHMANI ‘RRAHIM
Kila sifa njema zinamstahikia Allah, Subhanah wa Taala, isofichika kwake dhulma wala harudishi dua ya mwenye kudhulumiwa. Rehma na amani zimshukie Mtume Muhmmad (s.a.w) kipenzi chake na cha umma, mtetezi wa waliodhulimiwa hata kabla ya kupewa Utume
Sheikh amechagua maneno kutoka aya ili kukidhi haja yake ya kuweka maneno dhulma na kudhulumiwa katika jitihada za kujenga hoja ya kudhulumu au kudhulumiwa na Tanganyika.

Amefanya hivyo kwasababu hoja yake haiwezi kusimama yenyewe bila kuingiza kipengele cha udini.
Anamtaja Mtume Muhhamada (S.A.W) kama mtetezi wa wliodhulumiwa kwa maana aliyokusudia yeye ingawa ukweli ni kuwa Mtume Muhhammad(S.A.W) alipewa utume kwa minajadili ya kuwalingania wanadamu kwa yale mema yaliyoamrishwa na mabaya yaliyokatazwa.
Mh. Rais;Ni kweli nchi yeti ya Zanzibar imechafuliwa jina lake kuwa ni nchi ya amani kama ilivyogeuzwa nchi yetu na ndugu zetu na kufanywa kuwa ni koloni lao baada ya mkoloni Mwingereza kutupa uhuru mwaka 1963 na kuwa na kiti chetu Umoja wa Mataifa huku walimwengu wote wakishuhudia; kiti ambacho kwa uwezo wake Allah atakirejesha karibuni na wewe ukiwa rais wa Zanzibar au uliyemwakilisha kuweza kuketi juu yake Insha'allah na sisi wananchi wako wa Zanzibar tukifurahikia jambo hilo adhimu
Hapa anaonyesha chuki dhidi ya Watanganyika kwa kuwahusisha na upotevu wa amani. Baada ya kupata uhuru kilichofuata ni mapinduzi kabla ya muungano.

Mapinduzi yenyewe yaliyomwaga damu ni kielelezo kuwa hakukuwa na amani kabla ya hapo. Kama ingekuwepo mapinduzi yalikuwa na ulazima gani? Sheikh ameruka ukweli kuwa mapinduzi yalitokana uonevu wa Sultan na hoja zake ni za kukataa mapinduzi kwanza na hapo kuna maswali, je mapinduzi ni halali?

Sheikh anamchagiza Rais aone ufahari wa kukalia kiti UN, hakika hilo ni haki kabisa kama ndivyo wanavyoamua na kupenda iwe. Tatizo ni tafsiri itokanayo, kwasababu kwa kuwa na kiti tu UN ni ushahidi anataka kuuvunja muungano. Hilo pia ni jambo jema ubaya wake ni kujificha wakati analisema.

Hapa Sheikh anawakana wenzake wanaotaka serikali 3 au mkataba kwasababu uwepo wa vitu hivyo hautaruhusu kuwa na Marais wawili ndani ya UN. Hakuna Rais wa Puerto Rico au Quebec ndani ya UN wala kiti cha England wala Walace. Kipo kiti cha United Kingdom.
Mh.Rais;Ni kweli nchi yetu inatiwa dosari lakini si kweli kuwa wananchi wa Zanzibar ndio wanaosababisha dosari hiyo na doa hilo la uvunjifu wa amani; ushahidi wa maneno haya tutaupata tukirejea na kutizama kwa jicho la uadilifu na insafu katika matukio tafauti. Kwa hakika tukifanya hivyo tutagundua bila ya taabu kuwa Jeshi la Polisi la Tanzania ndio wahusika wakuu na waanzilishi wa vurugu na uvunjifu wa amani ya nchi yetu ya Zanzibar kwa mara zote tatu, nikimaanisha machafuko yaliyotokea tarehe 25-26/5/2012 mjini Zanzibar na yale ya kuhujumu waumini na kunajisi misiskiti tarehe 17/6/2012, Donge, Mahonda na Mkokotoni pamoja na hujuma ya tarehe 20/7/2012 msikitini pia dhidi ya Waislamu walokusanyika msikiti wa Mbuyuni kuwasalia ndugu zao waliofariki kwa ajali ya meli ya Mv. Skaget. Waislamu tulihujumiwa ndani ya msikiti. Jeshi la polisi halikusita hapo bali liliwaingilia wananchi wanyonge mpaka ndani ya nyumba zao na kuwatendea matendo haramiya ya chuki na uhuni na katika waliotendewa matendo hayo maovu walikuwa wanawake na watoto wachanga. Polisi hao wakhalifu wa sharia waharibifu wa amani walifika hadi ya kutupa mabomu ya madawa makali ndani ya majumba ya raia bila ya kujali athari zitakazowasibu watoto wachanga na wanawake wenye kunyonyesha. Iwapo jeshi la polisi lililopewa jukumu la kulinda sharia, kuweka amani na kuwahami wananchi na mali zao ndio wenye kuvunja shariakwa kuwahujumu watu bila ya sababu, wananchi na haki zao zitalindwa na nani?
Sheikh anasema nchi inatiwa dosari akimaanisha na Watanganyika. Amesahau kuwa dosari zilikuwepo kuanzia enzi za UMMA party, ZPP,ZPP na ASP. Ugomvi wa mwaka 2001 uliopelekea wao kutozikana ulisababishwa na Maalimu Seif na Salimin Amour.
Kama dosari ingeletwa na Watanganyika iweje Maalimu na Komandoo washindwe kuliona hilo na kama wznz walikubali kufitinishwa kwanini Mtanganyika alaumiwe kwa upumbavu wa mtu mwingine?

Sheikh analitaja jeshi la Polisi la Tanzania kuleta vurugu nchini Zanzibar. Halafu mbele anasema ikiwa jeshi la Polisi ndilo lenye dhama ya kuleta amani.... Kwa maneno mengine jeshi lililopo Zanzibar ambalo commissioner wake na askari ni wznz, waziri wa mambo ya ndani ni mznz ni la Tanzania, lipi la visiwani tusilolijua?

Lakini pia kwanini atarajie jeshi la Tanzania kulinda amani wakati ameshasema ni la Tanzania linalopeleka vurugu? Kuna majeshi mangapi na kwanini kwanza asianze kulikana jeshi la Tanzania ambalo anaomba lilinde amani?
Hapa alikusudia kujenga hoja kuwa jeshi ni la Tanzania ambayo ZNZ si sehemu yake na hivyo ni mamluki.

Anasema Polisi ni wahalifu wa sharia akisahau kuwa wapo waliochoma wenzao moto na majengo moto ambao ni wahalifu wa kwanza wanaolazimu uwepo wa jeshi la Polisi liwe la ZNZ au Tanzania.
Sheikh anasema jeshi la Polisi limehujumu wanawake na watoto wachanga.

Alichokusudia ni kuonyesha na kuchochea hasira kuwa watoto wachanga walihujumiwa.
Asichokijua sheikh wetu ni kuwa wapo watoto wachanga (infants 0-6month), watoto (children; 1-6 years) watoto wakubwa (6-12years) na watoto (kids;12-17 years),hawa kwa pamoja tunasema ni watoto na hakika sheria na taratibu haziruhusu wao kuwa victims wa jambo lolote.

Sheikh hakutakiwa kusema watoto wachanga kwasababu kusema hivyo ni kuwaondoa wengine kwenye ulinzi (immunity) ya hatia. Kama Polisi walifanya uhalifu basi walioathirika ni watoto kwa ujumla na siyo wachanga peke yao. Ijulikane tu neno wachanga ameliweka kuamsha hisia na hili linaomuondolea sifa yake ya usheikh ya kuwa mkweli, asiye mchochezi, mfitini wala muungo.
Mh.Rais;Matokeo ya ukiukwaji wa sharia na haki za binadamu yaliyopelekea kuiharibia nchi yetu ya Zanzibar sifa yake ya amani na utulivu yamesababishwa na jeshi la polisi la Tanzania lililoacha kutekeleza wajibu wake wa kutunza amani ya nchi yetu Zanzibar . La kusikitisha zaidi ni kuwepo baadhi ya watendaji wako wa karibu wanaopotosha ukweli na kuifanyia khiyana nchi yetu ya Zanzibar kwa kufikisha kwako taarifa za uongo zilizopelekea kuitia doa na kuiharibu khutuba yako ilojaa maneno matukufu ya Allah Subhanah wa Taala pamoja na mafunzo kutoka Sunna za Mtume (s.a.w), khutuba ambayo ilitarajiwa kukemea dhulma za jeshi la polisi dhidi ya Waiislam na nyumba tukufu za Allah (S.w.T) iliyohujumiwa pamoja na wanawake na watoto wachanga ndani ya majumba kama ulivotetea makanisa na kubainisha hatari na ubaya wa walioyachoma makanisa hayo kwa lengo la kutaka kuanzisha fitna baina ya Waislam na jirani zao Wakristo waliokaribishwa nchini Zanzibar na kuishi pamoja nao miaka mingi kwa amani kiasi ambacho haijawahi kutokea Muislamu kulitusi kanisa licha kulichoma moto, kwani hayo ni kinyume na mafunzo ya dini yetu tukufu ya Kiislamu
Sheikh anasema wapo watu wanampelekea taarifa za uongo akimaanisha kuwa kile anacokisema yeye ndio ukweli. Anasahau ukweli kuwa kusema watoto wachanga tu ni fitna kwasababu endapo wapo walioathrika basi ni pamoja na wagonjwa, wazee, watoto na akina mama. Hapa anawatuhumu watendaji kwa uongo ule ule anaousema. Taarifa anayomplekea Rais ina ufitini wa kiwango kizuri tu, sasa ushujaa wa kusema wengine ni waongo anaupata wapi?

Anasema waislam wameishi na jirani zao wakristo miaka mingi. Si ndugu zao hata kama ni mznz bali jirani.
Anasema kuna njama za kuhujumu Uislam ZNZ, hapo amesahau kuwa ZNZ ni ya wote na alipaswa kusema kuna njama za kuihujumu ZNZ na siyo waislam pekee kwasababu jeshi analolituhumu likirusha mabomu halichagui dini au kabila.

Sheikh anasema hakuna mwislam aliyetusi ukristo kwa maana yakuwa hujuma ni za kutunga. Ameshau kuwa ni wznz waliwachoma moto Watanganyika si kwa ukristo bali kwa utanganyika seuze ukristo!
Sheikh hakumbuki kuwa asiye mwislam znz anaitwa kafir, je neno kafir ni jema kwa watu wanaoishi kama jirani.
inapojikariri khiyana hiyo inajenga hisiya kwa wenyeji wa nchi hii ambao wengi wao ni Waislamu kuwa wanabaguliwa, na sio wao tu bali hata kudharauliwa nyumba zao tukufu za ibada na kuthaminiwa makanisa peke yake. Sisi Waislamu hatutaki nyumba zozote za ibada zidharauliwe. Nyumba zote za ibada lazima ziwekewe hishima zinazostahi
Wangechoma moto makanisa! ufahamu kuwa misikiti na makanisa ni sehemu takatifu zizsizopaswa kuwa maskani za wahalifu kujificha. Anachotuambia ni kuwa midhali kuna mznz kachoma moto mwenzake akikikmbilia msikitini huyo aachwe. Kwamba miskiti itumike kuhifadhi wahalifu hivyo ndiivyo dini inasema! Ufahamu wa sheikh unatia wasi wasi sana
Mh.Rais;Kwa heshma zote naomba zichunguzwe sana sifa mawe na . bili kwa watu wote wa karibu na viongozi, sifa mbazo ni hatari kuzikosa tena zinaweza kuiangamiza nchi yetu tukufu ya Zanzibar . Sifa hizo si nyengine illa ni ukweli na uaminifu ambazo ni kinyume na uwongo na khiyana. Yarabbi Muumba Mbingu na Ardhi, usieshindwa na jambo, tunakuomba muhifadhi Rais wetu, turejeshee nchi yetu kwa salama na amani, DOLA HURU YA ZANZIBAR, wastiri wanawake na watoto wachanga majumbani na Wazanzibari wote tunaodhulumiwa kwa kudai uhuru wa nchi yetu ya Zanzibar uloporwa na jirani zetu, ndugu zetu baada ya kutoka kwa wakoloni.Amir Mkuu, Jumuiya ya Maimamu Zanzibar
Farid Hadi Ahmed
Sheikh anasema warejeshewe nchi yao, nami nakubaliana naye kabisa.
Alichoshindwa kuelewa ni kuwa alipaswa awashawishi wabunge, wawakilishi, mwanasheria mkuu wairudishe nchi yao. Tena kasema dola huru ya ZNZ, nakubaliana naye lakini hakuna dola isiyo na jeshi kwahiyo alipaswa kuwashawishi wzn waanzishe jeshi kwanza.

Sheikh anasaidia kuondoa uwezekano wa serikali 3 au mkataba kwasababu tayari ameshadai kiti UN na jeshi, sasa mkataba utahusu mambo gani au serikali ya mkataba itahusu nini.

Wakati akisema hayo Maalimu Seif naye anasema tuwe na umoja kama wa ulaya, sijui kwanini umoja huo usiwe ndani ya EAC bali Tanganyika na ZNZ tu.
 
[h=5]Sema hapana Serikali "Tatu", Sema ndiyo "Serikali moja". Nchi moja, Taifa Moja, Watu wamoja - nje ya hapo Hapana!!! Tumeshatengeneza ulaji na ukiritimba wa kutosha kwenye serikali mbili halafu tunataka kuongeza serikali ya tatu? Mizigo miwili midogo imetushinda (tunahangaika nayo) halafu magenius wetu wanataka kutupa mizigo mitatu mikubwa!? Kwanini tusiamue kutengeneza mzigo mmoja tu tukaubeba!?[/h]Pamoja na jaribio dhaifu la Tume ya Warioba kupendekeza kuikataa majimbo, pendekezo lao la Katiba Mpya kimsingi linatengeneza majimbo yale yale (States) ambapo kutakuwa na majimbo mawili - Tanganyika na Zanzibar! Kwa sababu kama nchi mbili zimeungana na kuunda 'Shirikisho" basi zile zilizoungana haziwezi kuendelea kuwa nchi tena; zinahamisha hakimiya (sovereignty) yake kwenda kwenye federal government isipokuwa kama kilichoundwa (Shirikisho) siyo nchi!

Kwa kuanzisha mfumo wa Majimbo - Jimbo la Tanganyika litakuwa na nguvu kubwa sana kuliko jimbo la Zanzibar. Lakini kama wakiamua kufanya hali ya sawa katika kuendesha serikali ya Jamhuri ya Muungano Zanzibar itaonewa kwani ikitakiwa kuchangia nusu ya gharama za kuiendesha serikali ya Muungano italalamika mno na sidhani kama Wazanzibari watatakiwa kukubali mfumo huo.

Kwa sababu hiyo njia ya kuimarisha "Muungano" kama lengo ndio hilo basi ni kuingia Serikali Moja ya Kitaifa na Nchi Moja - siyo serikali tatu za kitaifa. Chini ya serikali hiyo moja ya kitaifa (federal government) kutakuwa na serikali za Majimbo (States) ambapo Zanzibar itabakia kama ilivyo (Visiwa vya Mafia, Bagamoyo, Pangani vinaweza kuongezwa huko... I know.. I know.. au ikagawanywa Unguja ikawa kivyake na Pemba kivyake!.) halafu Tanganyika igawanywe kwa States saba hivi ambazo zitaunda 'Regional Governments). Chini ya Regional Governments kutakuwa na "Local Governments" za Miji, Majiji, Vijiji na mifumo mingine ya kujitegemea.

Na maneno mengine mengi....

In short.. Tusikubali serikali tatu za nchi; bali serikali moja, nchi moja, taifa moja na watu wamoja.. Mapendekezo ya Tume ya Warioba kuwabebesha Watanzania mizigo hii ni ya kupingwa, kukataliwa na kupuuzwa.
 
Tunataka serikali moja tu

Serikali ya watu wa TANGANYIKA

Hao wengine hatutaki kuwasikia, waende kupika urojo huko kwao

Ni wakati umefika Ng'ombe akatae kunyonywa na kupe mlalamishi.

Hivi kwanza wana faida gani kwa bara hawa wazenji zaidi ya kelele na udini?
 
Mkuu Mwanakijiji,
Na hili hili la wabunge wawiliwawili (jinsia tofauti) kwa jimbo unalionaje? Mbona kwa wenzetu waliotutangulia kwenye maswala ya demokrasia hatujawahi kusikia upuuzi huu? Kituko tulicholetewa na Warioba hakilingani na gharama tulizowalipa.
 
Mkuu Mwanakijiji,
Na hili hili la wabunge wawiliwawili (jinsia tofauti) kwa jimbo unalionaje? Mbona kwa wenzetu waliotutangulia kwenye maswala ya demokrasia hatujawahi kusikia upuuzi huu?

Kwa kweli ni upuuzi; as a matter of fact ni kana kwamba hawajui hesabu za seti! Hivi Mbunge mwanamke atakuwa anawakilisha wanawake tu kwenye hilo jimbo na Mwanaume atawakilisha wanaume watupu?
 
Back
Top Bottom