Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #141
Ukisoma vizuri utaona kuna njia panda. CCM inasema itajadili katika ngazi zote na wanachama wakikubali hawana ujanja.Wenye Muungano wanasema: https://www.jamiiforums.com/katiba-mpya/467037-ccm-wapinga-serikali-tatu.html
Labda nisema hapa hakiangaliwi chama kinasema nini, yanyoangaliwa ni maoni ya wananchi.
Lakini iwe iwavyo, bado siwaelewi WAZANZIBAR kwasababu wao ndio waliokuwa wanalilia Tanganyika irudi, sasa inarudi wanataka kitu kingine. Hata Waliberali w CUF sera ya chama chao ni serikali 3.
WaznZ wamelalamika wanaonewa katika mambo 22 yamepunguzwa hadi 7 bado wanataka kitu kingine.
Swali kubwa ni kuwa hivi kwanini kuwe na mkataba ambao tunajua unaweza kufa kesho?
Kwanini tusiwe na mkataba kupitia EAC.
Na kwamba, mkataba anaousema Maalim ni wa mambo gani? Hakuna upuuzi kama kusema tunataka bila kusema ni kitu gani unataka. Nini mkataba uwe na kwanini mkataba na tusiende Kule rahisi kabisa wa EAC ambao kila nchi ni dola kamili.
Ndio maana nauliza hivi Seif anajua anachosema? Kwanini kama hataki muungano asiwahamasishe wznz wakatae rasimu yoyote ile ili tujue yameisha anabaki kubabaika na mkataba?
Mkataba una masilahi gani na Tanganyika?
Hapa wznz wamebanwa kuchomoa hawawezi kubaki wanaona chungu.
Kule Arusha wanasema ni ngumu kumesa.
TangAnyika ipo huru kwa uamuzi wa wzn.