ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,096
- 2,287
Yaani wewe 😂😂😂😂😂 hizo Akili ni za kupimwaItakua TANZABUNIA[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe 😂😂😂😂😂 hizo Akili ni za kupimwaItakua TANZABUNIA[emoji23]
mimi shida yangu n jina…kama litabaki tanzania sawa…tusije tukawa Butanzania[emoji3]
Napendekeza Jina; nchi mpya itaitwa TANZABURI.mimi shida yangu n jina…kama litabaki tanzania sawa…tusije tukawa Butanzania[emoji3]
Isiwe tu kama ule wa Tanganyika na Zanzibar, Afrika ni Moja. SAFI SANAAAAAAA!Source BBC: Kuwa ilikua ni ndoto ya Muasisi wa Taifa la BURUNDI Hayati Rwagaore kuunganisha Tanzania na Burundi kuwa nchi Moja.
Siri hiyo aliitoa Mwa Nyerere katika Moja ya vikao vya usuluhishi wa migogoro ya Burundi.
Kwa mujibu wa BBC, majadiliano yanaendelea ili kutimiza ndoto ya Rwagasore na Nyerere kuunganisha mataifa hayo na kuwa nchi Moja.
Jambo la kujiuliza ni juu ya faida au hasara ya kufanya hivyo.
Naona umechukua maneno manne ya kwanza na kuamua kunihukumu bila kujali muendelezo wa nilichoandika.Muungano ni jambo jema?
Rudi na wadogo zako na wake zenu mkakae kwa baba yenu ili mrahisishe maisha basi!
Na majirani waambie muunganishe mabanda ya kuku!
Serikali moja na Rais mmoja,baada ya kulazimisha muungano kwa watakaopingaRaisi mmoja na serikali moja au muungano uvunjwe
Jamaa alikuwa hajui kuwa burundi kuna watutsi wengi tuWarundi na Rwanda mbona wanafanana wote ni Wahutu na watutsi
Wewe unalima kiasi gani kwenye ardhi iliyopo? Do you think shida ni ardhi?Huko kwao ardhi ya kulima hakuna,wqnaingia tz kimagumashi,ardhi hakuna utafunguaje akili kuziba ombwe la ardhi!?
Mbona warundi wengi wapewe uraia.pia jamaa niwachapakazi sana.Tuongeze watu 12m kuja kugombea ardhi!?
Hutazami mbali siyo!!?Mbona warundi wengi wapewe uraia.pia jamaa niwachapakazi sana.
Unanifikiria Mimi,hufikirii wangu na wajukuuWewe unalima kiasi gani kwenye ardhi iliyopo? Do you think shida ni ardhi?
BurunzaniaItakua TANZABUNIA[emoji23]
Hiyo ZATABU mmh!BUTAZA, TABUZA, ZATABU
BU-Burundi
TA-Tanganyika
ZA-Zanzibar
Ni BurutanzaItakua TANZABUNIA[emoji23]