Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Hakuna swali lisilo na jibu. kama hujui jibu, jibu unalo jibu SIJUIKaka hili swali halinaga jibu na muda si mwingi utaitwa mchochezi, mbaguzi na mvunja muungano wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna swali lisilo na jibu. kama hujui jibu, jibu unalo jibu SIJUIKaka hili swali halinaga jibu na muda si mwingi utaitwa mchochezi, mbaguzi na mvunja muungano wetu.
Huyu mmakunduchi aliyepo sasa ndie anayefanya uone hivyo, siku akiondoka utaiona tofauti.Wazanzibar ndo wanatutawala sisi hatuna uwezo wa kuwatawala,huu ni muungano wa hovyo kuwahi kutokea duniani
tupatie jibu wewe, Tanganyika ipo wapi? kama ni chumbani kwako tujuze na kwa nini?Hakuna swali lisilo na jibu. kama hujui jibu, jibu unalo jibu SIJUI
Tanganyika ipo lakini wameivalisha koti la muungano hiyo Tanganyika ndio Muungano iangalie vizuuri utaiona imo humo humo kwenye serikali ya Muunganotupatie jibu wewe, Tanganyika ipo wapi? kama ni chumbani kwako tujuze na kwa nini?
Kwel kabsa mkuu#kataa Muungano,Muungano ni utapeli
Hakipo kitu kama hcho dadaWapo viongozi kibao ambao sio wazawa wa Zanzibar na kuhusu muungano mbona Kodi za TRA Hadi Zanzibar zinakusanywa licha yakua tuna ZRA yetu mnatakaje sasa
Ni kama issue ya Dpw vileHakipo kitu kama hcho dada
Huu muungano ni faida kwa Zanzibar
Ndy huyo mwenzao kauza bandar za bara Ila za zenj hajagusa na mpaka now Yuko Dubai ananegotiateNi kama issue ya Dpw vile
Mkuu MKWEAMINAZI, kwanza kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko lako hili, kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.Mwaka 1964 nchi ya Tanganyika iliungana na nchi ya Zanzibar na kuzaa nchi ya Tanzania.
Hii ni kweli, na ndicho kilichopo!. Watanzania wanahitaji sana kuelimishwa kuhusu muungano now, than any other times, kwasababu ni Mama Samia, ndiye aliyetoa ruhusa watu waachwe huru kujadili muungano "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikilizaNilitarajia muungano ule ungezifuta nchi zote mbili yaani nchi ya Zanzibar na nchi ya Tanganyika ili kuwe na nchi moja tu ya Tanzania.
Baada ya muungano, nchi zote mbili zilitoweka, hakuna nchi ya Tanganyika, wala nchi ya Zanzibar, kilichopo ni nchi moja tuu ya Tanzania!. Zanzibar sio nchi!.Kinachoshangaza kwa muungano huu ni uwepo wa nchi ya Zanzibar na kutoweka kwa nchi ya Tanganyika.
Nchi zote mbili zilitoweka, hakuna nchi ya Tanganyika wala hakuna nchi ya Zanzibar, bali nchi ya Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar.Je kwanini nchi ya Tanganyika itoweke na nchi ya Zanzibar iwepo?
Sii kweli nchi ya Tanzania iko kwenye ardhi ya iliyokuwa Tanganyika, nchi ya Tanzania ni eneo lote la iliyokuwa Tanganyika na eneo lote la iliyokuwa Zanzibar!.Kwanini nchi ya tanzania iwe kwenye ardhi ya nchi ya Tanganyika bila kuijumlisha ardhi ya nchi ya Zanzibar wakati udongo wa Tanganyika na Zanzibar ulichanganywa?
Hapana, Tanganyika ilibadili jina na kuwa Tanzania Bara, ila jina la Zanzibar lilibaki kwasababu ya utawala wake wa ndani tuu lakini Zanzibar sio nchi!.Au huu muungano ulikuwa wa kubadili jina la Tanganyika na kuwa tanzania maana jina la zanzibar lipo?
Usiendelee kuuliza tena, nchi ya Tanganyika haipo!, na nchi ya Zanzibar pia haipo, kilichopo ni nchi moja ya Tanzania!.Nauliza tena, Nchi ya tanganyika ipo wapi?
Mbona Tanganyika haina utawala wake wa ndani?Zanzibar hii iliyopo sio nchi, ni sehemu ya Tanzania yenye utawala wake wa ndani!.
Usiendelee kuuliza tena, nchi ya Tanganyika haipo!, na nchi ya Zanzibar pia haipo, kilichopo ni nchi moja ya Tanzania!.
Hapo naona Kuna raisi wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar na raisi wa Zanzibar je Yuko wapo raisi wa Tanganyika????katiba ya JMT, na katiba ya Zanzibar, yenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya Zanzibar, SMZ, yenye marais wawili, rais wa JMT na rais wa Zanzibar.
Zanzibar sio nchi?? Em nenda ukawaulize wapemba kama Zanzibar ni nchi au ni NiniBaada ya muungano, nchi zote mbili zilitoweka, hakuna nchi ya Tanganyika, wala nchi ya Zanzibar, kilichopo ni nchi moja tuu ya Tanzania!. Zanzibar sio nchi!.
Hapo swadaktakwa maoni yangu, dawa pekee na ya kudumu ya kuondoa kero zote za muungano, ni kwenda kwenye serikali moja!.
Tuna mamlaka kamili wazanzibar hatupendi kuruzwaburuzwaZanzibar sio nchi?? Em nenda ukawaulize wapemba kama Zanzibar ni nchi au ni Nini
Uwasikie watasemaje.