Muungano ni kati ya nchi ya Tanganyika na Zanzibar, kama Zanzibar ipo Tanganyika ipo wapi?

Muungano ni kati ya nchi ya Tanganyika na Zanzibar, kama Zanzibar ipo Tanganyika ipo wapi?

Nyinyi Mizanzibari vichwa flat ni kama mikupe tu. Sasa kwa nini msijitoe kwenye huo muungano na kuwa huru? Maana kila siku ni kudeka deka tu na kupenda kubebwa kama watoto wachanga.
Inaelekea hata hapa duniani wewe hupo. Sisi tumesema na tumefanya sana. Tatizo ni nyinyi machogo kushilikilia kwa nguvu muungano huu kwa nia ya kuidhibiti. Mifano ni mingi lkn juhudi za uamsho na kesi iliyoko mahakama ya kmataifa ni ushahidi wa hilo.

Sisi hatuhitaji kubebwa kwani tunajiweza sana. Wacha kuzungumza mambo usoyajua
 
Inaelekea hata hapa duniani wewe hupo. Sisi tumesema na tumefanya sana. Tatizo ni nyinyi machogo kushilikilia kwa nguvu muungano huu kwa nia ya kuidhibiti. Mifano ni mingi lkn juhudi za uamsho na kesi iliyoko mahakama ya kmataifa ni ushahidi wa hilo.

Sisi hatuhitaji kubebwa kwani tunajiweza sana. Wacha kuzungumza mambo usoyajua
Si mpige sasa kura ya maoni ya kujitoa kwenye huo muungano! Au mnafikiri kutumia njia zenu za kipuuzi kama hizo za kuanzisha uamsho na kumwagia watu tindikali ndiyo zitawasaidia kujitegemea?
 
Nyinyi Mizanzibari vichwa flat ni kama mikupe tu kwa nchi yetu ya Tanganyika. Kwa nini msijitoe kwenye huo muungano na kuunda Taifa lenu huru? Maana kila siku ni kudeka deka tu na kupenda kubebwa kama watoto wachanga.
Hili la kujitoa tumejaribu sana ila tatizo ni nyinyi Mitanganyika michogo munang'angٰania kwa nia ya kuwadhibiti Wazanzibari eti siasa kali halafu unakuja kulialia.

Sisi hatuhitaji kubebwa kwani tunajiweza. Tatizo ni nyinyi ving'anganizi.
 
Hili la kujitoa tumejaribu sana ila tatizo ni nyinyi Mitanganyika michogo munang'angٰania kwa nia ya kuwadhibiti Wazanzibari eti siasa kali halafu unakuja kulialia.

Sisi hatuhitaji kubebwa kwani tunajiweza. Tatizo ni nyinyi ving'anganizi.
Hakuna Mtanganyika mwenye akili timamu anaweza kuukubali au kuvutiwa na huu Muungano wa hovyo wa changu chako, chako chako.

Jitoeni hata kesho basi muone kama Watanganyika tutasikita au kupoteza chochote! Zaidi nyinyi ndiyo mtageuka kuwa omba omba kwa ndugu zenu zenu Waarabu.
 
Si mpige sasa kura ya maoni ya kujitoa kwenye huo muungano! Au mnafikiri kutumia njia zenu za kipuuzi kama hizo za kuanzisha uamsho na kumwagia watu tindikali ndiyo zitawasaidia kujitegemea?
Kwanini musipige nyinyi hiyo kura ya maoni?
Hakuna Mtanganyika mwenye akili timamu anaweza kuukubali au kuvutiwa na huu Muungano wa hovyo wa changu chako, chako chako.

Jitoeni hata kesho basi muone kama Watanganyika tutasikita au kupoteza chochote! Zaidi nyinyi ndiyo mtageuka kuwa omba omba kwa ndugu zenu zenu Waarabu.
Jitoeni nyinyi ili sisi tusikukereni na mukituona tumekuja kuomba kwenu mtufukuze. Jambo usilolijua ni usiku wa kiza.

Sisi kuomba kwa ndugu zetu waarabu ndo ilivyo nanyi si huwa mnaomba kwa mabwana zenu wazungu?
 
Hakuna Mtanganyika mwenye akili timamu anaweza kuukubali au kuvutiwa na huu Muungano wa hovyo wa changu chako, chako chako.

Jitoeni hata kesho basi muone kama Watanganyika tutasikita au kupoteza chochote! Zaidi nyinyi ndiyo mtageuka kuwa omba omba kwa ndugu zenu zenu Waarabu.
Kama unaona kujitoa ni Rahisi hebu azeni kwanza kujitoa kwenye huo Mkataba wa Bandari uone kama mutaweza
 
inaniuma sana, tena Sana! najiuliza maswali ni nani kawaloga vijana wetu!?, Bunge tu la JMT linaitambua Zanzibar Kama nchi , na Hata balaza la mapinduzi la huko Zanzibar linaitambua Zanzibar Kama nchi na wanzanzibar pia wanajitambua na wanatambua Zanzibar yao NI nchi.

KITUKO , kinakuja huku kwetu , vijana wetu Tena wasomi kabisaaa hawaitambui Kama Tanganyika ni nchi na wao pia watanganyika , yaani hii kitu inasikitisha Sana , utaskia wanasema Tanganyika haipo ilishakufa pale tu ilipozaliwa muungano , niwaulize vijana na wasomi wetu wa kileo siku muungano ukifa ndo mtaanza kuutafuta Tanganyika yenu?

KAMA mnaikana Tanganyika eti haipo na nyinyi wenyewe mnajikana sio watanganyika ni Nani atazilinda Mali za watanganyika na Tanganyika?

Hatuombei itokee , lakini siku muungano huu ukavunjika mtalia kilio Cha mbuzi , kwa ufala wenu , kutokuilinda Tanganyika na Mali za watanganyika !!
 
Ngoja waje! Utakula vyuma mixer spana mpaka uukimbie uzi wako! 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Ngoja waje! Utakula vyuma mixer spana mpaka uukimbie uzi wako! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2097][emoji2097][emoji2097]
nawasubili, waje!! [emoji3].
 
inaniuma Sana , Tena Sana !! najiuliza maswali ni nani kawaloga vijana wetu!?, Bunge tu la JMT linaitambua Zanzibar Kama nchi , na Hata balaza la mapinduzi la huko Zanzibar linaitambua Zanzibar Kama nchi na wanzanzibar pia wanajitambua na wanatambua Zanzibar yao NI nchi...
Nchi Gani Haina JESHI, Haina PESA yake?
 
Mkuu MKWEAMINAZI, kwanza kwa ruhusa yako, naomba kulitumia bandiko lako hili, kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.

Pili nikurekebishe hii opening statement yako ya "Mwaka 1964 nchi ya Tanganyika iliungana na nchi ya Zanzibar na kuzaa nchi ya Tanzania", it should be "Mwaka 1964 nchi iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika, iliungana na nchi iliyokuwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na kuzaa nchi ya Tanzania", kwasababu nchi hizi zote mbili sasa hazipo!.

Hii ni kweli, na ndicho kilichopo!. Watanzania wanahitaji sana kuelimishwa kuhusu muungano now, than any other times, kwasababu ni Mama Samia, ndiye aliyetoa ruhusa watu waachwe huru kujadili muungano "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Baada ya muungano, nchi zote mbili zilitoweka, hakuna nchi ya Tanganyika, wala nchi ya Zanzibar, kilichopo ni nchi moja tuu ya Tanzania!. Zanzibar sio nchi!.

Nchi zote mbili zilitoweka, hakuna nchi ya Tanganyika wala hakuna nchi ya Zanzibar, bali nchi ya Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara iliyokuwa Tanganyika na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar iliyokuwa Zanzibar.
Zanzibar hii iliyopo sio nchi, ni sehemu ya Tanzania yenye utawala wake wa ndani!.

Sii kweli nchi ya Tanzania iko kwenye ardhi ya iliyokuwa Tanganyika, nchi ya Tanzania ni eneo lote la iliyokuwa Tanganyika na eneo lote la iliyokuwa Zanzibar!.
Na ni kufuatia kitendo kile cha kuchanganya udongo, ndio kuizi fuse nchi zote mbili kuwa nchi moja, hivyo muungano wetu ni muungano wa milele!, hauwezi kuvunjwa kwa namna yoyote, kwasababu ili kuuvunja huu muungano wetu adhimu, ni lazima kuuchukua ule udongo ulio changanywa na kuutenganishe, kitu ambacho haiwezekani!.

Ndio maana hata ule unaitwa ni mkataba wa muungano, The Articles of the Union between Tanganyika and Zanzibar, ule sio mkataba, ni makubaliano ya kuungana milele!, Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?

Hapana, Tanganyika ilibadili jina na kuwa Tanzania Bara, ila jina la Zanzibar lilibaki kwasababu ya utawala wake wa ndani tuu lakini Zanzibar sio nchi!.

Usiendelee kuuliza tena, nchi ya Tanganyika haipo!, na nchi ya Zanzibar pia haipo, kilichopo ni nchi moja ya Tanzania!.

Elimu ya Uraia Kuhusu Muungano wetu adhimu!.

Duniani kuna miungano ya aina mbili Kuu,
1. Miungano ya union, nchi mbili au zaidi zinaungana kuunda nchi moja. Zile nchi zote zinakufa na inazaliwa nchi moja mpya.
2. Miungano ya federation, ni nchi mbili au zaidi zinaungana na kuunda nchi moja, ila zile nchi zote zinakuwa na serikali ya muungano, Federal Government na State Government, kila nchi ina utawala wake wa ndani.

Muungano wetu ni very unique, kwasababu ni muungano pekee duniani ambao on one side ni muungano wa union kwa nchi mbili kuungana kuunda nchi moja ya JMT, at the same time ni muungano wa federation wenye serikali mbili.

Muungano wetu kimataifa ni muungano wa union, Tanzania kimataifa ni nchi moja ya JMT, yenye serikali moja ya JMT, chini ya rais mmoja wa JMT, ambaye ni head of state, head of the government and CinC.

Lakini Kitaifa, nchi ya Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar, yenye katiba mbili, katiba ya JMT, na katiba ya Zanzibar, yenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya Zanzibar, SMZ, yenye marais wawili, rais wa JMT na rais wa Zanzibar.

Mkanganyiko wa Katiba.
Kama nilivyosema kimataifa Tanzania ni nchi moja ya JMT, hakuna mkanganyiko wowote wa kimataifa kuhusu Tanzania.

Lakini Kitaifa kuna mkanganyiko wa katiba kati ya katiba ya JMT na katiba ya Zanzibar.

Kwa mujibu wa katiba ya JMT, ya mwaka 1977, Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania Bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Zanzibar sio nchi bali ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.

Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, inaiita Zanzibar ni nchi, ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT!. Kitendo cha katiba ya Zanzibar kuuita Zanzibar ni nchi, kinawakanganya Watanzania kudhani kuwa nchi ya Tanganyika ndio pekee iliyokufa ila nchi ya Zanzibar ipo haikufa!.

Naomba niwahakikishie Tanzania ni nchi moja ya JMT, ile nchi inayotajwa na katiba ya Zanzibar kuwa ni nchi ya Zanzibar, sii kweli kuwa Zanzibar ni nchi, bali ni jina tuu, hayo mabadiliko ya katiba ya Zanzibar kujiita nchi, ni kwaajili ya Zanzibar tuu, lakini mabadiliko hayo hayatambuliwi na katiba ya JMT.

Kwa vile Rais Samia, anakwenda kutupatia katiba mpya, hili pia litarekebishwa, na kwa maoni yangu, dawa pekee na ya kudumu ya kuondoa kero zote za muungano, ni kwenda kwenye serikali moja!.

P
Leo tunapo adhimisha miaka 60 ya huu muungano wetu adhimu, nafanya tafakuri, niliwahi kuandika nini humu kuhusu muungano wetu.
Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya muungano wetu adhimu.
Ujumbe wangu ni muungano wetu adhimu udumu milele, na sasa ni muda muafaka tuachane na huu muungano wa kimaghumashi, wa union na federation, sasa twende kwenye muungano wa kweli wa union wa nchi moja, serikali moja, na rais mmoja!.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Tusaidie
P
 
Back
Top Bottom