FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 723
WEWE ni mjuzi hebu naomba nieleze Waziri Mkuu atatoka wapi na atafanya kazi gani ? Tafadhali usinyofoe sehemu za Katiba na badala yake chukuwa Katiba nzima. Sasa nasubiri wewe muelewa ili nithibitishe mark ya100 unayostahiki.
So far every one does not want to admit that worse. However clear and aunthentic thing does not want clarification as our leaders seek from other bodies. As far as MDEBWEDO that is our style of making you to realise that "the constitution says so" style will not yield agreememnt on the issue.
Mkuu it not about matakwa yangu au yako, ni about sheria kupiga kelele zako hapa forum ni the wrong place, sisi wananchi wa Bara pia tumechoshwa na never ending nonesense, matakwa yako kwenye muungano hayawezi kutatuliwa hapa forum hata urushe maneno kiasi gani, hapa utapewa facts tu za muungano kama zilivyo,
Nazo ni kwamba nchi yako ni mkoa ndani ya muungano, FULL STOP!
1. walichosema Zanzibar ni mfumo wa ulinzi sio jeshi .
2. Pinda ni Waziri Mkuu wa Tanganyika na mambo ya Muungano sio Waziri Mkuu wa Zanzibar na hilo limeshathibitishwa na serikali ya Zanzibar yenyewe.
Tatizo lako roho yako ina pepo wa ubaya . Ivo wewe unajiringia kuwa Muisrael nafikiri Watanganyika ni watu wasiopenda dhuluma. Pengine wewe ni exceptional.
Ndugu we are not equal and we have never been equal, population of 35Millions against 1Millions... hata vitabu vya dini haviwezi sema hapa kuna equality.
This is a fact na ni fact ambayo wewe na viongozi wako hawaikubali.
Tunaweza kuongea kwa uwiano.
Zanzibar population ni ndogo kuliko Wilaya ya Kinondoni.
- Wilaya ya Kinondoni ina population ya 1.4M na Zanzibar ni 1.0
- Zanzibar kuna wabunge wa Jamhuri 52... wenye mashangingi na kila kitu
- Kinondoni ina wabunge watatu... Kinondoni, Ubungo na Kawe.
- Kinondoni hakuna waziri.
- Kinondoni hakuna Rais
Haya mambo yameifanya Zanzibar ibweteke.... imepewa hisani kubwa sana... mkuu...
Mwisho mchawi wa Zanzibar ni uchumi ambao unasababishwa na kutofanya kazi na kupendelea sana siasa... (over political representation); nguvu kazi kubwa iko kwenye siasa badala ya uzalishaji! kijiji changu kina population ya watu 10,000...ingekuwa Zanzibar tungekuwa na Mwakilishi, Mbunge, masheha kibao... mkuu wa wilaya... RPC etc... etc.
Mchawi wake sio serikali ya muungano hata kidogo...
5) Without prejudice to the application of the Constitution
of Zanzibar in accordance with this Constitution concerning all
matters pertaining to Tanzania Zanzibar which are not Union
Matters, this Constitution shall have the force of law in the whole
of the Republic, and in the event any other law conflicts with the
provisions contained in this Constitution, the Constitution shall
prevail and that other law, to the extent of the inconsistency with
the Constitution, shall be void.
Ngekewa,
Sitochoka kukupa shule, nilitaka kuachana na wewe ila nikaona nisikuache gizani AMI wangu.
Ukisha maliza kuruka ruka nasisitiza nijibu maswali yangu ambayo hata mtoto wa nursery school anaweza kuyajibu ila wewe unayakimbia.
Wasalaam
Sasa amii kama ni hivyo si ukasome katiba yote wewe mwenyewe? naona Nyerere alikupa ilim bure na unaweza kuisoma!
Na kama huijui kwanini una jadili kitu husichokijua?
Ngekewa,
Uelewa ...uelewa amii. Waisrael waliporudi kwao waliwakuta Wapalestine wapo pale wameshajiendeleza sana kiuchumi na kwa kila kitu. Wao wakaanza from zero. Wapalestine wao wakajibweteka tu wenzao wakawa wanafanya kazi kwa bidii sana.....
Miaka kama sitina na baadaye (leo) wapalestina wamezidiwa mara mamilioni na Israel na wanatawaliwa.
Acheni kubweteka na kukaa MASKANI na kunywa gahawa na halua. DO something!
AIsee Brother, wacha kuniacha njiani, ivo darasa lako haliwezi kujibu masuala bali kuuliza tu ? Umwalimu wa namna gani wewe na unategemea mimi mwanafunzi wako nitakuwa vipi?
mimi ninadhani,kwa wakati huu raisi ambaye ni Mzanzibari ndiye anayeweza kutatua haya matatizo ya muungano kwa urahisi zaidi, raisi kutoka bara ni vigumu sana kudeal na ishu ya muungano bila kuonekana ana ajenda ya siri dhidi ya zanzibar, kama CCM wanataka kurekebisha kasoro za muungano na kuwaridhisha wazanzibari(ambao ndo mara nyingi wananung'unikia muungano huu) hawana budi kumsimamisha mgombea kutoka zanzibar na kisha kumpa jukumu la kuhakikisha anatatua tatizo hili,
Mh. Zitto,
Pia nina uhakika hakuna siku katiba ya muungano ilibadiliswa bila kuhusisha Zanzibar... hata makamu wa pili alivyoondolewa kuwa Rais wa Zanzibar ... walihusika na walipitisha....
Oh my GOD. Kaka akili zote hizo kumbe ziko katika kuketua mahesabu tu? Eti Wapalestina walibweteka? Hivi unajua kweli historia ya kuanzishwa kwa nchi ya Israel katika 73 ya iliyokuwa ardhi ya taifa la Palestina? Hivi kweli unajua hata kuanzishwa kwake na madhila yaliyowapata wapalestina katika kuanzishwa, Kuendelezwa na hata kulindwa kwa Taifa la Palestina?
Hivi unajua utajiri wa wapalestina ulimwenguni?
Kwa kweli ndugu yangu umenitisha sana na muono finyu ulionao katika suala la Palestine-Israel......
Fikiria kuwa una nyumba yako halafu anakuja mtu anayedai kuwa alikuwepo hapo mika 2000 iliyopita na anachukua asilimia 73 ya nyumba yako hiyo na ukipinga anaendelea kuchukua zaidi na zaidi na hata kufikia kukuzungushia wigo kuzunguka vijieneo viwili mlivyojazana wewe na familia yako ambao. Halafu anatumia huo wigo uhakikisha kuwa kila kiingiacho na kitokacho ni lazima kipate ruhusa yake. Kumbuka bado anahitaji watoto wako wamfanyie kazi ngumu kwa ujira kiduchu. Halafu baadae anakuja anakudhihaki kuwa umasikini wako ni kwa sababu wewe ni mzembe umebweteka....
Yaani kama vile mafisadi wetu wanaofikia jeuri ya kusema tuache kupiga soga (yaani kupinga ufisadi wao) ili tuendelee wakati UFISADI wao ni chanzo kikuu cha kuzungukwa na umasikini tulionao......
Fikiria, tafiti na elimika kabla ya kujenga taswira....
Tanzanianjema
Ubavu Anao Au Hataki Kurejea 2010?
Huyo Karume ana bytime hivi sasa.Unafikiri atasema nini wakati amewekwa na ccm bara! Ulitegemea aseme zanzibar si nchi! Naona patakuwa hapatoshi huko visiwani.
Kwa nini yeye aseme wakati ana wakumsemea.......hata bila ya kutumwa....
Karume kwake yeye hii ni gear ya kumblackmail JK asilazimishe ajenda yake ya serikali ya mseto. Ofcourse with a presure from mafashisti na maafisadi wake wanaojiita wahafidhina.
CUF kwao ni muendelezo wa ajenda yao ya "ukombozi wa zanzibar" na kuhakikisha wanatengeneza mazingira ya "state of urgency" wakitegemea CCM watalazimika kucompromise na pia kuongeza ombwe la mahusiano kati ya CCM-Tanganyika na CCM/ASP Zanzibar.
Mwisho wa siku kitakachopatikana ni mauaji ya kimbari yanayonukia......
Tanzanianjema
Uhakika huu unatokana na kuwa ulikuwepo wakati bunge linapitisha hilo ama umepitia handsard ya kikao hiko?
Tanzanianjema