FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 723
WEWE ni mjuzi hebu naomba nieleze Waziri Mkuu atatoka wapi na atafanya kazi gani ? Tafadhali usinyofoe sehemu za Katiba na badala yake chukuwa Katiba nzima. Sasa nasubiri wewe muelewa ili nithibitishe mark ya100 unayostahiki.
Sasa amii kama ni hivyo si ukasome katiba yote wewe mwenyewe? naona Nyerere alikupa ilim bure na unaweza kuisoma!
Na kama huijui kwanini una jadili kitu husichokijua?