Mh. Seleli amenifurahisha sana na kunielimisha vizuri sana jambo moja... pata hii!!!
"Hakuna Rais wa Zanzibar"
kuna
"Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar"
lakini kuna
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Someni kwa makini hoja hii, ina hekima kubwa sana!
WanaJF,
Mimi si mwanasheria lakini napenda kujifunza elimu ya uraia... kuna anayeweza kutupatia kiapo cha Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kinakuwa vipi?.
2. Pinda ni Waziri Mkuu wa Tanganyika na mambo ya Muunganosio Waziri Mkuu wa Zanzibar na hilo limeshathibitishwa na serikali ya Zanzibar yenyewe.
Rais wa Jamhuri anapokuwa hayupo, na Makamu wa Rais hayupo, ni Waziri Mkuu ndiye anayekaimu urais wa Jamhuri lakini sio Rais wa Zanzibar, wala Waziri Kiongozi, sasa inakuwaje tena Waziri Mkuu wa Jamhuri asiwe juu ya hao wakuu wa Zanzibar?
Katika mikutano ya kimataifa Tanzania huwa tun wakilishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri kwa niaba ya Muungano sio kwa niaba ya bara tu, lakini tunajua better kuwa sio lazima rais wa Zanzibar anaposafiri nje awakilishe matakwa ya Muungano, kwa sababu huwa hawakilishi anyways!
Hivi lucas ni nani katika tanzania mpaka anatoa mtizamo wake huo mtizamo wake ni kwa faida ya nani jimbo lake ? Hatuhitaji mtizamo wake kwa sasa , msimamo utakaofuatwa kwa masilahi ya wote ni ule ambao ulitolewa na waziri mkuu kwahiyo kila mtanzania awe na msimamo huo kama hana msimamo huo hana haja ya kusema chochote kuhusu muungano kwa kuwa hajui chochote wala lolote , poleni wenye misimamo na mitizamo yanu
Rais wa Jamhuri anapokuwa hayupo, na Makamu wa Rais hayupo, ni Waziri Mkuu ndiye anayekaimu urais wa Jamhuri lakini sio Rais wa Zanzibar, wala Waziri Kiongozi, sasa inakuwaje tena Waziri Mkuu wa Jamhuri asiwe juu ya hao wakuu wa Zanzibar?
Katika mikutano ya kimataifa Tanzania huwa tun wakilishwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri kwa niaba ya Muungano sio kwa niaba ya bara tu, lakini tunajua better kuwa sio lazima rais wa Zanzibar anaposafiri nje awakilishe matakwa ya Muungano, kwa sababu huwa hawakilishi anyways!
Kumbe hata sheria ya taifa letu huijui, kwamba huwezi kuwa waziri katika serikali ya bara wla visiwani, bila kuwa mbunge either wa kuchaguliwa na wananchi au rais, either wa bara au visiwani?
Shamuhuna ni mbunge, ndio maana akawa waziri, kwa hiyo mahali muafakapa ye kutoa kero zake on mungano ni kwenye bunge la jamhuri ambako ana haki kisheria ya kuingia kama mbunge an waziri na hasa Deputy Waziri Kiongozi,
Kwenda kuongelea kero zake za muungano, kwenye Baraza la Wa Wakilishi ambako wabunge wa bara hawako mandated kuhudhuria kisheria ni tabia mufilisi ambayo ndio hasa tunayoikataa hapa.
Kuita Zanzibar mkoa ni kutowatendea haki. Wao ni zaidi ya mkoa lakini si nchi kamili. Hili lilipotea nchi za Tanganyika na Zanzibar zilipoungana. .