Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 790
Mh. Seleli amenifurahisha sana na kunielimisha vizuri sana jambo moja... pata hii!!!
"Hakuna Rais wa Zanzibar"
kuna
"Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar"
lakini kuna
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Someni kwa makini hoja hii, ina hekima kubwa sana!
"Hakuna Rais wa Zanzibar"
kuna
"Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar"
lakini kuna
"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Someni kwa makini hoja hii, ina hekima kubwa sana!