Duh! mbona matusi ya nguoni kwa Wamakonde?.. sii ndio hawahawa wanaitwa Wangazija!
 
Duh! mbona matusi ya nguoni kwa Wamakonde?.. sii ndio hawahawa wanaitwa Wangazija!

...ukitaka kumla mbwa mpe jina zuri zuri hivi, ...mabinti wa kimakonde waitwa Wangazija, ...Wanaume ni wamakonde!
 
Habari ndiyo hiyo Kamanda, zaidi ya ukwezi Wanyamwezi na wenzao Wamakonde ndio vibarua kwenye konde za Wazenj. Aidha kwa wakati wao wa ziada, wamakonde hupenda kutengeneza Tende, huku Wanyamwezi wakijifunza kufanya biashara.

KIBUNANGO,
Huo utani ukuzidi,
utazua jambo.
 
Hivi kwanini kila topic nzuri ya ishu muhimu kuhusu Zenji na Bara lazima iishie na matusi?
 

You have to read between the lines. I didn't compare Zanzibar and mainland Tanganyika. What I said is that Zanzibar is not ready to benefit from whatever resources they have (neither oil nor tourism nor fishing nor clove). Period. This is an indisputable fact. Hakuna cha kuwabeza wala kuwasifia. Cha ukijana wala ukileo. And for your information, the mainland Tanzania is also not ready to benefit from whatever they have. Unajua ni kiasi gani cha dhahabu kinachibwa kule Geita kwa mwezi? If the answer is no, are you dumb or not?

Mchangiaji mwingine akasema Zanzibar wana wataalam wa Nuclear wacha mafuta. The fact is nchi hii wataalam wa mafuta walikuwa TIPER na si TPDC au Wizara ya Nishati na madini. Hao wataalamu wa mafuta Zanzibar wamewatoa wapi? Na wataalamu wa nuclear Zanzibar ni wakina nani? Dr. Shein? What is he doing? Politics? He is as good as useless! Tukichukua mfano wa Nigeria, nina uhakika kabisa mafuta yatachimbwa Zanzibar na watabakia kukwea minazi. I am sorry to say this.
 
Hivi kwanini kila topic nzuri ya ishu muhimu kuhusu Zenji na Bara lazima iishie na matusi?

Kwakweli si vizuri na hasa ukitilia maanani tulio kwenye Forum ni watu twenye akili zetu. Tatizo ni kuwa kuna baadhi yetu tunajiona bora na kuwadharau wegine, na inapotokea hilo na kutumia lugha za kejeli matusi yanapewa nafasi. Katka suala linalohusu pande mbili za Muungano ,kuna matatizo ambayo yanahitaji kila mmoja kumuelewa mwenzio namna Muungano unavyomuathiri na kueleza athari hizo kwa lugha ya kiungwana ili hoja itawale badala ya jazba.
 


What do you mean by this? Can you suggest whe Zanzibar will be ready? I mean how is the person who is ready to utilise the opportunity provided to him/her? I thought the opportunity is always there to be utilised.

Take example of the Arabs who when tapped oil they took the opportunity by using foreigners and only at a aletter stage when they had already use oil money that they resorted at using their nationals.
The way you potrayed your posting did not show the suggestive tone but the arrogant one and it should be you ignorance of the past history of Zanzibar or purpose rudeness to Zanzibaris.
Can you tell us when the mainlanders were ready to benefits their resources such as Golg, Tanzanite,Diamond and other minerals? We have been complaining that these mineral have been benefitting investors, are we not "shulelized"
 
habari hii unayosema si kweli kabisa TIPPER kulikuwa na wataalamu wa kusafisha mafuta na sio kutafiti mafuta,
WATAALAMU WA KUTAFITI MAFUTA (PETROLEUM GEOLOGISTS NA GEOPHYSIST) WALIKUWA WANAPATIKA TPDC TU, NA MPAKA SASA UKIFIKA KWENYE MAHABARA YAO UTAKUTA SAMPLES ZOTE ZA MAFUTA YANAYOPATIKA TANZANIA KUANZIA MNAZI BAY MPAKA PEMBA , PANGANI
ZANZIBAR KUWA NA WATAALAMU WA NUCLEAR AU MAFUTA MI SIDHANI NI AJABU, KUNA WANZIBAR (WAPEMBA) KARIBU LAKI SITA WAPO NJE YA TANZANIA OMAN PEKEYAKE WAKO LAKI TATU
SASA UWEZI KUJUA HAO LAKI SITA WANAJIANDAAJE KUJA KUIONGOZA ZANZIBAR SIDHANI KAMA WAKIJA WATAKUWA NA SHIDA SANA YA ELIMU KWANI MIONGONI MWAO NI WASOMI WAKUBWA SANA INCLUDING HAO WA MAFUTA
 
Wewe unaona hayana msingi lakini mafisadi wanawamaliza maalbino kutafuta utajiri.


Kwa hiyo mafisadi zanzibar hawapo au? Tusikwepe hoja ya msingi.Tatizo zanzibar inakosa kujiamini na hatimae inatoa kauli za kutaka kutaafuta huruma ya nguvu.
 

Nin kweli huielewi Zanzibar na society ya Wazanzibari. Na ndiyo maana una munkar wa kusema hayo. TPDC Na Wizara yenu ya Nishati huko haina utalaamu wa mafuta na ndiyo maana wanatoa kauli kuwa Zanzibar sijui hakuna mafuta. Ni kweli Tiper na Mashirika kama hayo makubwa ndiyo yana utaalamu na ndiyo yaliyofanya utafiti. Society ya Wazanzibar imefika mbali Ndugu yangu na huko waliko wana access za data za utafiti uliofanywa Zanzibar, Hao wanauwezo wa kuprocess data hizo na ndiyo maana katika pembe za chaki ndiyo hueleza kuwa kwetu (Zanzibar) kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa mafuta yapo. Jitahidi uielewe society ya Wazanzibari. Ni wengi tu wanafanya kazi katika sekta ya mafuta tena huko kwa wenye mafuta na Makampuni yanayosifika yenye access za data hata za Mkuranga na Songosongo.
 

Haya! Na wale wapemba wa Namanga na Sharif Shamba watakuwa na vitambulisho vya wapi?

Ukweli ni kuwa hakuna nchi ya kiafrika iliyo kusini mwa Sahara iliyofaidika na mafuta. Kuanzia Nigeria, Gabon, Angola, Chad, Sudan, Equatorial Guinea n.k), mafuta yamewafaidisha wachache na sehemu kubwa ya wananchi kubaki masikini. Tukiangalia historia ya Zanzibar na jinsi ilivyotepenya mafweza waliyorithi ya karafuu ( viwanja vya watoto, tv stesheni ya rangi, nyumba Hampton n.k.), ndiyo maana watu wanatoa caution. Sasa hamjaanza kuyachimba, tayari mnatugeleshea vitambulisho vyenu. Mkianza kuchimba si itakuwa balaa?
 
...hapa nilipo sina mbavu na lugha ya huyo mheshimiwa...eti kama gesi ni kidogo watanusa na mafuta kama ni kidogo watajipaka!
Siwanavyosema wataalamu wa mafuta wa Tanganyika kwamba Zanzibar haina mafuta ya kusababishwa kuchimbwa ,eti kuyachimba ni hasara ndio huyo Waziri zikamshoti nae kwa kumjibu kuwa hata kama yakipatikana kidogo basi ikiwa mafuta watajipaka na ikiwa gesi japo wanuse itakuwa imeshatosha.
Nafikiri huyo mkuu wa T/bara akiipata jawabu hio itabidi awape salaamu wenziwe na mapema kuwa hawatopata ulaji Zanzibar.
 
Kwa hiyo mafisadi zanzibar hawapo au? Tusikwepe hoja ya msingi.Tatizo zanzibar inakosa kujiamini na hatimae inatoa kauli za kutaka kutaafuta huruma ya nguvu.
Unapozema Zanzibar inakosa kujiamini hilo ni jambo la uhakika kabisa ila naamini kwa harakati za ukombozi dhidi ya Tanganyika zinavyokwenda ,siku haipo mbali watajiamini.

Mkwere ameenda kusifu barabara hizi,hivi huyu Kikwete ni Kiongozi au kijana wa mjini mbabaishaji tu ?

 

My apologies. I am just telling the facts. Bahati mbaya wengi wetu tunapenda kuambiwa kile tunachotaka kusikia. The world is not that fair. What does the history of Zanzibar has to do with their capacity to monitor oil production and allocate resources wisely? Kwa nini unafikiri mafuta ndiyo yatakayowatoa kwenye umaskini na si utalii au uvuvi, kwa mfano? Na kama ni kweli mafuta yanapatikana Pemba, ninachokiona huo ndio utakuwa mwisho wa Zanzibar!

And do you think the mainland Tanzania is benefitting from the mineral resources they have? They have never been ready to benefit either. Na bahati mbaya ni kuwa madini ni "exhaustible resource". Hii ina maana kuwa, it will come a day when the reserve we have will last. Although, it's difficult to estimate the remaining stock with certainty, it makes a big difference at least to be able to monitor production with certainty. If you don't know the production level/rate (or you are relying on mining companies to report their production), how can you pretend that we are benefiting? [note: mining companies have strong incentive to cheat!]. And the whole game lies on the careful balance between output consumption and investment. If we are consuming everything we accrue from mineral production, then both the current and future generations are being made worse-off.
 

Well, kama TPDC kuna wataalamu wa kutafiti mafuta, kwa nini tunatumia wageni kufanya kazi hiyo? Utaniambia kuwa hawana vifaa, I guess! Sasa uwezo wao uko wapi? Then, utasema nina dharau. Lakini kwa nini kukisifia kitu wakati hakistahili sifa? Unajua bila kulitambua tatizo huwezi kulipatia jawabu la uhakika. Just be objective, TPDC wanachokifanya ni nini? Kukusanya sampuli za mafuta au kuhifadhi sampuli za mafuta?

Hao Wazanzibar laki sita unaozungumzia, ni vyema wakawepo na wakajiendeleza kama unavyodai. Na wanahitajika sana Zanzibar sasa kuliko wakati mwingine wowote. Ningewashauri warejee nyumbani wasaidie kuijenga Zanzibar. Zanzibar inahitaji madaktari, wataalamu wa kilimo, wataalamu wa utalii, engineers, wataalamu wa uvuvi, just name it. Wasisubiri mpaka mafuta yaanze kuchimbwa ndio warudi. Zanzibar inaweza kupata maendeleo makubwa sana bila kuwa na mafuta.

Ni muhimu kuzingatia kuwa Zanzibar (kama ilivyo Tanzania bara) haina upungufu wa wanasiasa. Ina upungufu wa "human resources".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…