Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,218
Nin kweli huielewi Zanzibar na society ya Wazanzibari. Na ndiyo maana una munkar wa kusema hayo. TPDC Na Wizara yenu ya Nishati huko haina utalaamu wa mafuta na ndiyo maana wanatoa kauli kuwa Zanzibar sijui hakuna mafuta. Ni kweli Tiper na Mashirika kama hayo makubwa ndiyo yana utaalamu na ndiyo yaliyofanya utafiti. Society ya Wazanzibar imefika mbali Ndugu yangu na huko waliko wana access za data za utafiti uliofanywa Zanzibar, Hao wanauwezo wa kuprocess data hizo na ndiyo maana katika pembe za chaki ndiyo hueleza kuwa kwetu (Zanzibar) kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa mafuta yapo. Jitahidi uielewe society ya Wazanzibari. Ni wengi tu wanafanya kazi katika sekta ya mafuta tena huko kwa wenye mafuta na Makampuni yanayosifika yenye access za data hata za Mkuranga na Songosongo.
Okay, ni kweli siijui "society ya wazanzibari". Lakini hao wataalamu unaozungumzia wako wapi? Wanaisaidiaje Zanzibar? Zanzibar is very potential for tourism, fishery and spices production. Ni nini tofauti ya utalii na mafuta katika kuiletea maendeleo Zanzibar? Hao wataalamu wanafanya nini? Tena ni bora utalii kwa sababu mafuta yatawaingiza kwenye mgogoro, hususani kama mafuta hayo yanapatikana Pemba.
"Society ya Wazanzibari" imepiga hatua? Umetumia vigezo gani kusema hivi? Issue hapa si kwamba Zanzibar kuna mafuta au la. Swali hapa ni je Zanzibar imejiandaa vipi kunufaika na raslimali hiyo?