Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
we Pakacha vp bwana! nani kakambia kuwa cuf wanalifanya suala la mafuta mtaji wao? suala hili limeingizwa na vibaraka wa Nyerere katika Muungano kabla ya chama cha CUF kuundwa siku hizo, na wazanzibar tokea siku hizo walikuwa wakipinga, sasa hii ni ajenda ya SMZ au ya wazanzibar. Ujue Pakacha ww usianze kuvuja mpaka mzigo wa nazi, Hata kama SMZ haitakuwapo taifa la zanzibar litakuwapo, Hata kama CUF haipo zanzibar itakuwapo, hata kama CCM haitakuwapo zanziba palepale na wazanzibari watakuwepo, Suala la mafuta ya zanzibar ni ajenda ya wananchi wa zanzibar na si CCM,CUF au vibaraka wa ukoloni wa Tanganyika (SMZ).
Ilikuwa ni mwaka 1984. Sasa jee fanya reference huko. Nani kwa vyovyote vile walihusika katika mchakato. Usione taabu aanzia juu kwa watendaji, angalia pia kwa wanasheria (kwa sababu hao ndio washauri wakuu wa watendaji). Kuvuja kwa Pakacha...usiombee Bwana siyo nafuu kwa nchukuzi hata kidogo.
 
Zanzibar ilijitegemea kwa chakula kabla ya muungano,wala zanzibar haitakufa njaa ikiwa Tanganyika haitauza hata kipande cha mkate wa Bakhressa.Ukisikia zanzibar kuna ziki ujue imeletwa na huo unaoitwa muungano wa kinafiki.Leo hi muungano huu ukurekebishawa na kuwezesha zanzibar kujitaftia yenyewe, hatakuwa mbali na Singapore.Ila nynyi mtalazimika kumba viza kuja zanzibar na ubalozi wa kwa kuombea visa utawekwa Nairobi.
Du Bakhressa atauza mkate wake kwa wazanzibari tu kwa hali yoyote ile. Kwani huko Bara si anawekeza na kuchuma tu.
 
All i want to see, Tanzania appreciate zanzibar potentiality and importance to the union. However, let the union not be scared and confine it, rather to allow it to grow for the benefit of our union. This means we will need to search new reasons and solidify old reasons for the union
 
Mr Hamad added that major companies based in the Gulf were ready to conduct drilling operations after entering into agreements with the Union government and that their only worry was the opposition in the isles.

"They have written to me and I have made it clear that we will only agree to their presence in Zanzibar if their agreements will be entered solely with the government of Zanzibar," Hamad said.
 
Ilikuwa ni mwaka 1984. Sasa jee fanya reference huko. Nani kwa vyovyote vile walihusika katika mchakato. Usione taabu aanzia juu kwa watendaji, angalia pia kwa wanasheria (kwa sababu hao ndio washauri wakuu wa watendaji). Kuvuja kwa Pakacha...usiombee Bwana siyo nafuu kwa nchukuzi hata kidogo.
kama ulifuatilia vizuri majadilano ya Baraza utakuwa umemsikia kiongozi wa upinzani barazani. MH. ABUU,ni yeye aliyekwenda kwa Nyerere kumlalamikia pale Msasani kuhusu ufifilishi uliofanywa na SMT na vibaraka wao kuliingiza suala hili katka mambo ya Muungano, na jawabu alilopewa na Nyerere kuwa "suala hili litashughulikiwa" nani kashughulika tokea siku hizo mpaka leo, vyama vingi vimekuja? Nani walilochangia kulitumbukiza suala la mafuta katika muungano siku hizo wakati akina MH. ABUU wanapapatua liondolewe? think of that Pakacha.
 
kama ulifuatilia vizuri majadilano ya Baraza utakuwa umemsikia kiongozi wa upinzani barazani. MH. ABUU,ni yeye aliyekwenda kwa Nyerere kumlalamikia pale Msasani kuhusu ufifilishi uliofanywa na SMT na vibaraka wao kuliingiza suala hili katka mambo ya Muungano, na jawabu alilopewa na Nyerere kuwa "suala hili litashughulikiwa" nani kashughulika tokea siku hizo mpaka leo, vyama vingi vimekuja? Nani walilochangia kulitumbukiza suala la mafuta katika muungano siku hizo wakati akina MH. ABUU wanapapatua liondolewe? think of that Pakacha.
Hoyo unayoeleza ni ncha ya chanzo. Bado endelea kutafuta chanzo- ni mwaka 1984 lilitumbukizwa na Watendaji Wakuu hawawezi kuepuka lawama hivi sasa. Usimtupie jukumu Mwalimu kuwa hakusikiliza malalamiko.
 
Hoyo unayoeleza ni ncha ya chanzo. Bado endelea kutafuta chanzo- ni mwaka 1984 lilitumbukizwa na Watendaji Wakuu hawawezi kuepuka lawama hivi sasa. Usimtupie jukumu Mwalimu kuwa hakusikiliza malalamiko.
Pakacha unamfahamu vizuri Mwalimu wakati huo unaouzungumzia(1984), baada kuona Wazanzibar wanahoji muundo wa Muungano, na mambo kama hayo ya mafuta kuingizwa kinyemela, alitengeneza "confusion" aliyoiita "mchafuko wa hali ya kisisa zanzibar" na kama utakumbuka sawa sawa ni katika miaka hiyo akina Jumbe na wenzake walifukuzwa kama "paka mwizi" na kufuatiwa na akina Seif na jopo lake, hayo aliyafanya Mwalimu kuzima "longolongo" ya wazanzibar katika mambo mbali mbali yaliyokuwa yakiendeshwa kitirigivyogo katika muungano likiwemo hilo la mafuta, na tokea hapo hakuna mtu aliyethubutu kuhoji kwa kuhofia yasijemkuta ya akina Jumbe na Ramadhn Haji na Seif. Si kuwa Mwalimu hakusikiliza malalamiko bali aliyazima kabisa kwa gharama ambayo mpaka Jumbe kwa uchungu akatunga kitabu kuyasema maovu na dhulma ile ili vizazi vitakavyokuja Zanzibar vijuwe pumba na mchele, muda wote Jumbe akisimulia dhulma ile ya Nyerere viongozi wa SMZ wameona porojo tu, leo ukweli umedhihiri baada ya Mizengo pinda kuwatanabahisha na kump"rove" Jumbe. Pakacha, kama Mwalimu alisikiliza kilio cha Wazanzibar tokea siku hizo bila ya kufanya hila na khiyana zote hizo, suala hili na mambo mengine yanayoitwa kero za muungano yangekuwapo?
 
Maalim Seif amesahau kuwa kuna Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania nahakuna serikali ya Tanganyika. sasa hawa Wanzibari hawajui kuwa wananufaika na hii serikali ya muungano. sasa swala la mafuta ya Zanzibar kuwa nje ya muungano mimi naona ni kama ndoto za mchana.

Kama Zanzibar wanataka swala la mafuta lisiwe la muungano basi tuuvunje huo muungani na kila upande ukae kivyake vyake.
 
Pakacha unamfahamu vizuri Mwalimu wakati huo unaouzungumzia(1984), baada kuona Wazanzibar wanahoji muundo wa Muungano, na mambo kama hayo ya mafuta kuingizwa kinyemela, alitengeneza "confusion" aliyoiita "mchafuko wa hali ya kisisa zanzibar" na kama utakumbuka sawa sawa ni katika miaka hiyo akina Jumbe na wenzake walifukuzwa kama "paka mwizi" na kufuatiwa na akina Seif na jopo lake, hayo aliyafanya Mwalimu kuzima "longolongo" ya wazanzibar katika mambo mbali mbali yaliyokuwa yakiendeshwa kitirigivyogo katika muungano likiwemo hilo la mafuta, na tokea hapo hakuna mtu aliyethubutu kuhoji kwa kuhofia yasijemkuta ya akina Jumbe na Ramadhn Haji na Seif. Si kuwa Mwalimu hakusikiliza malalamiko bali aliyazima kabisa kwa gharama ambayo mpaka Jumbe kwa uchungu akatunga kitabu kuyasema maovu na dhulma ile ili vizazi vitakavyokuja Zanzibar vijuwe pumba na mchele, muda wote Jumbe akisimulia dhulma ile ya Nyerere viongozi wa SMZ wameona porojo tu, leo ukweli umedhihiri baada ya Mizengo pinda kuwatanabahisha na kump"rove" Jumbe. Pakacha, kama Mwalimu alisikiliza kilio cha Wazanzibar tokea siku hizo bila ya kufanya hila na khiyana zote hizo, suala hili na mambo mengine yanayoitwa kero za muungano yangekuwapo?
Nafurahi kuwa unakubali kurudi nyuma na kutafakari hiyo kadhia. Sasa nakutaka pia dondoo za kadhia hiyo pia ziwe hadidu rejea yako katika kulijadili suala la mafuta hivi sasa. Nakubaliana na vugu vugu jipya la kudai yote hayo watu wanayodai sasa katika Muungano. Lakini nashindwa kuvumilia kuona wachezaji ambao walikuwemo uwanjani wakati huo unaosema wewe Mwalimu aliendesha hiyo game yake, wanaibuka sasa na kutoa kauli kuhusu kadhia hiyo. Na wakae pembeni kama vile walivyokaa hao wachezajji wengine wakuu (Jumbe , Ramadhan Haji na kadhalika). Wasilitumie suala hili kuendelea kutubabaisha. Lakini mimi na wewe na wenzetu na tuendelee kudai hivi sasa mafuta na yabaki Zanzibar.
 
Maalim Seif amesahau kuwa kuna Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania nahakuna serikali ya Tanganyika. sasa hawa Wanzibari hawajui kuwa wananufaika na hii serikali ya muungano. sasa swala la mafuta ya Zanzibar kuwa nje ya muungano mimi naona ni kama ndoto za mchana.

Kama Zanzibar wanataka swala la mafuta lisiwe la muungano basi tuuvunje huo muungani na kila upande ukae kivyake vyake.
Sikiliza Bwana -kilio chao Wazanzibari kuwa hivi sasa hawanufaiki na kinachomilikiwa na Serikali ya Muungano. Kwa maana hiyo ndiyo wanachelea kuwa mafuta yakiwa yanachimbwa Zanzibar na kumilikiwa na Serikali ya Muungano basi wanajua fika kuwa wataendelea kutonufaika na mafuta hayo. Sasa na litafutwe suluhisho . ni lipi? Ukisema tuvunje Muungano nakuwa sikuelewi wapi busara zako zipo? Au unamaanisha kuwa hutaki Wazanzibari wanufaike kupita Serikali ya Muungano?
 
Nafurahi kuwa unakubali kurudi nyuma na kutafakari hiyo kadhia. Sasa nakutaka pia dondoo za kadhia hiyo pia ziwe hadidu rejea yako katika kulijadili suala la mafuta hivi sasa. Nakubaliana na vugu vugu jipya la kudai yote hayo watu wanayodai sasa katika Muungano. Lakini nashindwa kuvumilia kuona wachezaji ambao walikuwemo uwanjani wakati huo unaosema wewe Mwalimu aliendesha hiyo game yake, wanaibuka sasa na kutoa kauli kuhusu kadhia hiyo. Na wakae pembeni kama vile walivyokaa hao wachezajji wengine wakuu (Jumbe , Ramadhan Haji na kadhalika). Wasilitumie suala hili kuendelea kutubabaisha. Lakini mimi na wewe na wenzetu na tuendelee kudai hivi sasa mafuta na yabaki Zanzibar.
SAWA. lakini umoja ni nguvu na kwa nguvu ya umoja huo ndo maana SMT wamenjamaza kimya wakati huu wakitafuta pa kuanzia, belive me, njia pekee watakayoitumia ni ile ile ya "divide and rule" watawatenganisha WAZANZIBAR kupitia kile wanachokiita "mpasuko wa kisisa" na "uunguja na upemba", " u-CCM na u- CUF" n.k Wazanzibar wakitetereka katika fitna hizi basi ndugu yangu hakutakuwa na cha mafuta wala nini .....KAZI KWAO......
 
SAWA. lakini umoja ni nguvu na kwa nguvu ya umoja huo ndo maana SMT wamenjamaza kimya wakati huu wakitafuta pa kuanzia, belive me, njia pekee watakayoitumia ni ile ile ya "divide and rule" watawatenganisha WAZANZIBAR kupitia kile wanachokiita "mpasuko wa kisisa" na "uunguja na upemba", " u-CCM na u- CUF" n.k Wazanzibar wakitetereka katika fitna hizi basi ndugu yangu hakutakuwa na cha mafuta wala nini .....KAZI KWAO......

Nikushukuru nduigu yangu kwa haya maelezo yako na hasa haya niliyoyakolezeshea wino. Divide and rule na tujitahidi kuielewa mantiki hiyo na tuweke mikakakati isituyumbishe tena Wazanzibari katika kila hali ile. Mpasuko wa kisiasa - Mimi siamini kama kuna kitu hicho kule kwetu -- hiyo mantiki ni kama vile mchezo wa kuigizwa (KAMA ULE WA KUCHAFUKA KWA HALI YA HEWA WA MIAKA ILE YA 1984) - inatengenezwa iwe hivyo ili watu wakidhi haja na matarajio yao. UUnguja na Upemba -Ama hili ni jambo linaloniumiza sana , na sina imani na yoyote yule anayelipalilia hilo ili kuleta utengano kwa wanajamii hawa. Sawa kama walikuweko viranja waliopalilia hilo sasa na waje hadharani watueleze kuwa wamesafika na hawatarejea tena kutuletea mchezo huo- basi tuunganishe nguvu zetu. Suala la CCM na CUF siyo la Msingi . Kama hivyo ni vyama vyenye upinzani mkuu . Sawa hapo ndo demokrasia inapokomaa. Labour na Conservetive. Democratic na Republican. Sasa kama sisi tumefiia stage hiyo kule Zanzibar (Sio wenzetu huku Bara ambako upinzani haujulikani) hilo na liendelee. Zanzibar ni Mfano kwa nchi za Kiafrika. Baraza la Wawakilishi ni mfano kwa Mabunge ya Nchi za Kiafrika kwa jinsi ya uwiano mzuri kati ya Upande wa Serikali na upande wa upinzani. La mafuta tujadili Bwana lakini watoto wetu lazima tuwe na hakika wanafaidika ipasavyo.
 
Ni heri kuwa na Komoro kuliko Unguja ambapo kelele za kuonewa yaani haziishi kila siku!!
Unawaelewa Wa-comoro wewe lakini. Watawaendesha puta Tanganyika. He shauri yako wale watu wa kukodiwa pia wanaweza wakatumbukia kule Kibondo na Sirari.
 
Unawaelewa Wa-comoro wewe lakini. Watawaendesha puta Tanganyika. He shauri yako wale watu wa kukodiwa pia wanaweza wakatumbukia kule Kibondo na Sirari.
Sina hakika kama lile gwiji la mapinduzi kule comoro (Bob Gernald) kama bado lingali hai au la ndg. yetu asingetamani hata kuungana nao.
 
wapumbavu hawa wanapenda kuambiwa uwongo ndiyo wafurahi. Mtaalamu kasema uwezekano wa kuwepo mafuta ni mdogo lakini hamkubali sasa mlimwita mtaalamu wa nini kama majibu ya maswali yenu mlikuwa nayo?


Wapumbavu wanapotaka kuwanyima WALAFI NA WAPORAJI mambo yanaleta mushkeli kweli.
 
Back
Top Bottom