Mwinyi Mndengereko.

Naona unaenda mbali sasa, karibu 99% ya wazanzibari (ukimuhesabu mpaka sultani aliepinduliwa 1964) wana damu ya ki Afrika kama sio ya kindengereko basi ni ya kimanyema, kimakondo, kizigua, kinyamwezi, kizaramu etc hivyo hii haimaanishi kuwa mndengereko si mzanzibari, ukisema mzanzibari ina maana pana sana yakhe 🙂
 

Jee, Nchi zikiungana zinakuwa na Serikali ngapi?, hapa kwetu kuna serikali mtoto lakini baba hajulikani na mama hajulikani! si ajabu hii. Serikali baba ni ipi? Serikali mtoto (Tanzania), Serikali mama ni ipi?

Ukitatuwa utata huo utaweza kutatua utata wa utatu!

Bila kuwa na Serikali mbili tofauti (Tanganyika (mama au baba) na Zanzibar mama au baba) halafu zikatatuwa matizo yaliyokuwepo (zikazaa mtoto) na kuunda Serikali moja (nazo zikafa), ambae ni Tanzania, hakuna cha kutatuwa.
 
Dar Es Salaam,
tatizo kubwa lipo ktk CCM chama hiki ni kimoja na hakiwezi kuwa na mfumo huo Visiwani kwani hukjo kuna Baraza la Mapinduzi ambao kwa kila kitu wanatofautiana na CCM bara.. isipokuwa wanabebana tu.
 
hali ya maisha imekua ngumu sana kwasababu ya muungano. kwasababu msisahau kama zanzibar ni sehemu ya biashara tangu enzi hizo. hakuna viwanda kama bara. sasa zile sekta zote za biashara zimeuliwa kutokana na system ya muungano. wazanzibar wanakufa njaa kwahiyo hawataki. huko bara endeleni kufuga mafisadi.
 


Umangani!!! utakutana na popo bawa London nako huweziongea kitu .wachakudanganya kadamnasi .sisi tumehamia india china kuchukua wenyewe!!!! na hao mabwana umangani tunakutana nao wananunua huko huko .ujinga kufika kurudi weka maboya.wakati ni huu!!! anza wewe mie namalizia!!! kuutwa kuona wabara wa shamba.imepitwa na wakati kujenga inchi kwa kwenda mbele.umangani simali kitu.maisha ya megeuka.vitu kede kede.wamanga wakiwa likizo wako huku telee!!! umechelewa umelala wapi?nanyinyi mpaka leo mnachukua hatuwasemi .wewe unamatatizo utakaa kusifia wenzako mpaka lini??????? fanyakazi kwabidii .singapore.unayo mikononi.umangani.pia.london jibidishe maendeleo utayaona.lakini kama ni taarabu !!!!!!!!!!! oho!!!! utalaumu hata akitawala babu yako!!!!!!!! upokee ushauri wa bure1!!!!!!!!!!
 
wazanzibar tumechoka na muungano

wazanzibar tumechoka na muungano. historia ya zanzibar waliokuja kuua watu 1964 ni kutoka bara waliotumwa na nyerere na kumuweka karume ambaye hakuzaliwa mwera na kuharibiwa historia yetu na kupandikiziwa wabara kama wazenj.

jumbe naye mbara akapewa urais na nyerere baada nyerere kumuua karume na kusema aliuliwa na waarabu.
hivi majuzi amani karume alisema suala ya muungano zanzibar wasikilizwe wazanzibar halisi na wakati wazanzibar halisi ndio wamechoshwa na muungano huo.

yeye karume pamoja na wazee wake wote wawili sio wazenj baba yake ni mtumwa aliyekimbia ngome kongwe akalelewa na wazenj kwa kuonewa huruma na mama yake ni mtumwa aliyezaliwa kwa kuingiliwa na waarabu na hii ipo wazi.

makamo wa rais muungano ni mnafiki anayetetea tumbo lake mwenyewe na wala hana msaada wowote katika zanzibar anaouchangia.
pamoja na mawaziri waliochaguliwa kutoka zanzibar katika muungano hawana mchango wowote.

misaada ya kitaifa inayoifikia tz zanzibar hainufaiki chochote. huku ndio kuonewa na kuibiwa.

hivi sasa kuna serikali za muungano 2.

1... muungano wa tz na

2...muungano wa smz na haya sio siri kwani kuna wazanzibar, wazanzibara na wahamiaji katika smz.

tulichoomba ni serikali 3'/

1.tanganyika
2.zanzibar.
3. muungano

na hivi sasa tumeletewa ukiristo na wakiristo ndio wenye nguvu katika utawala wa zanzibar.
nasie wazanzibar eti tumebakia wazanzibar 99% kumbe uongo sasa imekuwa wazanzibar 60% wakiristo 40% kutoka bara.
kama tunavyojua zanzibar hakuna wakiristo wala hakuna mkiristo sasa karume ndio katujazia na kuiaribu nchi.

tukienda kwenye YouTube - Broadcast Yourself. alafu uandike zanzibar 1964 hapo ndipo mutopooona wabara walivyotufanya.

waliwaua wazee wetu pamoja na waarabu na waliingia kila nyumba na kuwaua wanaume wote na hili linajulika.

lakini walituziba midomo kwa kutuua na kuibadilisha historia,
ndio ukaona kila kabla ya uchaguzi wabara huja zanzibar na kupiga watu na kuua na hili linajulika.

sie kama wazenj hatutaki muungano na wala hatutaki udugu na wabara na walio zenj wanaoji wazanzibara warudi makwao

tushachoka na ujanja na wizi na kutuharibia nchi yetu
 

Fairness itakuja kwenye federal taxes zikiwa sawa nchi nzima, of course kama una watu wengi basi utalipa pesa nyingi lakini kumbuka pia kuwa serikali ya Muungano itatumia hizi pesa kufanyia shughuli zake zaidi kwenye watu wengi, kama Jeshi na polisi basi at least 90% wapo Tanganyika (huu ni mfano tu), hutegemei Zanzibar kulipa 50% ya gharama za serikali za muungano wakati inatumia let say 5% ya gharama hizo - right?.

Sasa kwa unavyotaka wewe hakutokuwa na haki hata kama tutakuwa na serikali 25 za kila mkoa na moja ya muungano. Kama Tanganyika ina watu 97% pia itakuwa na 97% uwakilishi kwenye bunge ambayo inamaanisha kuwa watakuwa na sauti zaidi kwenye maamuzi ya kimuungano (still not fair), katiba itaamua zaidi kuhusu mambo mengine lakini zanzibar haiwezi kutegemea kuwa na wabunge wengi kama ilivyo sasa (hii ni fact).
Kuwa na serikali za Tanganyika na Zanzibar zenye mamlaka fulani kutapunguza hii fikra ya kujihisi kuwa sehemu moja inaiamulia sehemu nyengine mambo yake au inabebwa au inabeba. Ingawaje kwa kiasi fulani itakuwa hivyo lakini haitokuwa kama sasa lakini ni mwanzo unaohitajika.
 

tatizo zanziba kuna mchanganyiko wa watu wengi watumwa ambao ndio akina karume ambao wao wanataka kutambulika kama wazanzibar.

na tukienda mwera tukiiuliza midoriani yote ni mdoriani kani uliomzaa karume hatupati jibu.
ndipo pale wazanzibar walipopiga kelele kuhusu muungano karume akasema waulizwe wazanzibar wa kweli kwani sie sio wazanzibar.

kuna wale waliokuja kwa mauaji walioletwa na nyerere hawakuwaua wazanzibar peke yao waliwachanganya na waarabu. tunajua karume yeye hakushiriki kwenye mauaji hayo lakini aliyajua kwani yeye na nyerere ndio waliopanga hata mkewe karume alikuri kwenye tvz 2001 mwaka

kuna wale waliokuja kwa mwenge
na kuna wale waliokija kwa ukiristo

sie wazanzibar tunasema hatutaki muungano na mzanzibar yeyote mutakayemsikia eti anataka muungano huyo sie ukimtizama baba ukiruka babu basi siye au hata baba pia siye mzanzibar

historia ya zanzibar imefanywa kama biblia.

tunachosema hatutaki muungano kila mmoja na kwao mutuone kama tutakufa na njaa.

hawa watu wamejazana zanzibar na wale watumwa imekuwa kuwabatiza vizazi eti kila mzanziba mtumwa.

hakuna mtumwa anajulikana
mzanzibar anajulikana

wauaji wanajulikana

waliokuja kwa mwenge wanajulika.
na waliokuja kwa ukiristo wanajulikana
 

Ulitaka kusema "TUNANG'ANG'ANIA" au huu ni msamiati mpya kwenye kiswahili? Heshima mbele mkuu!!
 

eti yule kafiri aliyepewa ubunge kutokea zanzibar katika afrika mashariki anatokea wapi?
 
ikingie
YouTube - Broadcast Yourself.

zanzibar 1964 part 1

hapo ndio mutawaona watanganyika waliotumwa na nyerere walivyowasabaratisha wazanzibar na waislam.

na leo zanzibar kumejaa makafiri tukumbukeni mwaka 1964 wanajzana tena na kila uchaguzi wanatuletea majeshi watupige
 

ndio spika wa bunge ai kikwete?
 


Hao wanaobisha wanafanya hivyo for the sake ya kubisha tu.Inashangaza kuwa hawa watu hawana msimamo, pale Zanzibar waliposema wao ni nchi kulikuwa na kauli za na wao wapatiwe Tanganyika yao na hata kuwakumbuka G55. Sasa kwa kuwa kauli imetoka Zanzibar wanabisha.Hawajulikani nini wanataka isipokuwa linalokuja akilini ni kuwa labda wanataka kutawala wenzao na ni tabia ya watawala kungangania.
 

Mwiba!
Mmh! Sikujua Jumuiya ya Uamsho ina malengo zaidi ya kuamsha waumini kuhusu mambo ya dini!
Au swala la Muungano limeshakuwa la kidini huko Zanzibar?
Au hii Jumuiya imebadili malengo?
 


Mchungajimakini!

Unapoandika punguza jazba

- Ni kweli kuwa wakristo ndio wenye nguvu katika utawala wa Zanzibar?

- Je ni kweli Zanzibar kuna Wakristo 40% na Wazanzibar 60%?

-Na hapo unamaana gani Wazanzibar wote ni waislam au wabara wote ni wakristo?

- Una uhakika kwamba wanaotoka bara kuja Zanzibar ni Wakristo tu au ndio ubaguzi wenyewe?
 
"For a long time Zenj wamekuwa wakitutake for a ride kwa udogo wao na sasa wanataka kingi.
Ni vyema muungano ukafilia mbali ili wenzetu warudi 1964.
Ila wajue kwamba
Ubaguzi wa rangi zanzibar upo
Ubaguzi wa kiitikadi usio na mfano Zbar upo
Matatizo ya kisiasa kati ya waliopindua na waliopinduliwa 1964 bado yapo
Umaskini uliokithiri ( kama huku bara ) Zbar uko

Kabla hamjatoka katika muungano yatatueni hayo la sivyo vibaraka wa sultani watakapokuja kwenu wabara itabidi tushirikiane nao tu".




Nadhani huelewi kuwa Zanzibar ilikuwa nchi kamili kabla ya 1964 na iliweza kujiendesha kiuchumi bila matatizo yoyote yale, vile vile kama unaweza angalia GDP au statistics zozote za kimaendeleo na kiuchimi za Zanzibar na Tanganyika kabla ya Muungano na ilivyo hivi sasa utaona ni nani anadhurika zaidi na huu muungano. Matatizo yote unayowatisha waZanzibari yapo pia Tanganyika na sehemu nyengine duniani na musione kuwa nyinyi ni wakombozi wa Zanzibar.

Unapozungumza kubebwa kwa serikali ya Zanzibar kumbuka pia kuwa serikali ya Zanzibar ilianza kufilisika wakati wa vita vya Kagera na mara baada ya vita wakati Nyerere alipotangaza miezi 18 ijayo itakuwa ya taabu, ukweli ni kwamba Nyerere alikuwa akibadilisha pesa Zanzibar, akichukua pesa za kigeni toka Zanzibar na kutupa pesa za madafu kwa exchange rate ambayo anaijua mwenyewe. Jumbe akienda baraza la mawaziri na kuwaambia tu ametoa kiasi fulani kuwapa bara bila ushauri wa mtu yoyote yule, sio kuwa tukihitaji pesa za madafu lakini tuliamini umoja na kuwasaidia wenzetu wala hatukusema kuwa tunawabeba hadi leo, leo tumefilisika mumesahau mpaka fadhila eti munatubeba na kutusimanga, sijui ni watu wa aina gani ndugu zetu nyinyi, kutusaidia hamutaki mpaka mutusimange tukitaka kutafuta misaada kwengine munanuna na kutuzuia, mfano OIC.

Hizi siasa za kisultani zimemalizika tangia 1964, hivi bado unafikiri kuna muarabu ambaye atataka kuja kutawala Zanzibar leo? afanalek!!!!!
 
Last edited:

Hili suala la kuvunja Muungano ni silaha ya mwisho inayotumiwa na Watanganyika katika kutaka kuendeleza unyanysaji juu ya Wazanzibari. Hapana pahala ambapo Wazanzibari wamesema kuwa wanataka kuvunja Muungano na hii inathibitishwa na mada zinazozungumzwa kwa kipindi sasa.

Hivyo kusema kitu fulani kitolewe katika orodha kwa vile kulifanyika kimakosa ni sawa na kusema tuvunje Muungano?

Hivyo kusema kuwa kuwe na Serikali itakayokuwa kwa dhati ikishughulikia mambo ya nchi zote na hilo litawezekana kwa kuwepo serikali ya Tanganyika jambo litakaloweka mipaka kati ya shughuli za Muungano na zile za Tanganyika kwani hivi sasa hali hiyo inaumiza upande mwengine na pengine kubebesha mzigo upande mwengine Ni SAWA NA KUSEMA TUVUNJE MUUNGANO?

Hivyo kusema kuwa Zanzibar inajitambua kua ni nchi ndani ya muungano wa nchi mbili ni sawa na KUSEMA TUVUNJE MUUNGANO?

Imekuwa tabia ya upande wa Tanganyika kujibu hoja hizi kwa hisia ya kuvunja Muungano na katika hali ya kutoelewana yeyote atakuwa tayari kukabili chochote ili apate msingi wa haki yaani kujiamulia mambo yake hivyo kama kupata haki hiyo hakuna la kufanywa isipokuwa kuvunjwa kwa Muungano basi na iwe hivyo.

Zanzibar ilishakuwepo kabla ya Mapinduzi na kwa namna ambayo inaishi kivyake ndani ya Muungano huu haitokuwa tabu sana kama wanavyohisi upande mwengine, kujiendea kivyake na amini itakuwa kwa ari na kasi mpya ya kweli siyo ile ya bandia ya wanamtandao.
 

ule udongo haukutoka zanzibar.

ila walivyokwisha mazungumzo alimtuma mtu ende nje wakachoke udongo hata ukitizama vile vyombo vilivyotumika kubebea udogo au mchanga vyote ni vya bara.

engekuwa kimoja kutoka zenj basi chombo kimoja chengekuwa mkoba wa ukili au pakacha.

sasa jiuze mwenzewe janja ya njani?
 
hee, Mbona mchanganyaji ni mmoja? au Karume hakuwafiki?


mchanga wake mwenyewe ule usijiulize tizama hata vifaa vilivyobebewa mchanga ni kutoka bara .

karume yeye alikuwa akimtizama tu kwa jinsi ile alivyopewa ukubwa wa bure

engekuwa kaja nao karume basi engebebea mkoba wa ukili

nyerere kachota nje ikulu kwakwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…