wazanzibar tumechoka na muungano
wazanzibar tumechoka na muungano. historia ya zanzibar waliokuja kuua watu 1964 ni kutoka bara waliotumwa na nyerere na kumuweka karume ambaye hakuzaliwa mwera na kuharibiwa historia yetu na kupandikiziwa wabara kama wazenj.
jumbe naye mbara akapewa urais na nyerere baada nyerere kumuua karume na kusema aliuliwa na waarabu.
hivi majuzi amani karume alisema suala ya muungano zanzibar wasikilizwe wazanzibar halisi na wakati wazanzibar halisi ndio wamechoshwa na muungano huo.
yeye karume pamoja na wazee wake wote wawili sio wazenj baba yake ni mtumwa aliyekimbia ngome kongwe akalelewa na wazenj kwa kuonewa huruma na mama yake ni mtumwa aliyezaliwa kwa kuingiliwa na waarabu na hii ipo wazi.
makamo wa rais muungano ni mnafiki anayetetea tumbo lake mwenyewe na wala hana msaada wowote katika zanzibar anaouchangia.
pamoja na mawaziri waliochaguliwa kutoka zanzibar katika muungano hawana mchango wowote.
misaada ya kitaifa inayoifikia tz zanzibar hainufaiki chochote. huku ndio kuonewa na kuibiwa.
hivi sasa kuna serikali za muungano 2.
1... muungano wa tz na
2...muungano wa smz na haya sio siri kwani kuna wazanzibar, wazanzibara na wahamiaji katika smz.
tulichoomba ni serikali 3'/
1.tanganyika
2.zanzibar.
3. muungano
na hivi sasa tumeletewa ukiristo na wakiristo ndio wenye nguvu katika utawala wa zanzibar.
nasie wazanzibar eti tumebakia wazanzibar 99% kumbe uongo sasa imekuwa wazanzibar 60% wakiristo 40% kutoka bara.
kama tunavyojua zanzibar hakuna wakiristo wala hakuna mkiristo sasa karume ndio katujazia na kuiaribu nchi.
tukienda kwenye
YouTube - Broadcast Yourself. alafu uandike zanzibar 1964 hapo ndipo mutopooona wabara walivyotufanya.
waliwaua wazee wetu pamoja na waarabu na waliingia kila nyumba na kuwaua wanaume wote na hili linajulika.
lakini walituziba midomo kwa kutuua na kuibadilisha historia,
ndio ukaona kila kabla ya uchaguzi wabara huja zanzibar na kupiga watu na kuua na hili linajulika.
sie kama wazenj hatutaki muungano na wala hatutaki udugu na wabara na walio zenj wanaoji wazanzibara warudi makwao
tushachoka na ujanja na wizi na kutuharibia nchi yetu