Asante kushukuru1. Wametaka kuwagawa kidini lakini mmekataa mkabaki wamoja
2. Wametaka kuwagawa kiitikadi (kivyama) hakika mmegoma mkaungana
3. Wametaka kuwagawa kikanda ; mmegoma
Asanteni sana . Hii nchi ni yetu. Tuilinde mali yetu.
Wamefaulu kutugawa Watanganyika na Wazanzibar. Wote wanaoshabikia kuuzwa ni wazanzibar. Hatuwachukii ila tumezijua rangi zao.
Ukimya wa Chongolo, Dr. Mpango, Majaliwa Majaliwa, Polepole, Bashiru ni furaha kwetu.
Tanganyika imara itajengwa na watanganyika imara.
Tokea uhuru mbona bado tuko nyuma ufisadi tu umetawala pamoja na kuwa na rasilimali kibao ? sasa bora hawa mafisadi wapya tuwape nafasi tuone watatufikisha wapi.Asante mkuu mafisadi yameimuza nchi miaka na miaka ila yameona haitoshi yakaona yauze nchi kwa waarabu
Hatuwezi kuifanyia majaribio nchi yetu huu ni ubeberu na ukoloni mambo leo kwa lugha nyepesi utapeli. Tapeli anakupanga hadi wewe mwenye unapendekeza upele mzigo lini tena chapu kwa harakaTokea uhuru mbona bado tuko nyuma ufisadi tu umetawala pamoja na kuwa na rasilimali kibao ? sasa bora hawa mafisadi wapya tuwape nafasi tuone watatufikisha wapi.
Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.
Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".
Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:
1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.
-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.
2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.
-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.
3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.
-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?
4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.
-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????
Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?
Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.
Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.
Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.
Wazenji huwa hawajiamini ni hadi wamuweke mtu mweupe mweupe mbele, wameedhirika na historia ya utumwa.Umiliki Ardhi ili iweje?
Eneo lote la ardhi ya Zanzibar ni sawa na wilaya ya Kinondoni, hoja ni kuwa na Ardhi ya kufanyia uzalishaji na kilimo au ilimradi tuu uwe na ardhi zenji?
Mbona sisiwenyewe tunakuja Kutafuta Ardhi Huko bara kwa ajili ya kilimo na uwekezaji kwa sababu ya ufinyu wa ardhi zenji, wewe unaifanya hii kuwa ni hoja, Uko sawa?
Tanganyika Imeikalia Zanzibar haiwezi kujiendeleza kiuchumi kwa mwamvuli wa kupata kwanza ruhusa ya Muungano ambayo ndiyo Tanganyika.
Wakikataa wao tunabaki masikini.
Ndio maana Zenji ni kisiwa Masikini pamoja na Ukubwa wa Bahari yake, Uwepo wa Mafuta na Gesi na mambo ya Bandari.
kizuizi Muungano hawatoi kibali kuendelezwa.
You see the Problem?
Serekali moja ndio dawahTuuvunje tu.
Tena ndiyo safi kabisa.Serekali moja ndio dawah
Sam,
Unajua Wamarekani walivamia Hawaii, wakamwua mfalme wake, wakaiburuza katika USA, mambo kwisha. Hakuna hata siku moja unasikia Hawaii wanapiga kelele hiki au kile. Mwalimu alikuwa mwuungana sana. Angekuwa Nkrumah, Zanzibar hivi sasa ingekuwa mkoa tu. Hakuna kelele. Chagueni gavana wenu, mbunge wenu lakini katika Federal govenment kura yenu inalingana na idadi ya watu wenu. We should have done the same.
Nadhani hutumia maneno hayo kama kisingizio cha kushindwa kutoa hojaNijuavyo mimi, bara kuna waislam wengi mara zaidi ya 50 kuliko visiwani. lakini kila likiibuka jambo lolote kuquestion mambo ya kimuungano, kama hili la bandari, wanzanzibar huwa midomo juu wanasema tunaleta udini, udini unakujaje wakati bara kuna waislam kuliko visiwani? Au huwa mnamaanisha nini, kama kuna mzanzibar atufafanulie, au tusiulize chochote,
On the other side, Wazanzibar miaka yote wapo huru kujadili kuhusu Zanzibar yao na kuongea chochote dhidi ya muungano, ila wabara hatujawahi kusema ni udini, ili hali tunajua madhira wanayopitia wakristo waishio Zanzibar.