Wanajenga kinyemela mkuu
Nunua tu hukuhuku bara ukinunua hilo gari huko ndio utaona kero za Muungano ukifika hapo BandariniNinataka kununua gari huko zanzibar kisha nilitumie bara, nitumie njia gani maana kule bei zao ndogo kuliko huku kwa Dp world
😂😂😂😂Nunua tu hukuhuku bara ukinunua hilo gari huko ndio utaona kero za Muungano ukifika hapo Bandarini
Sasa muungano ukivunjika vita inatoka wapi? Wee ndio mchochezi.Hello 👋
Kuna watu wanaanza chokochoko zq kutaka muungano uvunjike na wanachokifanya wanaenda sehemu yenye kusanyiko kubwa la watu wana wajaza ujinga sana mwisho wa siku wawachukue hao watu waende barabarani
Kama hamjui hii amani iliipo kuna watu walipambana iwepo na ndio maana ww unatumia amani iyo iyo kuvuruga nchi leo mnataka watu wote tupinge Bandar tupinge muungano kinacho kuja zaliwa ni vita
Baada ya vita kunazaliwa wakimbizi wakati uho tundu lissu familia yake kaipakiza kwenye ndege inaenda ubeligiji
Ninyi msio na visa wala 🛂 wala pesa ya kutafuta passport 🛂 iliko ndio mtakuwa mnatanga njian ndani hamp nje hakukaliki acheni kufwatisha na kufwata mikumbo itawaponza
Wahenga walisema usianzishe ugomvi wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo walikuwa na maana sana wengi humu mtandaoni wapo bize kuvuruga akili za watu now days sio kama kipindi kile cha kuwaambia watz ingien barabarani na wakaingia iyo hamna kabisa now
Watu mnavaa bendera za tanganyika si uchokozi uho? Juzi kuna mmoja Alienda kariakoo kuongea na watu wa kariakoo baada ya kuona huko alikotoka hakuna watu wanao muwelewa kufika kariakoo kabwabwaja atakavyo wakamshangilia kinafiki mambo aliyo ongea watu waliyaachia palepale na kumuachia mwenyewe nimewapenda sana watu kariakooo kunyweni soda hapo Azam naja nalipa
Unafikiri kila mtu anataka uvunjike uku dar wapemba wamejaa tele kariakoo wanafanya biashara nenda Zanzibar wapo wasukuma wengi na wamasai kule wanafanya biashara unafikili ukivunjika hawa watu wataishi vipi?Sasa muungano ukivunjika vita inatoka wapi? Wee ndio mchochezi.
Mbona bendera ya Zanzibar ipo kwanini ya Tanganyika iwe shida?Hello 👋
Kuna watu wanaanza chokochoko zq kutaka muungano uvunjike na wanachokifanya wanaenda sehemu yenye kusanyiko kubwa la watu wana wajaza ujinga sana mwisho wa siku wawachukue hao watu waende barabarani
Kama hamjui hii amani iliipo kuna watu walipambana iwepo na ndio maana ww unatumia amani iyo iyo kuvuruga nchi leo mnataka watu wote tupinge Bandar tupinge muungano kinacho kuja zaliwa ni vita
Baada ya vita kunazaliwa wakimbizi wakati uho tundu lissu familia yake kaipakiza kwenye ndege inaenda ubeligiji
Ninyi msio na visa wala 🛂 wala pesa ya kutafuta passport 🛂 iliko ndio mtakuwa mnatanga njian ndani hamp nje hakukaliki acheni kufwatisha na kufwata mikumbo itawaponza
Wahenga walisema usianzishe ugomvi wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo walikuwa na maana sana wengi humu mtandaoni wapo bize kuvuruga akili za watu now days sio kama kipindi kile cha kuwaambia watz ingien barabarani na wakaingia iyo hamna kabisa now
Watu mnavaa bendera za tanganyika si uchokozi uho? Juzi kuna mmoja Alienda kariakoo kuongea na watu wa kariakoo baada ya kuona huko alikotoka hakuna watu wanao muwelewa kufika kariakoo kabwabwaja atakavyo wakamshangilia kinafiki mambo aliyo ongea watu waliyaachia palepale na kumuachia mwenyewe nimewapenda sana watu kariakooo kunyweni soda hapo Azam naja nalipa
Mkuu unaelewa unachokisems?Mbona bendera ya Zanzibar ipo kwanini ya Tanganyika iwe shida?
kwa akili yako kuuvunja ni kuwafukuza? ni kiasi cha kuwambia waamue wawe raia wa nchi gani. Sasa muungano gani nchi ina Marais wawili? bendera mbili tofauti, Mamlaka za Mapato mbili tofauti. ila mapato ta upande mmoja yanatumika mpaka upande wa pili? Kama ni muungano basi zanzibar Mkoa tu. Sio wazenji Ruksa kuajiriwa bara ila wa Tanganyika hawaruhusiwi kuajiriwa Zanzibar. Kifupi Huu ni muungano wa kushangaza sana. Unaweza kuwa ni moja ya kivutio cha utalii...Unafikiri kila mtu anataka uvunjike uku dar wapemba wamejaa tele kariakoo wanafanya biashara nenda Zanzibar wapo wasukuma wengi na wamasai kule wanafanya biashara unafikili ukivunjika hawa watu wataishi vipi?
Mbona kuna wafanyabiashara wakenya waganda wakongo wapo Tanzania shida iko wapi hao wapemba kuendelea na biashara zao? Ni taratibu tu zitawekwa sawa mambo yataendelea kama kawaidaUnafikiri kila mtu anataka uvunjike uku dar wapemba wamejaa tele kariakoo wanafanya biashara nenda Zanzibar wapo wasukuma wengi na wamasai kule wanafanya biashara unafikili ukivunjika hawa watu wataishi vipi?
Ewe huu muungano watu walipigania hawakutumia siku moja wakapa muungano ndio maana ww umezaliwa umeukutaMbona kuna wafanyabiashara wakenya waganda wakongo wapo Tanzania shida iko wapi hao wapemba kuendelea na biashara zao? Ni taratibu tu zitawekwa sawa mambo yataendelea kama kawaida
We umeona wapi muungano wa hivi? Zinaungana nchi nchi mbili alafu zinatokea nchi mbili yaani hauna maana yoyote. Ilitakiwa kama ni lazima kuungana basi iwe ni nchi moja tu au Serikali tatu. Yaani muungano wa changu ni changu, chako changu ndo muungano gani? Yaani chochote kinachoihusu Tanzania wanzanzibari kinawahusu ila kinachoihusu Zanzibar watanganyika hakiwahusu ndo nini sasa hii?W
Ewe huu muungano watu walipigania hawakutumia siku moja wakapa muungano ndio maana ww umezaliwa umeukuta
Mimi sijawai kuishi Zanzibar kwahiyo sina huwakika na ulisemalo ila nimekaa na wapemba ni watu safi snaWe umeona wapi muungano wa hivi? Zinaungana nchi nchi mbili alafu zinatokea nchi mbili yaani hauna maana yoyote. Ilitakiwa kama ni lazima kuungana basi iwe ni nchi moja tu au Serikali tatu. Yaani muungano wa changu ni changu, chako changu ndo muungano gani? Yaani chochote kinachoihusu Tanzania wanzanzibari kinawahusu ila kinachoihusu Zanzibar watanganyika hakiwahusu ndo nini sasa hii?
Mimi sijasema wanzanzibari sio watu safi, mimi sitaki muungano wa hivi hauna faida yoyote kwetu. Nilichokiongea hapo maana yake ni hii: Unapoongelea Tanzania, na wanzanzibari pia wapo ndani yake kwasababu Tanzania ni muunganiko wa Tanganyika na Zanzibar hivyo chochote cha Tanzania wanzanzibari ni chao pia ndomana wao huku wana haki zoote hata kugombea uongozi wowote ule. Unapoiongelea Zanzibar ni ya wanzanzibari tu wewe unayetoka bara huwezi kwenda kugombea uongozi Zanzibar huruhusiwi hata kumiliki ardhi hauwezi, na hata ukimiliki utamiliki kama raia wa kigeni anavyomiliki sio kama mzanzibari. Sasa huu ndo muungano gani?Mimi sijawai kuishi Zanzibar kwahiyo sina huwakika na ulisemalo ila nimekaa na wapemba ni watu safi sna
Basi ni vyema tukashauri vile tunavyo ona vibaya viboreshwe na sio kupinga usiwepoMimi sijasema wanzanzibari sio watu safi, mimi sitaki muungano wa hivi hauna faida yoyote kwetu. Nilichokiongea hapo maana yake ni hii: Unapoongelea Tanzania, na wanzanzibari pia wapo ndani yake kwasababu Tanzania ni muunganiko wa Tanganyika na Zanzibar hivyo chochote cha Tanzania wanzanzibari ni chao pia ndomana wao huku wana haki zoote hata kugombea uongozi wowote ule. Unapoiongelea Zanzibar ni ya wanzanzibari tu wewe unayetoka bara huwezi kwenda kugombea uongozi Zanzibar huruhusiwi hata kumiliki ardhi hauwezi, na hata ukimiliki utamiliki kama raia wa kigeni anavyomiliki sio kama mzanzibari. Sasa huu ndo muungano gani?
Kama ni muhimu kuwa na muungano basi Dawa ni Serikali tatu, tukutane katika shirikisho baasi, kila mtu afanye yake kwa haki sawa na amani.Basi ni vyema tukashauri vile tunavyo ona vibaya viboreshwe na sio kupinga usiwepo
Kwa comment hii nimejua wewe ni mtu wa aina gani. usiku mwemaMimi sijawai kuishi Zanzibar kwahiyo sina huwakika na ulisemalo ila nimekaa na wapemba ni watu safi sna
Kumbuka zanzibar ni NChiMbona bendera ya Zanzibar ipo kwanini ya Tanganyika iwe shida?
Ukweli mtupu 100%Miongon mwa sera zinazoidumaza bongo ni hii ya mikataba kuwa siri hii hupelekea tabaka la wafanya maamuz kuingia mikataba ya hovyo ambayo kwa upande wao inawatajirisha kwa kiwango kikubwa bila kuzingatia maslah ya nchi.