Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,574
- 522
Najuwa wengi wetu tunasema Zaznibar sio nchi haya twende, fikira zangu naon Wazanzibari wanachosema nyuma ya pazia ni kuhudumia muungano pasipo Tanganyika kugharimika, kwani linapokuja la Tanganyika kuhudumia wanaingia kwa mlango wa nyuma na kusema wao ni SMT, lakini linapokuja suala la madini na TFA wao ni Tanganyika sasa hapo wengi hawapaoni, kumaliza mzozo huu ni bora Tanganyika wawe na serikali yao na Zanzibar wawe na yao na mwisho kuweko na serikali ya Muungano ambayo itasimamia mambo ya Muungano
Zanzibar wana wizara ya Ujenzi na Bara wana wizara ya Ujenzi linapokuja suala la mkanfari kujisajili wizara ya ujenzi ya Bara inasema lazima ajisajili Bra ingawa mkandarasi anfanya kazi zake Zanzibar hapo linaingia suala la Muungano lakini mkandarasi yuleyule akifanyashughuli zake bara hawezi kujisajili Zanzibar nafikiri mutanielewa kwahpo,
Tatizo ni majukumu yepi ya Muungano yepi ya Tanganyika na yepi ni ya Zanzibar
Zanzibar wana wizara ya Ujenzi na Bara wana wizara ya Ujenzi linapokuja suala la mkanfari kujisajili wizara ya ujenzi ya Bara inasema lazima ajisajili Bra ingawa mkandarasi anfanya kazi zake Zanzibar hapo linaingia suala la Muungano lakini mkandarasi yuleyule akifanyashughuli zake bara hawezi kujisajili Zanzibar nafikiri mutanielewa kwahpo,
Tatizo ni majukumu yepi ya Muungano yepi ya Tanganyika na yepi ni ya Zanzibar