Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
..Muungano huu uvunjwe. serikali tatu haziwezi kutatua matatizo yetu.

..tuendelee kushirikiana kupitia jumuiya ya Afrika Mashariki.
 
1963-UN-Zanzibar.jpg


kama kuna mtu anwakumba majina yao nnaomba tujikumbushe kama wapo na wapo wapi na wanafanya nn na waliokufa sio vibaya tukajikumbusha
 
kwa niliyoyaona miezi miwili iliyopita marekani baada ya well ya BP kuexplode na kusababisha madhara makubwa kabisa kwa viumbe wa majini na fukwe za marekani, na kwa yale ninayoyaona yakiendelea mashariki ya kati na naijeria kwa sababu ya mafuta, ningewashauri watu wa bara wakae mbali kabisa na haya mafuta ya zanzibar. Ngoja wazanzibari wayachimbe na "kuyafaidi".
 
Kwa nini elimu ya juu ni suala la Muungano? Waitoe tu, waanzishe ZCU yao na bara wabaki na TCU. Ni aibu watu wazima kugombea Foto-Opp!

Amandla.....
 
..Zanzibar ni nchi sasa kulingana na mabadiliko ya katiba yaliyofanyika.

..kuna kila sababu na haki za kuwa na mabalozi wenu wenyewe nje ya nchi.

..Zanzibar
wadai upya kuwa wanachama wa Fifa.

Sio Mabalozi yu! nasikia hata kile kiti chao pale UN wanakitaka wenyewe. kazi kwenu Tanganyika.:becky: 😛layball:
 
yaani I can't wait hawa jamaa kumeguka waondoke kwetu, kwasababu wanatuletea kiwingu. wanafaidi kwetu alafu wanajifanya wao ni maforena....wapemba wamejaa dar kuchuma mali kwaajili ya ndugu zao zenji, hivi tukiwa nchi mbili mtachumia wapi nyie? na wapemba hawa wataenda wapi? ardhi ya hapa mtaturudishia? kwasababu mtakuwa hamtakiwi kuimiliki hadi muwe wawekezaji. hivi tz inafaidi nini toka zenji?
 
yaani I can't wait hawa jamaa kumeguka waondoke kwetu, kwasababu wanatuletea kiwingu. wanafaidi kwetu alafu wanajifanya wao ni maforena....wapemba wamejaa dar kuchuma mali kwaajili ya ndugu zao zenji, hivi tukiwa nchi mbili mtachumia wapi nyie? na wapemba hawa wataenda wapi? ardhi ya hapa mtaturudishia? kwasababu mtakuwa hamtakiwi kuimiliki hadi muwe wawekezaji. hivi tz inafaidi nini toka zenji?

ungeliuliza hivi TANGANYIKA inafaidika nini toka Nenj labda ungeeleweka!:confused2:
 
yaani I can't wait hawa jamaa kumeguka waondoke kwetu, kwasababu wanatuletea kiwingu. wanafaidi kwetu alafu wanajifanya wao ni maforena....wapemba wamejaa dar kuchuma mali kwaajili ya ndugu zao zenji, hivi tukiwa nchi mbili mtachumia wapi nyie? na wapemba hawa wataenda wapi? ardhi ya hapa mtaturudishia? kwasababu mtakuwa hamtakiwi kuimiliki hadi muwe wawekezaji. hivi tz inafaidi nini toka zenji?

Nina wasiwasi na elimu yako au una udugu na kihiyo nini? kwa kifupi BoT inamchango mkubwa sana wa zanzibar wakati inaundwa serikali ya zanzibar ilitoa pesa nyingi sana za kigeni na wamepigwa changa la macho!

Zanzibar ndio nchi ya kwanza kustaarabika katika bara la africa
yakwanza kuwa na TV ya rangi Africa nzima mie nadhani bila ya Muungano zanzibar ingekuwa kama New York
 
Nina wasiwasi na elimu yako au una udugu na kihiyo nini? kwa kifupi BoT inamchango mkubwa sana wa zanzibar wakati inaundwa serikali ya zanzibar ilitoa pesa nyingi sana za kigeni na wamepigwa changa la macho!

Zanzibar ndio nchi ya kwanza kustaarabika katika bara la africa
yakwanza kuwa na TV ya rangi Africa nzima mie nadhani bila ya Muungano zanzibar ingekuwa kama New York

Ndoto ya saa tano asubuhi! bila shaka bila muungano karume angemuua hata baba yako hata wewe pia!
 
yaani I can't wait hawa jamaa kumeguka waondoke kwetu, kwasababu wanatuletea kiwingu. wanafaidi kwetu alafu wanajifanya wao ni maforena....wapemba wamejaa dar kuchuma mali kwaajili ya ndugu zao zenji, hivi tukiwa nchi mbili mtachumia wapi nyie? na wapemba hawa wataenda wapi? ardhi ya hapa mtaturudishia? kwasababu mtakuwa hamtakiwi kuimiliki hadi muwe wawekezaji. hivi tz inafaidi nini toka zenji?

Wataendelea kuchumia hapahapa Dar kama wawekezaji wengine wa kutoka nje ya nchi wanavyochuma. Ardhi watabaki nayo kama ambavyo waarabu walivyomilikishwa ardhi kwenye mbuga zetu za wanyama. Na kwa ukarimu wa serikali ya Tanganyika ulivyo mkubwa wataomba (kwa bakshishi kidogo) na kupewa tax holiday na hivyo kuacha kulipa kodi kabisa.
 
Nina wasiwasi na elimu yako au una udugu na kihiyo nini? kwa kifupi BoT inamchango mkubwa sana wa zanzibar wakati inaundwa serikali ya zanzibar ilitoa pesa nyingi sana za kigeni na wamepigwa changa la macho!

Zanzibar ndio nchi ya kwanza kustaarabika katika bara la africa
yakwanza kuwa na TV ya rangi Africa nzima mie nadhani bila ya Muungano zanzibar ingekuwa kama New York

samahani kama nimekukwaza, lakini hapa tunaongea kwa lugha za kiheshima tu mkuu!
 
yaani I can't wait hawa jamaa kumeguka waondoke kwetu, kwasababu wanatuletea kiwingu. wanafaidi kwetu alafu wanajifanya wao ni maforena....wapemba wamejaa dar kuchuma mali kwaajili ya ndugu zao zenji, hivi tukiwa nchi mbili mtachumia wapi nyie? na wapemba hawa wataenda wapi? ardhi ya hapa mtaturudishia? kwasababu mtakuwa hamtakiwi kuimiliki hadi muwe wawekezaji. hivi tz inafaidi nini toka zenji?

Naona mnajifurahisha tuu na mawazo finyu.Hivi kule Zanzibar zile machinga na masai nazo zinafanya nini kule Zenji.Acheni mawazo potofu, mnatakiwa mujadili masuala ya maana.
Ikiwa Zanzibar wanaona muungano unachengua, so be it!Hivi ndio wanaume wanavyotakiwa, lakini kwa muono wangu naona Tanganyika ndio mwoga wa wa kuvunjika muungano.

From day one nimekuwa nikitia mashaka kuwa huu muungano alielazimisha ni Nyerere.Na nina sababu zangu za msingi za kusema hivyo:
1.Hadi leo sijaona saini ya Karume wala kiongozi yoyote kutoka Zanzibar katika nyaraka za muungano.Ni Nyerere na Msekwa tuu kutoka Tanganyika ndio waliokuwa mstari wa mbele kulazimisha muungano.
2.Hilo tukio la kuunganisha ni Nyerere pekee ndie anabeba mchanga (chupa zote mbili kutoka Tanganyika!).
3.Wazanzibari wengi hawataki muungano, kinyume na watanganyika.
4.Kuna kila aina ya ushahidi Mapinduzi watu walisafirishwa na Nyerere kupitia Tanga kwenda kupindua.(Kuna hadi vitabu vinatoa ushahidi huo na mahojiano na msafirishaji wa watu huko Tanga!)

Sasa tusileteane hoja za kitoto, from the begining huu muungano was all about Tanganyika's ambitious of swallowing Zanzibar islands!
 
..Zanzibar ni nchi sasa kulingana na mabadiliko ya katiba yaliyofanyika.

..kuna kila sababu na haki za kuwa na mabalozi wenu wenyewe nje ya nchi.

..Zanzibar wadai upya kuwa wanachama wa Fifa.

Katiba ya Zanzibar inafanya kazi chini ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama ambavyo zilivyo katiba za CCM, CUF, CHADEMA, TFF, TPBO na vyombo vinginevyo Tanzania. Haiwezi kuhalalisha mambo yanayoharamishwa na Katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Naona mnajifurahisha tuu na mawazo finyu.Hivi kule Zanzibar zile machinga na masai nazo zinafanya nini kule Zenji.Acheni mawazo potofu, mnatakiwa mujadili masuala ya maana.
Ikiwa Zanzibar wanaona muungano unachengua, so be it!Hivi ndio wanaume wanavyotakiwa, lakini kwa muono wangu naona Tanganyika ndio mwoga wa wa kuvunjika muungano.

From day one nimekuwa nikitia mashaka kuwa huu muungano alielazimisha ni Nyerere.Na nina sababu zangu za msingi za kusema hivyo:
1.Hadi leo sijaona saini ya Karume wala kiongozi yoyote kutoka Zanzibar katika nyaraka za muungano.Ni Nyerere na Msekwa tuu kutoka Tanganyika ndio waliokuwa mstari wa mbele kulazimisha muungano.
2.Hilo tukio la kuunganisha ni Nyerere pekee ndie anabeba mchanga (chupa zote mbili kutoka Tanganyika!).
3.Wazanzibari wengi hawataki muungano, kinyume na watanganyika.
4.Kuna kila aina ya ushahidi Mapinduzi watu walisafirishwa na Nyerere kupitia Tanga kwenda kupindua.(Kuna hadi vitabu vinatoa ushahidi huo na mahojiano na msafirishaji wa watu huko Tanga!)

Sasa tusileteane hoja za kitoto, from the begining huu muungano was all about Tanganyika's ambitious of swallowing Zanzibar islands!

Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Tanganyika (hataka kabla ya kuitwa hivyo) siku zote tangu wakati wa utawala wa sultani hadi ukoloni wa ulaya ulipoingia. Kilichotengansiha Zanzibar kutoka Tanganyika ni kwa sababu iliuzwa na wajerumani kwa waiengereza kusudi wao wapewe visiwa vya Heligoland. Kama ambayo tulivyopinga ukoloni ule ndiyo vile vile tunavyopinga kuuzwa kwa sehemu ya nchi yetu na kuitenga.

Muungano is here for ever!! Hakuna ninachopata huko Zanzibarna hata Tanganyika kwa vile mimi ninaishio nje ya nchi, lakini ile pride ya nchi yangu ndiyo inayonifanya nitetee muungano. Shallow minds za kutaka kuwa na tawala ndogo ndogo ili kila mtu apate madaraka ndizo zinazotusumbua wabongo. Utashangaa kuwa wakati wa mkoloni nchi ilikuwa na ma PC 12 tu lakini leo hii kuna ma-RC zaidi ya 30, wote wakitaka madaraka tu.
 
Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Tanganyika (hataka kabla ya kuitwa hivyo) siku zote tangu wakati wa utawala wa sultani hadi ukoloni wa ulaya ulipoingia. Kilichotengansiha Zanzibar kutoka Tanganyika ni kwa sababu iliuzwa na wajerumani kwa waiengereza kusudi wao wapewe visiwa vya Heligoland. Kama ambayo tulivyopinga ukoloni ule ndiyo vile vile tunavyopinga kuuzwa kwa sehemu ya nchi yetu na kuitenga.

Muungano is here for ever!! Hakuna ninachopata huko Zanzibarna hata Tanganyika kwa vile mimi ninaishio nje ya nchi, lakini ile pride ya nchi yangu ndiyo inayonifanya nitetee muungano. Shallow minds za kutaka kuwa na tawala ndogo ndogo ili kila mtu apate madaraka ndizo zinazotusumbua wabongo. Utashangaa kuwa wakati wa mkoloni nchi ilikuwa na ma PC 12 tu lakini leo hii kuna ma-RC zaidi ya 30, wote wakitaka madaraka tu.


taratibu kaka, na rwanda na burundi zilikuwa sehemu ya tanganyika basi pelekeni jeshi mkazichuke akina manyang'au.

zanzibat imeungana na Tanganyika zikiwa nchi mbili huru na moja ikiona hakuna faida ya muungano huo ana haki ya kujitoa.

uache upoyoyo huo
 
Back
Top Bottom