Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
tatizo la zanziabr kuwa nchi au taifa linatokana na ukweli kwamba muungano wa tanzania una hitilafu nyingi mno.....kiasi cha kuwa umeshindwa ku define kirahisi nguvu za zanzibar (zilitakiwa ziwe na nguvu za tanganyika pia) zinamalizia wapi na nguvu za muungano zinaanza wapi.


na kwa vile suala hili linaogopwa kujadiliwa na viongozi wa juu ndio mpaka kumepelekea pinda kuchemsha katiak majibu yake na kuwafanya wazanzibari kuja juu
Mheshimiwa Gaijin , lazima nikiri kuwa uyaelezayo ni sahihi. Na nafurahi kuwa unaeleza Pinda Kachemcha na kuwatonesha Wazanzibari. Hii ni hatari. Sasa hivi lao ni moja -Wana Lugha moja ukiachilia mbali tofauti zao za CUF na CCM au Pemba na Unguja.
 
Kwani hiyo gas inamsaidia vipi mwana nchi wa Tanzania Bara??

Kama kodi inaiingia kwenye serekali ya muungano basi ndiyo haswa ilitakiwa kuwa maana ndio serikali ya wote.yani Tz bara Na visiwani .Na kama wanataka iende kwenye serikali ya mapinduzi basi huo ni upendeleo maana serikali ya mapinduzi si serikali ya wote.

Mimi naona wazanzibar wana miss kwa kuifanya serikali ya muungano kua serikali ya bara ,Wao waelewe Kodi ikipata serikali ya muungano wao na wabara kwa pamoja wanafaidika ndio maana wamo akina Shein,Ghasia na wengine.

Gas najua wanaitumia TANESCO kuzarisha umeme hivi Zanzabar wanatumia umeme kutoka wapi? Ama wao mpaka mshiko tu ndio wataona wanafaidika.
 
Kwani hiyo gas inamsaidia vipi mwana nchi wa Tanzania Bara??

Kama kodi inaiingia kwenye serekali ya muungano basi ndiyo haswa ilitakiwa kuwa maana ndio serikali ya wote.yani Tz bara Na visiwani .Na kama wanataka iende kwenye serikali ya mapinduzi basi huo ni upendeleo maana serikali ya mapinduzi si serikali ya wote.

Mimi naona wazanzibar wana miss kwa kuifanya serikali ya muungano kua serikali ya bara ,Wao waelewe Kodi ikipata serikali ya muungano wao na wabara kwa pamoja wanafaidika ndio maana wamo akina Shein,Ghasia na wengine.

Gas najua wanaitumia TANESCO kuzarisha umeme hivi Zanzabar wanatumia umeme kutoka wapi? Ama wao mpaka mshiko tu ndio wataona wanafaidika.
Inafurahisha kidogo., Kidogo kidogo tu tutafika. Nafarijika unaelewa kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ya wote na siyo ya WaBara tu. Jee kivitendo iko hivyo?
 
Last edited:
..yachimbwe kwa ruhusa ya nani?

..halafu,zoezi la kuchimba mafuta si la siku moja.

Kama yapo wangekuja wenye mafuta yao ( Americans ) hao wanajipa ruhusa wenyewe tu...

Yes, zoezi la kuchimba mafuta sio la siku moja ndio maana bado exploration inafanyika pale kwa kuwa kuna potential na kama ingethibitika yapo mchakato mzima wa kuchimba ungekuwa ushaanza. Kinachofanyika sasa ni hiyo exploration
 
Inafurahisha kidogo., Kidogo kidogo tu tutafika. Nafarijika unaelewa kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ya wote na siyo ya WaBara tu. Jee kivitendo iko hivyo?

Tena kivitendo heri na wazanzibar wakipiga kelele wanapozwa kwa kuhofia muungano.Wabara serikali ile haiwajari kabisa .

Nyie msiangalie Dar es salaam ndio mkazani hiyo ni BARA nenda bara kwenyewe uone mambo kitakachokutoa huko ni machozi tu.
 
..hii habari hapa chini inaweza kusaidia kidogo.

..pia itasaidia kama tukielewa kwamba mkondo wa bahari na mpaka kati ya Tanganyika na ZNZ ni mwembamba mno.

..kwa msingi huo kunaweza kutokea utata katika matumizi ya rasilimali zinazopatikana baharini.


Zanzibar: Agree on Oil Revenue Sharing

Monday, 19 May 2008
Zanzibar and the Union Government have agreed to share oil and gas revenues as stipulated in the Constitution.
Zanzibar and the Union Government have agreed to share oil and gas revenues as stipulated in the Constitution.

Below is an article written by Orton Kiishweko and published by Allafrica.com:

Zanzibar and the Union Government have agreed to share oil and gas revenues as stipulated in the Constitution. A top-level committee dealing with Union problems reached the decision. The minister of state in the Vice-President's Office (Union Affairs), Mr Muhammad Seif Khatib, told reporters in Dar es Salaam yesterday [17 May 2008] that 10 issues had been discussed and agreed upon by the committee on Thursday [14 May 2008].

He said the two governments had agreed to share the two natural resources as stipulated in the Union Government's Constitution. "The two sides have already got an external advisor who will list relevant factors and provide a formula for sharing petrol and gas revenues," he said.

This accord ends two years of controversy after Zanzibar Chief Minister Shamsi Vuai Nahodha told the House of Representatives that the Mainland would be barred from exploring oil in the Isles. He said that any study or exploitation of petroleum would not be allowed in Zanzibar's waters as there were issues that needed to be solved for the mutual benefit of the partners in the Union.

Solving those issues would be a condition for entities registered on the Mainland to be permitted to explore for oil in Zanzibar's waters, the Isles top official said. Yesterday, Mr Khatib said Zanzibar had agreed to place its natural resources under the auspices of the Union Government upon realisation that making it a unilateral issue could lead to loss of benefits.

Oil exploration and exploitation have often led to social and political instability in many African countries. New conflicts have arisen following discovery of such resources in border territories such as the DR Congo-Uganda dispute on the Lake Albert oil finds.

Though about 12 blocks believed to hold substantial reserves of gas and oil reserves have been explored in the past, Zanzibar has diverse energy resources, including biomass, natural gas, hydropower, coal, geothermal, solar and wind power that remain untapped. Extensive gas fields have already been identified, off the coast at Songo Songo and Mnazi Bay, with current natural gas reserves estimated at two trillion cubic feet.

The Songo Songo gas-to-electricity project, that has already been tapped, has a ready market of 17 potential industrial users of natural gas in Dar es Salaam alone.

As the Union committee started its meeting on Thursday, Vice-President Ali Mohammed Shein cautioned the participants to respect and uphold both the Zanzibar and Union Government constitutions throughout their discussions.

On oil, an expert advisor will conduct research and propose how the two governments can share the natural resource, and present his report to the committee in August. Other Union disputes were discussed in the meetings, with various arms of the two governments directed to handle speedily those that still need to be addressed.

They include complaints from Zanzibar car importers over double taxation by the Tanzania Revenue Authority (TRA) and employment of Zanzibaris in the Union Government and its agencies. "Double taxation sometimes occurs because of some opportunistic and unscrupulous individuals at TRA," Mr Khatib said.

The meeting also noted that the call for the Isles Government to take part in international meetings and the possibility of borrowing from international bodies was progressing well but the framework had yet to be finalised. Issues decided upon and, which are being implemented, include allowing the Human Rights Commission to operate in Zanzibar.

By April 30 [2008], about 324 human rights cases in Zanzibar had been received and were being heard, the minister said. Zanzibar has also asked to be included in regional development projects such as setting up a bigger port, as well as the construction and enlarging of Zanzibar town roads and the Zanzibar International Airport.

It is also seeking the setting up of a wind power plant for electricity production, improving transportation of agricultural produce in Zanzibar, along with conducting research for coffee and clove production and marketing. The committee further adopted a call to hold its meetings every two months to speed up resolution of pending issues.

Thursday's meeting was the third sitting of the committee since President Jakaya Kikwete formed it. It was the first since the February 12 [2008] Cabinet reshuffle, which saw the exit of Mr Edward Lowassa as Prime Minister.

The committee will convene again in July [2008], Mr Khatib said.
 
Kama yapo wangekuja wenye mafuta yao ( Americans ) hao wanajipa ruhusa wenyewe tu...

Yes, zoezi la kuchimba mafuta sio la siku moja ndio maana bado exploration inafanyika pale kwa kuwa kuna potential na kama ingethibitika yapo mchakato mzima wa kuchimba ungekuwa ushaanza. Kinachofanyika sasa ni hiyo exploration

Mmh. Haya.
Hivi kwanini tulienda vita Comoro? And who sponsored it? Tumeshapata jibu? Nauliza tu, not connected to anything I may know.
 
Kama yapo wangekuja wenye mafuta yao ( Americans ) hao wanajipa ruhusa wenyewe tu...

Yes, zoezi la kuchimba mafuta sio la siku moja ndio maana bado exploration inafanyika pale kwa kuwa kuna potential na kama ingethibitika yapo mchakato mzima wa kuchimba ungekuwa ushaanza. Kinachofanyika sasa ni hiyo exploration

..mbishi kama jina lako!

..sasa we unasemaje? kuna mafuta au hakuna?

..tusizunguke kichaka.
 
Zanzibar wanasema hivi wakati tunaishi pamoja chini ya Muungano tangu mwaka 1964, tena ulioasisiwa na baba wa rais wa sasa wa Zanzibar. Watu wengi wa Zanzibar wana sili ya bara, na kuna wazanzibar wengi sana wanaishi na ama kufanya kazi au kuendesha biashara bara. Je itakapokuwa Muungano wa nchi za Afrika mashariki ambapo tutashirikiana na watu wa kutoka Turkana tutaambiana nini?
 
Last edited by a moderator:
while the latter asked why the constitution cannot be changed so as to allow Zanzibar to become a member of the Organisation of the Islamic Conference (OIC).

Nilikuambieni mapema raha na haja ya muzanzibar(waislamu) ni kuona zenj inakaliwa koo vizuri na himaya ya mwarabu.

Fuatilia historia vizuri,hakuna mbunge mkrsito alie wahi kuhoji kwanini wakristo(Tanganyika) wanafungwa kujiunga na Umoja wa Kikristo duniani?Ukweli ni kwamba wakristo wamekaa na kutambua umuhimu wa MUUNGANO wetu,wakaamua kufanikisha maswala yao kupitia asasi zao za kidini,na si kuchomeka moja kwa moja ndani ya chombo cha nchi kama bunge!!

Viongozi wetu acheni woga wa kutengwa na misikiti yenu,waaambieni watu wenu ukweli,wanachemka ovyoooooooooo.
 
Kutakuwa na kikao maalum kesho Zanzibar. Kikao hicho kitahudhuriwa na viongozi wa CCM Bara na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Kikao hicho kina muelekeo wa kuzungumzia masuala ya muungano.

Je, tutarajie chochote kipya?
 
Kutakuwa na kikao maalum kesho Zanzibar. Kikao hicho kitahudhuriwa na viongozi wa CCM Bara na viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Kikao hicho kina muelekeo wa kuzungumzia masuala ya muungano.

Je, tutarajie chochote kipya?
Mjadala wa ZNZ ni nchi au la unaweka muungano katika hatari...hii ni hatua ya kuepusha mmegeko usitokee
 
Kuna ukweli usiopingika au kufichika kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muungano ina ignore interest za Wazanzibari au haijali interest zao kwa kiwango kinachostahili kama wakiwa ni wabia Wakuu (patners katika Jamhuri hiyo). Sasa kusiwe na maneno ya kutisha au kusimangana. La muhimu ni marekebisho yanayostahili yafikiwe (tena haraka)ili interests za hao wabia zikidhiwe inavyostahili. Zamani walikuwa hawasemi. Lakini sasa wanasema. Ni vyema tuwasikilizieni.

Hivi Zanzibari kuna watu millioni ngapi vile? Na bara wana watu milioni ngapi? Tukiwaweka hawa katika mizani ya wanaotaka vipimo vya usawa ni kipimo cha upande gani kitakachodidimia chini na upande gani kitakachoruka juu?
 
Nafikiri ni kosa kuweka mafuta na gas kama source of Energy (under Minerals and Energy) and not Natural Resources.

Wakati tunafahamu kwamba oil and gas are part of Natural resources - inakua ni sawa na kula na kipofu pale tunaposema hivi viwili vitolewe!

Kama Serikali ya Muungano ipo kwa masilahi ya Tanganyika na Zanzibar waseme vyote vilovyomo kwenye natural resource ni sehemu ya muungano na kuoneshwe vipi sehemu mbili zinanufaika na hilo.

Lakini hadi sasa hakuna kinachoonekanwa zaidi ya Wabunge kutoka Zanzibar kukaa Bungeni ndo sehemu yao ya manufaa Zanzibar inapata kutoka kwenye Muungano.

Mainland sizani kama ilikua na inalengo zuri; ukitizama huko nyuma wakati wote kabla na baada ya vita vya Idd Amin; Kila ambapo uchumi wa mainland ukididimia ulikua unaivuta znz bila ya hata kuweko na sababu.

Na yote haya alikua Nyerere ndio fundi mkuu; alipomuona Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi anafanya vizuri ZNZ - akaona hawafai wazanzibari - akamuweka tanganyika.

Siyo hilo tu, uporomokaji wa Shilingi ambao umeiathiri znz kwakiasi kikubwa - huko mwanzo znz ilikua ina fanya biashara vizuri sana kupitia nazi na karafuu - znz serikali ilikua inaumia pale ilipokua inatakiwa ifidie malipo kila ambapo shilingi inaporomoka - hatujasikia lolote kutoka serikali ya muungano kuangalia hili - zaidi bank of Tanzania ambao ndio wamekua kama IMF wa zanzibar kwenye Tanganyika kuinyonya na kuiua Zanzibar (ukoloni Mamboleo wa Tanganyika).

Leo hii wameshaona Zanzibar inaweza kujikomboa kupitiza mafuta - wao wanasema na hichi kiwe chini ya muungano! Kwa hilo tu bora usikuwepo huo muungano - sioni faida yake kwa zanzibar.

Muungano upo tu kwakuikandamiza Zanzibar; kama wanahisi uwepo ( hao mainland) kutahitajika kulipa fidia kwa yote tuliopoteza kwa zaidi ya miaka 40!
 
kwi kwi kwi kwiiiii
kuna mzee mwenzangu nimemuuliza hilo swali je zanzibar ni nchi au sio nchi?
akanijibu zanzibar ni kisiwa...
 
Nachelea kutaraji chochote cha maana. Vikao vya Sisiemu siku hizi vimekosa mvuto, havina maamuzi yenye maslahi, kwa ufupi ni butu.
 
Back
Top Bottom