Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
Sikuzungumzia wingi wa watu kwani najua China watu ni wengi kuliko TZ, niliongelea kwamba watumizi wa Zanzibar wametuzidi kushinda bara kutokana nakwamba Zanzibar watu wengi wana umeme.
Kama China wangekua asilimia 10 wanatumia umeme na Bongo asilimia 50 basi bongo tungekua tumewashinda

Na hii ndio njia wanayotumia kuangalia duniani kwamba taifa lipi ni tajiri na taifa lingine ni masikini.

Hio hio ndio wanatumia kwamba Singapore kanchi kadogo ni tajiri kushinda nchi kubwa Brazil.

Sasa naanza kukuelewa. Kwa hiyo unachozungumzia ni kipimo cha maendeleo na si idadi ya watu? Lakini mbona umetoka nje ya swali lililoulizwa? Tulichokuwa tunapinga ni kuambiwa Zanzibar wanachangia zaidi mapato ya Tanesco kuliko bara. Hatungumzii % ya watu Zanzibar bali ni kiasi wanacholipa umeme Tanesco!Hii inaweza kukisiwa kutokana na idai (si%) ya watu watumiao umeme. Ndiyo maana nikasema hata kama 100% ya wazanzibari ( milioni kama moja)wana umeme hawawezi kuchangia zaidi ya asilimia 10 ya watanzania bara (milioni 3.6)! Hayo ni malipo kutoka makazi ya watu bado viwanda, migodi n.k.Hii ishu ilitokana na pale muungwana mmoja aliposema tuende Tanesco tukaangalie cheque tujue nani anayechangia zaidi!
 
Pakacha,

Dalili zote zinaonyesha kuwa Zanzibar bila Muungano si Zanzibar bali ni Unguja na Pemba. Ni ZPPP/ZNP na Afro Shiraz kwa lugha ya sasa unaweza kusema ni CUF na CCM Zanzibar. Ni Karume na Maalim Seif. Ni Wazanzibari na Wazanzibara! Kama mnajipenda endeleeni kupiga kelele zenu hivyo hivyo kama wazanzibari ndani ya Muungano! Rejea 'miafaka' yote miwili. Hivi eti Zanzibar ilipata uhuru wake lini? Maana yupo mtu anasema ni mwaka 1963 na mwengine anasema ni January 12, 1964. Mimi naongeza naona kuna uwezekano mkubwa Zanzibar bado haijapata Uhuru![/QUOTE


Gotee unachanganyikiwa Ndugu yangu. Zanzibar is strong. Imejitayarisha. Lakini Muungano na udumu. Tunabanana hapo hapo, lakini hatukubali usanii.

Ami Pakacha. Nichanganyikiwe nini weye!!! Kwa raha zangu nipo Uwanjani nawatazama nyie wazanzibari mlivyoamua 'kukaba' kila mtu Uwanajani! Sasa 'mnamkaba' refarii Reading kisa kasema Mpira Umekwisha! Hakuna hata MAfuta ya kuwasha taa ya kandiri! Ohhhh haiwezekani, kamateni basi zile silaha za 1964 si tuliambiwa na Rais wa nchi yenu kuwa bado zipo na watu wasilete mchezo. Nendeni Amari mkazichuke halafu muingie baharini kuchimba hayo mafuta ya kujipaka aina ya YU na Yolanda na Rays mnayosema yapo. Vinginevyo ni USANII mwingine tu. Usanii! Mbona huko kwenu wapo wengi tu! Raza, Mapuri, Shamhuna, Kificho, Pakacha, Maalim (nasikia anataka kesi yake ya uhaini ifufuliwe kuonesha kuwa Zanzibar ni 'kanchi') kutaja wachache tu...... Zanjiba to be strong? Over my dead body! Fuata ushauri wangu wa bureeeee, Endeleeni kupiga hizo kelele mkiwa ndani ya 'dude' Muungano. Hili dude bwana wee la kimataifa.... hili dude, hili dude we......
 


Ami Pakacha. Nichanganyikiwe nini weye!!! Kwa raha zangu nipo Uwanjani nawatazama nyie wazanzibari mlivyoamua 'kukaba' kila mtu Uwanajani! Sasa 'mnamkaba' refarii Reading kisa kasema Mpira Umekwisha! Hakuna hata MAfuta ya kuwasha taa ya kandiri! Ohhhh haiwezekani, kamateni basi zile silaha za 1964 si tuliambiwa na Rais wa nchi yenu kuwa bado zipo na watu wasilete mchezo. Nendeni Amari mkazichuke halafu muingie baharini kuchimba hayo mafuta ya kujipaka aina ya YU na Yolanda na Rays mnayosema yapo. Vinginevyo ni USANII mwingine tu. Usanii! Mbona huko kwenu wapo wengi tu! Raza, Mapuri, Shamhuna, Kificho, Pakacha, Maalim (nasikia anataka kesi yake ya uhaini ifufuliwe kuonesha kuwa Zanzibar ni 'kanchi') kutaja wachache tu...... Zanjiba to be strong? Over my dead body! Fuata ushauri wangu wa bureeeee, Endeleeni kupiga hizo kelele mkiwa ndani ya 'dude' Muungano. Hili dude bwana wee la kimataifa.... hili dude, hili dude we......

U R Not serious..it is so funny!
LOL!
 
Tanzania: Oil Companies to Drill Off East African Coast

by Giles Foden, Guardian
September 11th, 2008

As his plane climbs above the vast Rufiji delta on the Tanzanian coast, Peter Byrne tells me about the region's deep history. "In the Miocene era, the Rufiji was one of the biggest rivers on earth," he says. "Zanzibar and MafiaIsland broke away from mainland Africa - Mafia was much later but it was part of the same process." That massive geological shift is one of the reasons oil companies have the fabled spice island of Zanzibar in their sights. But it looks as if Zanzibar's smaller cousin, Mafia - where Byrne runs Kinasi Lodge, a luxury hotel - will be the first place in Tanzania to see serious oil exploration.

The Dutch arm of Shell is in negotiations with the Tanzanian government for licences to prospect four deep-sea areas or "blocks" in the Rufiji delta and another four off Zanzibar. Petrobras of Brazil is bidding for a block about 15 miles (24km) off Mafia, while the French company Maurel & Prom hopes to drill on Mafia itself and areas of Mkuranga district on the coastal mainland. In time, the whole western flank of the Rift Valley inland may be drilled, as seismic and hydrocarbon tests have shown that this too has potential for oil.

The oil in Tanzania's coastal belt was discovered in the 1960s but it is only recently, with western governments searching for alternative sources to the Middle East, that these paradise isles are being taken seriously as drilling sites. Withnegotiations on Zanzibar bogged down between the island and the mainland over which should benefit (semi- autonomous Zanzibar is unhappy with a proposed 60:40 split of profits), Mafia and its tiny neighbour Chole seem likely to be the first to see exploration, perhaps within a year.

Mafia and Zanzibar are part of a lush reef-based network of islands and atolls dotted along Tanzania's Indian ocean seaboard. A slowly growing tourist destination, Mafia is about 30 miles (50km) long and 10 miles (17km) wide, surrounded by a host of tiny islets. It has a population of 50,000. The capital, Kilindoni, is a one-horse, or half-a-horse town. There are no telephones and only a few cars.

Mafia is one of the world's richest marine habitats - home to a marine reserve run by the Tanzanian government with support from the World Wildlife Fund. As well as fish (more than 400 species) and other marine life, from dolphins to both green and hawksbill turtles, the area is home to many species of birds, including black kites and lilac-breasted rollers. There are also said to be dugongs (sea cows), among the world's rarest creatures, in these islands.

Now economically sleepy, Mafia was once a busy entrept dealing in gold and ivory from the interior, coconuts, mangrove poles for housebuilding and tortoise-shell. The last two had serious ecological impacts, but slavery was Mafia's darkest business. It was legally abolished only in 1922, four years after the first world war and the establishment of British rule on Mafia. That came after the ousting of the Germans, who had ruled from 1890, after long periods of Arab and Portuguese dominance.

Much of the archipelago's commerce, including slavery, depended on the monsoon winds that blow variously across the Indian ocean: the north-east monsoon (the kaskazi) from December to March and the south-east monsoon (the kusi) from April to November. It was these winds, filling the sails of dhows, which once made the area rich. Oil may do so again, but at what ecological cost? And will oil revenues supplement the meagre incomes of local people?

Another factor in the mix is that the region is host to two Unesco world heritage sites: Zanzibar's Stone Town and the ruins of the coastal city of Kilwa on the mainland. Shell said at the end of August that the company henceforth would avoid exploring or drilling on sites that carry these designations.

The oil business does not run smoothly - or cleanly - elsewhere in Africa, especially in Nigeria where the bulk of exploration takes place. Vast tracts of countryside have been despoiled. In the past fortnight, crude oil spilling from a ruptured pipeline burst into flames near the southeastern Nigerian village of Gio, torching crops and spreading thick, black smoke for miles. Shell workers raced to the scene to extinguish the flames but were denied access by angry villagers demanding compensation. Congo, Angola and Cameroon (where residents say exploration is already ruining fishing) are other African countries facing these issues.

At the moment Tanzania has few resources to draw on if there were an oil spill or explosion - events which test western resources in the best possible of contexts. And it is as liable to corruption as any other African country. Julius Nyeyere, the late "father of the nation" and the country's first president, was scathing: "Corruption in Tanzania has no bounds. Every country I visit they talk about corruption in Tanzania. Tanzania is stinking with corruption," he said in 1995. Things have got much worse since then, with increased economic growth offering more opportunities for graft; what's to prevent future oil revenues in Tanzania going the way of those in the Democratic Republic of Congo, where the IMF has accused officials of creaming off as much as $1bn (650m) a year from oil revenues.

Flying above the Rufiji delta, all appears calm. The idea that oil slicks might strangle these wetlands seems impossible. But the idea of a paradise is an illusion. The area's existing economy is by no means free of ecological impacts, especially on coral. Pointing out a pair of prawn trawlers, which cause great damage to seagrass and corals - I can see the trail of brown sediment thrown up by their scraping boards - Byrne says that how Tanzania deals with its existing marine resources is of much more concern to him than threats from oil exploration. "Modern technology makes drilling far less of a worry than corruption and mismanagement by central government."

Already there have been rumblings of discontent among locals on nearby Songo Songo island, where there is a gasfield, and staff at the Mafia Island Marine Park (MIMP) are circumspect about the proposed developments. "As a conservator I'm against it," says Sylvester Kazimoto, enforcement warden at the park, "as there's bound to be negative effects. But economically - we have to look at it."

He's right. If the deals come off, they could make an enormous difference to Tanzania, one of the world's poorest countries, with an average annual income of less than 160 per person.

There are no easy answers, says Ali-Rashid Mgeni, whose role in MIMP is to persuade fishermen in the park to seek alternative livelihoods such as beekeeping, handicrafts, or building from mudbricks rather than coral, the traditional construction material. "It's a tough question. You know we are fighting to eradicate poverty here. One of the reasons we are protecting this environment is because we want it to sustain our lives and those of future generations. We need a special plan or else local people won't benefit."

Hearing that oil surveyors have been to the nearby island of Chole, I jump on a MIMP patrol-boat going there. I find a man called Miwadi Juma in the harbour. Now 30, he has been fishing these waters since he was 11. He's sitting on the spar of his boat Mwafaka - meaning "reconciliation" in Swahili. Behind me, throttled by a mass of fig-tree roots, loom the ruins of the German customs house and an old prison.

Spearing white cockles with its long black beak, a wading-bird pokes about in the shallows as Miwadi talks. "I have heard about this oil, and it is worrisome. I am afraid it will be like Songo Songo, where the island was divided into two parts. One part is where the gas is extracted and the other is where people live; some of them have been moved. They have sold their farms and houses, but not very willingly. This island is very small and people will be angry if it happens here."

Ibrahim Imani, MIMP's liaison officer on Chole, recalls the visit by the oil surveyors. "They used bombs to do the survey. I remember there were explosions right round the island." Hassan Nahuda, a fisherman, remembers them too. "During that time, some fish died from the explosions."

Thomas Chale, who runs the WWF micro-loans scheme which enabled Hassan to trade in his damaging seine net for a more environmentally-friendly gill net, is too aware of the economic benefits of the oil to dismiss it. "We know that fuel resources are one of the best ways for a country to improve itself. It's a matter of finding the best utilisation. If environmental impact studies can be done, then the whole thing might be managed safely. Once that has been taken care of there is the question of local people. We wouldn't want it to be like the case of those Ogoni people in Nigeria. All they see of the oil money is pipes flying over them."

Under a tree heavy with fruit bats, I wait for Johany Rajabo, Chole's nursery-school teacher, to finish class, then we chat as the kids run about around us. You can see western influence here (one child has a Teletubbies rucksack) but the survey team didn't exactly bond with the locals. "That group of oil explorers who came here," says Rajabo, "they didn't talk to anyone." He says he doesn't know anything about the ecological effects of oil drilling, but understands that it can be a way of raising a country's standard of living.

I make my way back to the harbour. Miwadi Juma and the Mwafaka have set sail. Other fishermen are cutting up stingrays on the sand - their livers are a delicacy. The dried tails were once used to lash criminals in the prison. As I board the MIMP patrol boat, I wonder whether the appearance of oil rigs will bring pain or pleasure to these islands. The signs aren't that good, though most people seem prepared to welcome the development. "I think it would be better to get the oil and be rich," says Abdul Bwaki, a security guard. Even if it destroys the beauty of the islands? "Yes, even if it means that, though it would be better for that not to happen."

Commerce or conservation? It is not a simple stand-off, not least because oil companies are now much more alert to environmental issues than they used to be. Many sponsor environmental programmes. And as I learn on my return to Mafia, deep-sea rigs can sometimes be an ecological benefit. "Fish collect round structures like rigs," says Audie Murphy, a diving instructor at Kinasi, "they can act as artificial reefs, which is important when coral is being damaged, as a lack of coral has a massive effect on marine diversity."

Back in the MIMP offices, enforcement warden Sylvester Kazimoto isn't persuaded. "It all depends on how much of your natural resources you are willing to sacrifice for the national economy, and what dangers you are prepared to expose yourself to. Yes, a rig can act as a fish-aggregating device but it's not 100% safe. Anything can happen over time, such as big spills or gradual leakages."

It may be that the monsoons which sustained Mafia in the past are what will protect it when oil drilling begins, as the drift currents they produce are not directly onshore. But more general trade-wind patterns do come onshore, and air pollution can be as much of a problem from oil rigs as water pollution.

If there is to be a mwafaka , or reconciliation, between economics and conservation, the ecology of the whole coastline needs to be considered, not just that of the marine park. This process will involve understanding that money and ecology must work in concert. Once again the environmental dictum holds: "It's all one."
 
The Dutch arm of Shell is in negotiations with the Tanzanian government for licences to prospect four deep-sea areas or "blocks" in the Rufiji delta and another four off Zanzibar. Petrobras of Brazil is bidding for a block about 15 miles (24km) off Mafia, while the French company Maurel & Prom hopes to drill on Mafia itself and areas of Mkuranga district on the coastal mainland. In time, the whole western flank of the Rift Valley inland may be drilled, as seismic and hydrocarbon tests have shown that this too has potential for oil.

Hapo ndipo wenzetu inakuwa ngumu kwao kuelewa.....

The oil in Tanzania's coastal belt was discovered in the 1960s but it is only recently, with western governments searching for alternative sources to the Middle East, that these paradise isles are being taken seriously as drilling sites. Withnegotiations on Zanzibar bogged down between the island and the mainland over which should benefit (semi- autonomous Zanzibar is unhappy with a proposed 60:40 split of profits), Mafia and its tiny neighbour Chole seem likely to be the first to see exploration, perhaps within a year.

Wow! kumbe hata huku kwa "vichogo" pia yapo tena ndio wataanza exploration kabla ya Znz. Sasa kama yakiwa ya Muungano haya ya Mafia let alone Mkuranga etc ndugu zetu si yatawanufaisha?


Am I missing something somewhere?
 
Hapo ndipo wenzetu inakuwa ngumu kwao kuelewa.....



Wow! kumbe hata huku kwa "vichogo" pia yapo tena ndio wataanza exploration kabla ya Znz. Sasa kama yakiwa ya Muungano haya ya Mafia let alone Mkuranga etc ndugu zetu si yatawanufaisha?


Am I missing something somewhere?

Acholile kachole weee!
 
Naona tunabembelezana bila sababu, kwa nini hawa jamaa wasipewe wanachotaka? wapewe nchi na wachimbe mafuta yao, kama kweli yapo, ukweli wameshaambiwa, wanapingana nao, labda wana namna ya kufanya utafiti wao, soga za mabaraza ya kahawa wanaziingiza kwenye mambo ya kitaalamu. Wajenge shule, ndipo kila kitu kitaeleweka!!
 
Shule za aina gani Mkuu?
Ah Hebu mpe data huyo. Mimi hapa nilipo ndipo mbali nazo. Lakini watoto wetu wanaoanza darasa la kwanza (Mjini na Vijijini) kamwe hawalifuati kwa zaidi ya Kilomita Mbili. Na Uni zipo tu. Na zinaendela kuja.
 
Ah Hebu mpe data huyo. Mimi hapa nilipo ndipo mbali nazo. Lakini watoto wetu wanaoanza darasa la kwanza (Mjini na Vijijini) kamwe hawalifuati kwa zaidi ya Kilomita Mbili. Na Uni zipo tu. Na zinaendela kuja.

Naona jibu kesha lipata 😀
 
Naomba kuuliza, nimekua nikiichungulia hii story muda mrefu, ila ghafla imekufa.

Hii habari iko nusu nusu, au mwandishi hajaeleza vizuri nini kilitokea. habari imekaa kisiasa mno kuliko kiuutaalam.

- Huyu Reading ni financial modeller au mhandisi?
- wanzanzibari hawakubaliani, wanabase assumptions zao kutoka 1950s, je hivi vipimo vya 1950s vilichukuliwa kwa namna gani?
-Teknolojia imebadilika sana kutoka 1950's mpaka sasa. Huyu Mr Reading wakati anawaeleza hawa wazenji, alitumia data gani? Hatujaambiwa na mwandishi.
-Kuna article nilisoma mwaka jana, kulikuwa na samaki wanakufa kufa ovyo, ikimaanisha kuna seismic studies zilikuwa zikifanyika Tanzania. Je, ndiyo utafiti wa kina Reading?

-Kwa jinsi navyofuatilia fuatilia haya mambo inaonekana Ruvuma basin, kushuka kwenda Mozambique hadi Madagascar ndio kuna potential ya commercial mafuta. Hata gas, inaonekana Mozambique wana gas zaidi ya Tanzania. Commoros wako maeneo hayo hayo (ukanda), je ndio kisa cha kwenda kupiga biti Commoro islands? Ikimaanisha Zanzibar ukanda wake ni tofauti na wa Ruvuma kushuka chini, meaning Reading might be right.

- hawa wazenji hawana ma-geo/logists/scientists/physicists watoe data from their side? Rather than story story...yakhee yakheee magoli mwatufunga ila chenga twawala.
 
Mzozo wa umilki wa BOT kutatuliwa kwa nyaraka kati ya Z'bar na Tanzania Bara


SAKATA la hisa za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT) sasa limechukua sura mpya, baada ya kikao cha kamati ya kero za Muungano kukubaliana kila upande uwasilishe ushahidi wa nyaraka ilizonazo kuhusina na suala hilo.

Akijibu swali katika baraza la Wawakilishi jana, Waziri wa Nchi Afisi ya Waziri Kiongozi, Hamza Hassan Juma, alisema katika kikao cha mwisho cha kamati hiyo kilichofanyika mwanzoni mwa

wiki hii, SMZ na Serikali ya Muungano walikubaliana kila upande uwasilisha nyaraka zinazohusiana na suala hilo kama ushahidi wa kuthibitisha madai hayo.

Waziri Hamza alisema kwa upande wa Zanzibar wana nyaraka hizo ambazo zitatumika kama ushahidi jinsi benki hiyo ilivyoanzishwa na hati za kila mwanachama kwa pande zote za muungano.

''Napenda kueleza kwamba SMZ iko makini sana kufuatilia suala hili kupitia Wizara ya Fedha na Uchumi, Ofisi ya Waziri Kiongozi na Uratibu wa Uchumi na Uhusiano wa Kimataifa,'' alisema waziri huyo.

Alisema mara baada ya kuthibitishwa kwa hisa za SMZ BoT, hatua nyengine zitafuata na kuwahakikishia wajumbe wa baraza kwamba SMZ inafuatilia suala hilo kwa makini.

Hamza aliwaahidi wajumbe kuwa suala hilo litapatiwa ufumbuzi katika kikao kijacho cha kamati ya pamoja inayoshughulikia kero za muungano.

Alisema katika kikao kilichopita cha kuzipatia ufumbuzi kero za muungano wamekubaliana kwa pamoja kwamba Katibu Mkuu Kiongozi atoe kibali kwa Benki Kuu kutoa nyaraka zinazoonyesha mmiliki wa taasisi hiyo.

Swali la msingi liliulizwa na Mwakilishi wa Jimbo la Magogoni (CCM), Daud Hassan Daud aliyetaka kujuwa hatma ya suala la hisa za Zanzibar BOT.

''Tulikubaliana kwamba Katibu Mkuu Kiongozi atoe kibali cha kupatikana kwa nyaraka zinazoonyesha mmilikii wa taasisi hiyo,'' alisema Waziri Hamza.

Alithibitisha kwamba kuna mgogoro wa umiliki katika taasisi hiyo, huku Zanzibar ikidai kwamba ina hisa zake katika benki hiyo na kwamba wana uhakika SMZ imechangia uanzishaji wa benki hiyo.
 
"Hata kama ni ya ujazo wa kinibu yatachimbwa" Wawakilishi Zenj

😀 😀
 
Ndugu sabke, Tatizo la wazanaibari sio kuwa wanafikiria ni sawa na marekani bali tatizo ni Bara. Tz wanafikiri kuwa wao wanaweza kufanya watakavyo juu ya zanzibar na wazanzibari watanyamaza kwa kuwa wanaogopa. Basi nakwambia kilicho bahari kisubiri-----. Tunazungumza kwa kalamu na baadae tutachoka. Tunawaambia kuwa tunataka UHURU wetu nyinyi mumetukoloni. Mwafrika kumkoloni mwenziwe ni Tanganyika kuikalia Zanzibar. Hatutaki muungano.
 
zanzibar itakuwa huru kwa nguvu za wazanzibari wenyewe

hatujalala na kwa nguvu zote na hali zote tutapigania nchi yetu
 
Ndugu sabke, Tatizo la wazanaibari sio kuwa wanafikiria ni sawa na marekani bali tatizo ni Bara. Tz wanafikiri kuwa wao wanaweza kufanya watakavyo juu ya zanzibar na wazanzibari watanyamaza kwa kuwa wanaogopa. Basi nakwambia kilicho bahari kisubiri-----. Tunazungumza kwa kalamu na baadae tutachoka. Tunawaambia kuwa tunataka UHURU wetu nyinyi mumetukoloni. Mwafrika kumkoloni mwenziwe ni Tanganyika kuikalia Zanzibar. Hatutaki muungano.

Tatizo liko wapi? Si mtangaze kuwa Zanzibar ni nchi huru na muungano finito? Huku kutingisha kiberiti mpaka lini? Tangazeni muone kama kuna mtu atawabembeleza mbakie kwenye muungano msioutaka! Na hivi mafuta yako Mkuranga.....
 
Tatizo liko wapi? Si mtangaze kuwa Zanzibar ni nchi huru na muungano finito? Huku kutingisha kiberiti mpaka lini? Tangazeni muone kama kuna mtu atawabembeleza mbakie kwenye muungano msioutaka! Na hivi mafuta yako Mkuranga.....
Fundi mchundo naona unashindwa kuelewa kwamba tunaong'ang'ania muungano ni sisi watu wa bara.

Hivi unasoma hata magazeti? Ni mara nyingi viongozi wa visiwani walisema wamechoka na muungano.
Sisi watangayika tukisikia hayo tunaanza kuwashitaki nakusema wanavunja sheria.

Waziri kiongozi wa Zanzibar akiitetea Zanzibar yake basi ni kama Pinda bara.

Wazanzibari wengi hawautaki muungano bali sisi wa bara tumewang'ang'ania kwa kuogopa kwamba watatupita kimaendeleo na wananchi wengi watauliza kwanini Zanzibar iweze sisi tushindwe.

Unawajua mafisadi wangapi kutoka visiwani?
 
Na hili ndio tatizo kubwa watu wengi wa tanzania bara hawajui background ya zanzibar wao wanahisi kama ni sehemu nyengine tu wanaamini kuwa zanzibar ina watu kidogo basi ndio kigezo hawajui kama kabla ya kuunganishwa hivi nchi mbili zanzibar ilikuwa ikijikimu wenyewe na ilikuwa ina mamlaka yake kamili hata kiti chake umoja wa mataifa suala hili wacheche ndio wanalijua.

kisingizio kikubwa utasikia kuwa tukiwaachia wazanzibari watauawa hili nakataa kabisa mimi ni mzanzibari halisi mwana wa kuzaliwa tena muunguja mhalisia lakini sitaki muungano uvunjike ila madai yangu kama ya wazanzibari wengi kuwa muungano huu umeshapitwa na wakati na tunapaswa kuutizama upya kutokana na sababu mbali mbali.

kwanza muungano uliopo ulikuwa na makubaliano ya watu wawili kwa wakti ule ilikuwa sio sahihi lakini hakukuwa na mtu ambaye angeweza kuhoji lakini sasa hali sio hivyo watu wana muamko elimu ya kuweza kuhoji yaliotokea na yanayofanyika.

muungano uliopo una upendeleo wa upande mmoja na unawanyima haki upande mwengine.

mimi sikubalini na wale wanaosema muungano ukivujika wazanzibari watauana kwa sababu wazanzibari asilimia kubwa ni waislamu na wanashirikiana kwa hali na mali licha ya yofauti zao za kisiasa lakini hawawezi kuuawana na hao mnaowasikia janjaweed ni vijana wengi ambao ni wenye asili ya bara ila hili halisemwi kwa kuwa viongozi wanaogopa kuhatarisha muuungano na pia viongozi wenyewe wenye kupenda madaraka ndio wanaowatumia watu hao nakumbuka wakati fulani polisi walipoambiwa kuhusu kuuwa wakasema sasa mnataka kuuwane wenyewe kwa wenyewe wakimaanisha watu wa unguja na pemba wote ni ndugu maana wameoa sana.

na kama wazanzibari watauwana basi tumeona wanalipizana kisasi kwa sababu zanzibar tufauti na bara watu wanajuana kirahisi sana na kila mmoja anamfahamu mwenzake kutokana na itikadi yake ya kisiasa na watu wenye kuwafanyia ubaya wenzao sio kama hawajulikani wanajulikana sana ila tabia ya wazanzibari ni kusameheana hata kama mtu amedhuriwa kwa kiasi gani utasikia ahhh namuachia mungu.
 
Tatizo liko wapi? Si mtangaze kuwa Zanzibar ni nchi huru na muungano finito? Huku kutingisha kiberiti mpaka lini? Tangazeni muone kama kuna mtu atawabembeleza mbakie kwenye muungano msioutaka! Na hivi mafuta yako Mkuranga.....

Hii ni kutufanya sisi tuamini kuwa huna hoja bali ndio unatowa vitisho? Nafikiri umefika wakati kukubaliana na ukweli ulioelezwa na kufanya masahihisho ili tuwe na Muungano badala ya ukoloni.
 
Back
Top Bottom