Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
Mdanganyeni tu!

Ndani ya CCM hakuna utaratibu wa kidemokrasia wa kumuwajibisha Mwenyekiti taifa hata akiboronga kama ilivyo kwa ANC ya SA.

Unadhani asipokubaliana na wengi watafanyaje? Usinipe jibu!
Bunge la CCM wamekubaliana hakuna wa kupinga
 
Swala la bandari kuja kuwekeza muarabu ndo mnasambaza meseji za udini mpka viongozi wenu wa dini wanakuja juu huoni kama sio chuki za wazi.

Nan asiyejua Zanzibar ni sehemu ya dini fulani ? lini mlienda kule kurefresh mkafukuzwa ?

Hata kama kusemwa kupo ila sio kumuandama mpendwa Rais wetu kwa maneno yenu ya kishamba , kumbuka swala limeanza tangu kweny teuzi zake .

Ndo mnasambaza ujumbe kweny magroup ya wakristo kwamba wote wagomee huo mkataba waungane eti nchi inaenda kuwa ya kiislamu ,hata yale masomo ya dini mlikuwa mnsambaza ule ujumbe kwamba eti dini ya kiislamu yatafundishwa kwa wote ...Wengi ni vichwa maji mna hoja dhaifu sana hazina mashiko kama wajinga yaani.

Jaalia ungekuwa wewe hizo nyuzi humu za kumsema Rais ungejisikiaje ? then unaandika maneno kirahisi tu kwamba eti wanaona udini.

Zanzibar ingekuwa mbali kama isingeungana na Tanganyika kaaa au ukubali ndo hivyo ,ingekuwa kamq Dubai.
shida ni elimu, kichwani kwako kumejaa dini tena isiyo na msaada kwako. kinachobishaniwa hapa sio mwarabu wala dubai, ni vipengele kwenye mkataba. shida yenu mkiona mwarabu hata kama anawakanyaga usoni huwa mnaona poa tu kwasababu ndio malaika wenu.
 
Pengo anawaambia wakristo kuwa mumepewa jukumu na mungu la kuulinda muungano

Labda utupe hiyo aya inayosema hivyo


Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
anajua muungano ukivunjika, mtawachinja ndugu zetu huko visiwani.
 
shida ni elimu, kichwani kwako kumejaa dini tena isiyo na msaada kwako. kinachobishaniwa hapa sio mwarabu wala dubai, ni vipengele kwenye mkataba. shida yenu mkiona mwarabu hata kama anawakanyaga usoni huwa mnaona poa tu kwasababu ndio malaika wenu.
Zero brain unaongea nin?

We dogo bado kama mwanafunzi wangu,jitahidi hata kuandika sijui umeruka shule ya msingi🤣🤣.

Ndo maana unakubali kuolewa kisa mzungu kasema ngoja uolewe kwanza ndo utajua .
 
Zero brain unaongea nin?

We dogo bado kama mwanafunzi wangu,jitahidi hata kuandika sijui umeruka shule ya msingi🤣🤣.

Ndo maana unakubali kuolewa kisa mzungu kasema ngoja uolewe kwanza ndo utajua .
ongea hoja basi ili uonyeshe kwamba una ubongo walau kidogo.
 
Nimevumilia vya kutosha nikidhani kama kuna mtu anayekerwa na fumbuzi wa matatizo ya muungano yaliyotolea kwenye kikao cha pamoja kati ya Mh. Lowassa na Mh. Nahodha.

Kitu kinachonitisha ni kwamba yale mambo waliowaamulia wananchi yatapelekwa bungeni october kwa ajili ya "constitutional reforms".

Kwa upande wangu sikubaliana na ufumbuzi waliofikia kwa 100%
Check this out:

1) mineral and oil exploration be co-opted into the national debate on the future of the political federation.

-debate is good but mineral and oil exploration should not be political.

2)Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) should have an equal number of representatives from either side.

-Equal number kwa vigezo gani? Idadi ya watu? Tuelezene mlivyokuja na hiyo soultion equal number of people.

3)consultant on the distribution of wealth generated through mining and oil extraction be hired to advise the Union government on how it can be shared equitably.

-Please kama ni hivyo na huo muungano hatuutaki. For what?

4)It was decided that 50 per cent of the income would be used to finance the operations of the authority and the other 50 per cent be distributed on the basis of 60 per cent for the Mainland and 40 per cent for Zanzibar.

-Hivi hizo hesabu mnafanyaje? How did you come up with 60%, ardhi, watu,?????

Najua watanzania hawataki kuongelea muungano wakiogopa mizimu ya Mwalimu. Kwa upande wangu kuna mambo mawili tu hapa ambayo yanaweza kuleta ufumbuzi wa kudumu kwanza kuuvunja muungana na Zanzibar ikawa nchi kama ilivyo Kenya na tutaendelea kushirikian nao kama tunavyoshirikiana na Kenya, au Zanzibar uwe mkoa. zanzibar kuna watu wasiozidi 3 mil wakati mkoa wa Dar tu una watu 4 mil. Hapo utajiuliza ni kivitu tugawane nusu kwa nusu?

Kama watu hamtaki kuongela hili sual basi mwezi October linaingia kwenye katiba.

Mkataba wa makubaliano ya kuanzisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukisainiwa mwaka 1964.

Mkataba wenyewe (uliosainiwa) umeambatanishwa kama attachment.
Tumebaki na muungano wa kinafiki tu huku tukiendelea kuumizana, kulaumiana na kulalama na kero zisizoisha!
 
unaongea kama hujawahi kufika Tanganyika dada. maisha ya bara ni mazuri mbali sana kuliko ya visiwani. kama hujawahi kuvuka maji njoo. sisi tunawakaribisha, hatuna roho mbaya.

Ni kweli maisha ni mazuri sana kwani vijana wanasoma shule hizi


1687275292944.png
 
katika vitu ccm mnasubiliwa africa nzima na sisi wabeti kamali mkeka unaweza kuwa umeshatiki.
hisani ya chama ilianza kuvurigika 2014 na kila mfanyako mkachagua kwa nguvu sababu mtaki kujua mbele.
ccm nawaita wazawa sawa kuishi kwa wazawa ni wapinga maendeleo.
mkajiokotea weee na sifa zenu za muungano kuboresha ila kumbukeni kipindi cha jakaya kulikuwa na vuguvugu mpaka kulazimisha kisa tu kuboresha siri yenu.

bado ijatosha ni katiba mkachezesha draft mkijiona maprosooo wa nchi.

2025 hata mjitanye kuruka nchi zote mpokee wasudani kule na kila michezo na kila jambo.
nacho wasitikia mtamaliza watu ,mtatumia kila kufanya ila watanzania wameawachoka.

mnatumia kukaribisha wageni ili wazawa wasifanye kwa nguvu zote.
2025.
kama mlijua bandari itakuja kupeleka nyenzo na kurudi basi ni hatari.
 
Kama kwa miaka miwili tu aliyorithi madaraka amweza kufanya madudu kama haya.

Akipata miaka mingine mitano itakuwaje? Wana CCM mfanye mabadiliko mwaka 2025 muweke mtu ambaye atakuwa na uchungu na Tanganyika.

Sakata la Loliondo kwa Waarabu, sakata la bandari kwa Waarabu.
 
Kama kwa miaka miwili tu aliyorithi madaraka amweza kufanya madudu kama haya.


Akipata miaka mingine mitano itakuwaje? WanaCCM mufanye mabadiliko mwaka 2025 muweke mtu ambaye atakuwa na uchungu na Tanganyika.

Sakata la Loliondo kwa waarabu, sakata la bandari kwa waarabu....
Uko sahihi! Huyu akpata miaka mimgine tutabaki bila Tanganyika
 
Back
Top Bottom