uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Baba askofu Gervas Nyaisonga amewaonya watanganyika na serikali juu ya nchi yao akisema
"Aibu kubwa kuliko zote ni pale ambapo Taifa la TANGANYIKA kinataka kuangamizwa huku sisi watanganyika tukiwapigia makofi wenye nia ovu"
Source :askofu mwamkula
Watanganyika amkeni mkiona hadi wazee kwenye kijiji wanapiga kelele mjue nchi yenu ipo hatarini...
Sio kawaida ya askofu Nyaisonga kutoa maoni haya
. watanganyika dubai anamilikishwa nchi nyie mmelala usingizi wa pono mtatesa wajukuu na vitukuu vyenu
"Aibu kubwa kuliko zote ni pale ambapo Taifa la TANGANYIKA kinataka kuangamizwa huku sisi watanganyika tukiwapigia makofi wenye nia ovu"
Source :askofu mwamkula
Watanganyika amkeni mkiona hadi wazee kwenye kijiji wanapiga kelele mjue nchi yenu ipo hatarini...
Sio kawaida ya askofu Nyaisonga kutoa maoni haya
. watanganyika dubai anamilikishwa nchi nyie mmelala usingizi wa pono mtatesa wajukuu na vitukuu vyenu