kichuguu.hayo ulioyaona ni kweli kabisa na ndio hapo zanzibar ilianzisha ukurasa mpya wa chuki na ubaguzi,kwani ukirudi mwaka mmoja nyuma (disemba 1963)kabla ya mapinduzi utaona kwamba uingereza aliikabidhi zanzibar uhuru kamili ila aliowakabidhi serikali walikuwa ni wenye asili ya kiarabu
,hivyo huyo bwana john okello ambae tukimjadili sana itabidi tulete udini katika hii mada ndio akaongoza wale wenye asili ya kiafrika ili kupindua na ndio mwaka 1964 kukafanyika hayo mauwaji ambayo zaidi yalijali rangi ya mtu anavyoonekana,tukiongea ukweli ni kwamba wengi wasiokuwa na hatia yaliwaathiri mapinduzi haya na takriban kila familia iliopo leo yenye asili ya arabuni kidogo basi utaikuta iliathirika kwa namna moja au nyengine.na pia ndio maana kuna mitazamo miwili tofauti visiwani kuhusu mapinduzi haya ,kwani wapo waliyoaona ni ushujaa(washirazi) na wale walioyaona ni haramu(wahizbu).tukimuangalia huyo john okello pia tutamkuta hakuwa mzanzibari na pia kuna maneno kwamba mheshimiwa karume pia hakuwa na asili ya zanzibari(sina uhakika nayo),na huyu okello ndie aliemkabidhi karume urais ,lakini baadae ni huyo huyo karume aliempiga marufuku okello katika ardhi ya zanzibar.
hivyo utaona zanzibar ilipata uhuru wake kamili mwaka 1963(jambo ambalo wengi hawalijui) na mapinduzi ndio yakafanywa mwaka 1964.tanabahi:hawa wenye asili ya kiarabu walikuwepo zanzibar kwa karne na karne.
ombi kwa wazanzibar.
---------kama ni kosa ndio lishafanyika miaka iliopita ,watanzania wa upande wa zanzibar wasahau historia na waungane na washirikiane katika kutetea haki na maslahi ya kila mwananchi bila kujali eneo,rangi,chama,wala itikadi,.
EWE MUNGU TUONDOLEE DHULMA DUNIANI,EWE MUNGU TUONDOLEE DHULMA TANZANIA,EWE MUNGU TUONDOLEE DHULMA ZANZIBAR.AMIIN.-----penye mashirikiano hakuna lisilowezekana.ni mada nzito kuijadili ,naomba nikae pembeni.
,hivyo huyo bwana john okello ambae tukimjadili sana itabidi tulete udini katika hii mada ndio akaongoza wale wenye asili ya kiafrika ili kupindua na ndio mwaka 1964 kukafanyika hayo mauwaji ambayo zaidi yalijali rangi ya mtu anavyoonekana,tukiongea ukweli ni kwamba wengi wasiokuwa na hatia yaliwaathiri mapinduzi haya na takriban kila familia iliopo leo yenye asili ya arabuni kidogo basi utaikuta iliathirika kwa namna moja au nyengine.na pia ndio maana kuna mitazamo miwili tofauti visiwani kuhusu mapinduzi haya ,kwani wapo waliyoaona ni ushujaa(washirazi) na wale walioyaona ni haramu(wahizbu).tukimuangalia huyo john okello pia tutamkuta hakuwa mzanzibari na pia kuna maneno kwamba mheshimiwa karume pia hakuwa na asili ya zanzibari(sina uhakika nayo),na huyu okello ndie aliemkabidhi karume urais ,lakini baadae ni huyo huyo karume aliempiga marufuku okello katika ardhi ya zanzibar.
hivyo utaona zanzibar ilipata uhuru wake kamili mwaka 1963(jambo ambalo wengi hawalijui) na mapinduzi ndio yakafanywa mwaka 1964.tanabahi:hawa wenye asili ya kiarabu walikuwepo zanzibar kwa karne na karne.
ombi kwa wazanzibar.
---------kama ni kosa ndio lishafanyika miaka iliopita ,watanzania wa upande wa zanzibar wasahau historia na waungane na washirikiane katika kutetea haki na maslahi ya kila mwananchi bila kujali eneo,rangi,chama,wala itikadi,.
EWE MUNGU TUONDOLEE DHULMA DUNIANI,EWE MUNGU TUONDOLEE DHULMA TANZANIA,EWE MUNGU TUONDOLEE DHULMA ZANZIBAR.AMIIN.-----penye mashirikiano hakuna lisilowezekana.ni mada nzito kuijadili ,naomba nikae pembeni.