KipimaPembe
JF-Expert Member
- Aug 5, 2007
- 1,285
- 698
Na huu walioutumia ndo utaratibu wa kuondoa mambo kwenye muungano? Nilidhani vikao vilivyokaa kuyaingiza haya mambo kwenye muungano ndo vyenye uwezo wa kuyatoa!
Kwa hiyo wenyewe wanaweza wakakaa na kuamua kuwa suala hili na lile hatutaki liwemo tena kwenye muungano. Nadhani hii ni flexible enough kuwawezesha kufanya kile ambacho kinalinda maslahi yao. Na ikiwa utaratibu ni rahisi namna hii sitarajii tena kusikia kelele za wapemba na waunguja kuwa muungano hivi au muungano vile. Watakua wanachukua hatua kama hizi au wakae kimya!
Kwa hili nawapongeza, wamekuwa practical na proactive badala ya ulalamishi tuliouzoea.
Kwa hiyo wenyewe wanaweza wakakaa na kuamua kuwa suala hili na lile hatutaki liwemo tena kwenye muungano. Nadhani hii ni flexible enough kuwawezesha kufanya kile ambacho kinalinda maslahi yao. Na ikiwa utaratibu ni rahisi namna hii sitarajii tena kusikia kelele za wapemba na waunguja kuwa muungano hivi au muungano vile. Watakua wanachukua hatua kama hizi au wakae kimya!
Kwa hili nawapongeza, wamekuwa practical na proactive badala ya ulalamishi tuliouzoea.