hio ramani ni ya zamani sana-then naamini tanganyika hawawezi kukubali kuwaachia zenji pande hizo zote-naamini hata kwa vita tutapigania ardhi yetu
hio ramani ni ya zamani sana-then naamini tanganyika hawawezi kukubali kuwaachia zenji pande hizo zote-naamini hata kwa vita tutapigania ardhi yetu
huyu aliyeleta hii ramani Unimaps.com - Tanganyika & Zanzibar, 1886 sikubaliani nayo. kama muungano ukivunjika & i pray for that nchi zitarudi kama ilivyukuwa kabla ya muungano.
binafsi mimi ni mzaliwa wa tanga tena kwetu ni vile vijiji vilivyo katika pwani ya bahari ya hindi kuelekea mombasa barabara ya horohoro ukisimama pwani ya kijiji chetu pemba unaiona ileee!... na sidhani kama tukiletewa kura ya maoni ati tangayika au znz! kamwe hatuwezi tukachaguwa znz. wazee wangu wengi wa pale kijijini wanayemfahamu ni nyerere hawana historia wala ufahamu wowote kuhusu znz.. iweje leo hii mje muwaambie kwamba wao ni wa znz! this must be JOKE!
Yaani ipigwe kura tuulizwe iwapo tunataka UHURU wetu?
Kwani tulipounganishwa tuliulizwa kama tunataka kuungana na Tanganyika?
Kwanini hamuungani na Congo yenye watu wengi, mkaing'ang'ania Zanzibar?
Zanzibar for Zanzibaris.
Majibu ya maswali yote yatapatikana iwapo Tanganyika Italivua Koti la Muungano.
Matatizo ya muungano huu nimefuatilia kwa kina na mijadala yake,kitu ambacho nimekiona mkanganyiko wa mambo ulianzia pale Tanganyika ilipo jufuta kimnya kimnya na kujigeuza kua Tanzania.
Hebu ndugu muuliza masuali Jaribu kujaalia kua Tanganyika ipo leo na zanzibar ipo halafu tukawa na kitu cha muungano yani Tanzania,halafu Tanganyika ikafanya mambo yake binafsi kama ilivyo Zanzibar leo,na Tanzania ikashuhulika na Mambo ya muungano tu,Je ungali jiuliza maswali hayo leo?
Na huo mfumo niliokueleza ndio mkataba wa muungano ulivyoelekeza,haukusema kabisa kua baada ya muungano Tanganyika au na pia Watu wanapaswa kufahamu kua Muungano haukua wa mambo yote bali ni baadhi tu ya mambo.
Hapa ndio Maana wazanzibari hadi hii leo wanachojua nikua Tanzania ni Tunda la Muungano,Ndio maana wanataka kilichomo ndani ta tunda wakigawe sawa sawa.
Ama kosa lililofanywa na watanganyika wenyewe lakijiingiza ndani ya KOTI (MUUNGANO) na kujigeuza jina na kijifanya wao(Tanganyika) ndio Muungano na muungano ndio wao(Tanganyika),hili wazanzibari hatutaki kulijua tunachojua ni makubaliano yetu tu yaliomo ndani ya mkataba wa muungano.
Nikisema makubaliano ninamaana ya liokubaliwa na nchi mbili yani Tanganyika na Zanzibar sio yaliobadilishwa na Bunge la Tanganyika lililojibadilisha jina na kujiita Bunge la Muungano.
Wito wangu kwa Watanganyika waanze harakati za kuidai nchi yao kwanza halafu ndio tufikire tena kama iko haja ya kuungana au tukakutane Muungno wa Af.Mashariki.
Wew wakikluruhusu au wasikuruhusu ujadili tu ama kwa Wazanzibari kwao ni ruhusa kuujadili.
Nilisha apa katu katu sitakubali kujiita mtanzania, mimi ni mtanganyika kwani sikushirikishwa kwenye maamuzi ya kuungana , kwa maana hiyo nawataka walete mswada wa mapitio ya muungano tujadili jinsi muungano wafaa kuwa. Kwa maana ya muungano 1+1=1 na si 1+1= 2. Kama 1+1 =2 au 1+1 =1 ni sawa bila idhini ya wananchi basi hesabu hiyo ni batili. Eti katiba ya tz na katiba ya zanzibar upuuzi mtupu. Kama ni z'bar basi ile nyingine ni tanganyika. Wendawazimu
Nilisha apa katu katu sitakubali kujiita mtanzania, mimi ni mtanganyika kwani sikushirikishwa kwenye maamuzi ya kuungana , kwa maana hiyo nawataka walete mswada wa mapitio ya muungano tujadili jinsi muungano wafaa kuwa. Kwa maana ya muungano 1+1=1 na si 1+1= 2. Kama 1+1 =2 au 1+1 =1 ni sawa bila idhini ya wananchi basi hesabu hiyo ni batili. Eti katiba ya tz na katiba ya zanzibar upuuzi mtupu. Kama ni z'bar basi ile nyingine ni tanganyika. Wendawazimu
Nyerere kwa kweli duh! Alisema mkishaanza sisi Watanganyika na hawa Wazanzibari mtajikuta kuwa kwa Wale waZanzibari kumbe hakuna Mzanzibari bali kuna Mpemba na Muunguja. Akasema na Bara vile vile, mkishawatenga Wazanzibari mtaanza kujikuta kumbe kuna Wachagga na wapo Wasukumu. Ndipo akasema "dhambi ya ubaguzi haikomi, ikishaanza kula haikomi".
Sasa hata muungano wenyewe haujafika mwisho wameanza mambo ya Uunguja na Upemba! na Dar itakuwa ni kati ya Wapwani na Wabara?
Wazanzibari wameiandikia barua Umoja wa Mataifa na kutaka kumshitaki Mwanasheria Mkuu juu ya uhalali wa Muungano wa Unguja na Pemba. Katika barua yao, wanahoji kuwepo kwa mkataba wowote kati ya visiwa hivyo viwili-SOURCE RADIO1
Wazanzibari wameiandikia barua Umoja wa Mataifa na kutaka kumshitaki Mwanasheria Mkuu juu ya uhalali wa Muungano wa Unguja na Pemba. Katika barua yao, wanahoji kuwepo kwa mkataba wowote kati ya visiwa hivyo viwili-SOURCE RADIO1
Nyerere kwa kweli duh! Alisema mkishaanza sisi Watanganyika na hawa Wazanzibari mtajikuta kuwa kwa Wale waZanzibari kumbe hakuna Mzanzibari bali kuna Mpemba na Muunguja. Akasema na Bara vile vile, mkishawatenga Wazanzibari mtaanza kujikuta kumbe kuna Wachagga na wapo Wasukumu. Ndipo akasema "dhambi ya ubaguzi haikomi, ikishaanza kula haikomi".
Sasa hata muungano wenyewe haujafika mwisho wameanza mambo ya Uunguja na Upemba! na Dar itakuwa ni kati ya Wapwani na Wabara?
Wazanzibari wameiandikia barua Umoja wa Mataifa na kutaka kumshitaki Mwanasheria Mkuu juu ya uhalali wa Muungano wa Unguja na Pemba. Katika barua yao, wanahoji kuwepo kwa mkataba wowote kati ya visiwa hivyo viwili-SOURCE RADIO1