Kweli maneno ya Mwalimu yanatimia. Ndugu zangu hawa wameshajiangalia ukubwa wa Ardhi yao na bara??
Hivi wameshapiga mahesabu ya miaka 1000 mpaka 5000 ijayo kama nchi yao itakuwepo tena? Kwa uchafuzi wa hali ya hewa kila siku ardhi ya ZANZIBAR inameguka na kupungua.
Muungano na sisi una faida sana kwao, security ya ARDHI!!! Sasa wanatengana wao kwa wao tena....
Siafiki kutengana no matter sijui vitu gani havieleweki,, wanasema siri ya ndoa anaijua baba na mama, pia hata siri ya kaburi anaijua maiti,,
Ila kama wakiona vipi! Wajitenge tu wao, sisi tutazidi kusema hatujaafiki, dhambi itawatafuna wao.!
Kwetu wachagga, wahaya, wanyakyusa, wahehe, wagogo, wagita, wasukuma, wanyiramba, wamasai, na makabila mengineyo yote tunapendana, tunataniana, tuanaoana NA HATUANGALII DINI WALA KABILA LA MTU! Sisi ni wazee wa upendo na furaha!
Dhambi ya ubaguzi itawaandama milele!!!!! Kwanza muunguja akimuona mmpemba pale birmingham anamkwepa!