nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
Na huku bara tugawane, wa mikoani mrudi mikoani mtuachie pwani yetu wapwaniwazanzbr wale watakuwa na nchi mbili,yaani kisiwa Cha unguja kitajitegemea na pemba pia itakuwa nchi, halafu wale wako mil.moja tu ,sisi tuko mil60+,dawa yao tukishavunja tu muungano tunapeleka vijana wetu zbr wakaoe mabnt wote wa zbar,baada ya miaka michache tutakuwa na watt wetu na wajukuu kule,hatimaye litakuwa koloni letu kwa mala nyingine
Hilo wazo kuwa USA ndio walishinikiza muungano mmeitoa wapi? Au ndio mambo ya kuruhusu wageni kutuandikia historia yetu. USA miaka ya sitini halikuwa taifa lenye shobo na mambo ya watu kama ilivyo siku hizi, kusema walishinikiza muungano ni kuwapa ujiko na u nafasi ambao hawana kwenye historia yetu ya kipindi hichoKuiachia Zanzibar ni jambo gumu sana. Ifahamike kuwa hatukuungana na Zanzibar kwa matakwa yetu. Lilikuwa ni ombi la US kwa Mwalimu Nyerere. Aliyesimamia hilo zoezi la kuhakikisha Zanzibar inakuwa chinibya Tanganyika ni Henry Kissinger, mtu anayeaminika kuwa na very high IQ, baada ya Mzee Jomo Kenyata kukataa. Yeye ndiye aliyetengeneza muundo huu wa Muungano usioeleweka ili Wazanzibar waone wapo kwenye Muungano, lakini Tanganyika ikiwa na uwezo wa kuingilia kitu chochote cha kiusalama, Zanzibar.
Zanzibar, Tanganyika inaishikilia kwa ombi la mataifa makubwa kwa sababu za kiusalama. Kwa hiyo, Zanzibar siyo rahisi kuiachia. Hii ndiyo sababu iliyo dhahiri lakini isiyotamkwa. Mambo ya sijui sisi ni damu moja, sijui nini, ni hadithi.
Kijana, siwezi kukulaumu. Nazungumza hili kwa uhakika mkubwa. Siyo kwa kuokoteza habari, bali kwa kuzungumza na watu waliohusika.Hilo wazo kuwa USA ndio walishinikiza muungano mmeitoa wapi? Au ndio mambo ya kuruhusu wageni kutuandikia historia yetu. USA miaka ya sitini halikuwa taifa lenye shobo na mambo ya watu kama ilivyo siku hizi, kusema walishinikiza muungano ni kuwapa ujiko na u nafasi ambao hawana kwenye historia yetu ya kipindi hicho
Wabara walioko Zenji hawana mali nyingi zisizo hamishika tofauti na hawa wakojani huku Bara.utajiskiaje na wabara walioko ZENJ nao wakitimuliwa? haya masuala hayati jazba mkuu
Na ndiyo maana mimi siyo M Czechoslovakia.Kweli Mkuu Zanzibar ni mzigo kwa Tanganyika kwa vile mumeweka majeshi kila mtaa na uslama wa taifa kwa kila mtu huku vifaru mkivi
Hizo ndizo akili Za Kiafrika. Czekoslovakia iligawanyika Na kuwa nchi mbili wala hatukusikia akili Kama zako
Rais mstaafu Shein amewajibu siku nyingi tutawasha vibatari- defiant and proud.Vipi tukate umeme [emoji28][emoji28][emoji28]
muarobaini wa matatizo yote haya ni katiba tu.watangulizi waliitengeneza hiyo katiba kwa ajili ya kulinda maslahi yao na pia inawezekana mazingira ya wakati ule yaliwalazimu wafanye vile lkn kwa sasa hakuna njia nyingine zaidi ya kuwa na katiba mpya na sielewi kwa nn mamlaka zinaogopa kuwa na katiba mpya wakati majirani zetu wamezibadilisha katiba zao mara kibao.katiba tulionao inatubagua na pia inatoa mamlaka makubwa kwa watawala.We umeona wapi muungano ambao unabagua watu?
Wazanzbar kumiliki ardhi TANGANYIKA n ruksa ila mtanganyika kumiliki ardhi Zanzibar haiwezekani
Asee uvunjike hata leo hamna Zanzibar mlichoifaidisha TANGANYIKA Zaid mmetupa mzigo tu wa kuwakopea kulipa tulipe Watanganyika
Lazima uvunjikeKwa vile huu muungano wetu adhimu umeishia ingiwa, na hakuna vipengele vya jinsi ya kuuvunja, then muungano wetu ni wa milele na tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P
Nje Ya Muungano hakuna Zanzibar, kuna waunguja na wapemba, kinachofanya mjiite wanzanzibar ni sababu ya Muungano.Zanzibar nje ya muungano neema tupu.
Unajua situation inaweza kuwa iko hivi (haimaanishi kuwa kweli iko hivyo): Ukivunja Muungano, wanatokea wajanja kutoka mahali fulani na kuchonganisha pande zote mbili, halafu baada ya hapo mnaanza kupigana, na baada ya hapo kila mmoja anakuwa dhaifu. Baada ya kuwa dhaifu, wanaweka sasa watu wao kila upande, kama watawala. Mtawala wa Zanzibar anakuwa ni ndugu na mtawala wa Tanganyika, halafu baada ya hapo wanaanza sasa kusomba kila kitu kilichoko Tanganyika na kilichoko Zanzibar kuanzia madini almasi na kila kitu. Vipi version hii ya utawala ndiyo unayoipendelea zaidi; yaani unaanza na vita kwanza halafu baadaye unakuja kuibiwa rasilimali zote ulizonazo?Ni bora huu Muungano wetu ukavunjika halafu tukawa nchi jirani zenye kupendana kuliko maelezo,ila hivi tulivyo inakuwa kama hatuelewani.
Tugawane mbao kisha kila mtu ajenge mtumbwi wake.
Tatizo wabara hawajiamini kujitawala,wanahisi watagawika ,Zanzibar imekuwa kama hirizi.
Halafu tunamkweza na kumnukuu kila uchwao kwamba “Nyerere kasema hoja haipigwi rungu.” Kasema wapi na katenda nini kwenye utawala wake ?Hii ndio faida ya the freedom of expression, ingekuwa ni enzi za Mwalimu, wewe mtu huku mjini,; tungekusahau!, ambao wangekuona ni watu wa kijijini kwako tuu, tena ukitoka nje kuota jua!.
Enzi hizo hata kufikiri tuu kuuvunja muungano ni kosa kubwa la uhaini!.
P
Namkumbuka yule mzee aliyekuwa mbunge kutoka Katavi aliyesema unaweza kuwakusanya wazenj kwa kupiga filimbi au ngoma na wote wakakutanika pamoja.Nyerere alisema angekuwa na uwezo angekisumia mbali kisiwa hiki.Unajua ni nini?
WaZanzibar hawana mchango kwa maisha ya Bara. Hilo hata wewe unalijua. Kama nimepotoka,nakubali kurekebishwa kwa mifano halisi. Muungano unawapendelea wazanzibar na kuwadekeza hadi inakuwa kero. Ka nchi kama mkoa lakini wabunge utitiri. Hamuoni hata aibu kuwaita watu wabunge badala ya makatibu kata?
Nilichoota mimi miaka kadhaa nyuma, wakati nimekereka na huu muungano nyonya damu, ni kwamba. Cha muhimu kwa bara ni geographical position ya Zanzibar na tabia za Wazanzibar za uvivu na uarabu. Nikaota kwamba , ni lazime tuwashikilie ili muongozwe kwa sababu kinyume cha pale, tunayoyasikia kule yatakuwa dirishani. Nani atakuwa salama?
Naelewa miafrika ilivyo , choyo, roho mbovu, ubaya ubaya, ngono, pombe, wizi, uporaji , uwongo, inapenda sifa, fahari, haitaki kukubali makosa nk
Wabara walioko Zenji hawana mali nyingi zisizo hamishika tofauti na hawa wakojani huku Bara.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ni wewe tu na ukoo wako ndiyo mko hivyo ndiyo maana hujitambuiNaelewa miafrika ilivyo , choyo, roho mbovu, ubaya ubaya, ngono, pombe, wizi, uporaji , uwongo, inapenda sifa, fahari, haitaki kukubali makosa nk
Ni wewe tu na ukoo wako ndiyo mko hivyo ndiyo maana hujitambui
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app