Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
[FONT=&]Kufufuka kwa Yesu Kristo ni moja ya mambo ambayo yamekuwa ni chanzo cha mjadala dunia nzima. Dini nyingine zimedai kuwa Yesu hakufa na hivyo [/FONT][FONT=&]kumaanisha hakufufuka. Wanazuoni wengine wamejaribu kuhusianisha kufa na kufufuka kwa Yesu Kristo kama mwendelezo wa imani za kipagani zilizokuwapo kabla ya ukristo, na mengine mengi, kadha wa kadha.[/FONT]
[FONT=&]kwa kuwa waznz wengi sio wakiristo ni waislam. lkn tumesikia wakishiriki kwa aina moja ya kusherehekea na wakiristo wa tzbara hasa ktk maswala ya michezo zaidi.[/FONT]
[FONT=&]leo hii mamia ya wakiristo wanaelekea zenj kuungana na waislam kusherehekea pasaka.baadhi ya taasisi za umma hutenga fedha kwa kuwaalika ndugu zao au kwenda wao znz[/FONT]
[FONT=&]lkn kwa bahati sijasikia ikifanyika pemba. au waznz ambao husherehekea maulid huwaacha ndugu zao wa dini tofauti kuchanganya ili kusherehekea.[/FONT]
[FONT=&]jee ni kero mpya ya muungano?[/FONT]
[FONT=&]kwa kuwa waznz wengi sio wakiristo ni waislam. lkn tumesikia wakishiriki kwa aina moja ya kusherehekea na wakiristo wa tzbara hasa ktk maswala ya michezo zaidi.[/FONT]
[FONT=&]leo hii mamia ya wakiristo wanaelekea zenj kuungana na waislam kusherehekea pasaka.baadhi ya taasisi za umma hutenga fedha kwa kuwaalika ndugu zao au kwenda wao znz[/FONT]
[FONT=&]lkn kwa bahati sijasikia ikifanyika pemba. au waznz ambao husherehekea maulid huwaacha ndugu zao wa dini tofauti kuchanganya ili kusherehekea.[/FONT]
[FONT=&]jee ni kero mpya ya muungano?[/FONT]