huko hakuna mitandao km Jamii Forum mkapata hizo taarifa za CAG kuwa tumepigwa
utakuwa Mnyakyusa wewe kweli, unajua upo Malawi au Nyasaland na km sio juhudi za waasisi kutumia nguvu mlishakabidhiwa kwa Banda bila kujijua.
sasa wenzenu walishavamiwa na muarabu akaja jitwalia kisiwa akisema hakina watu akagawana na nduguye wa Oman, kwa hiyo tuache tu wapore basi na wanyakyusa bora muende Nyasa km chimbuko la Historia hamuijui au mipaka ya Berlin
Kumbuka kundi la G 55 lilianzishwa na kabila gani wakidai Tanganyika na kuiacha Unguja na Pemba
na ndiko tunakoelekea
Gagnija